Ameondoka na roho ya baharia!

Ameondoka na roho ya baharia!

Anaitwa Safina Diamond, ni slay queen na socialite wa Ghana. Ameshikiliwa na polisi kwa kumchoma visu zaidi ya mara30 shingoni na tumboni, na kumuua mpenzi wake ambaye alikuwa amesafiri siku chache kutoka Canada.

Baada ya tukio aliutelekeza mwili wa mwanaume huyo ndani ya gari la mwanaume huyo na kutengeneza 'defense mechanism' kuwa alikuwa anajitetea kwani jamaa alikuwa anataka kumbaka, ikumbukwe kuwa jamaa ana mke na watoto.

Tukio lilitokea hotelini walikokuwa wamepanga kwa siku kadhaa.
mzabzab DeepPond
TRA need to reconsider its tax base and check the possibility of tapping in the untapped sex economy, a multi-billion virgin sector!

I mean, they should come up with the Incum Tax!
 
Takwimu za kiulimwengu zinaonyesha kua nyie mko wengi sana, hivyo tunawasaidia hata kama tumeshaoa ili mbususu zenu zisiwe unused
Hatujawaomba, ni viranga vyenu tu. Hivyo acha yawakute.
 
Hatujawaomba, ni viranga vyenu tu. Hivyo acha yawakute.
Mbona kila siku mnatubembeleza tuwaowe? Inamaana uungwana wetu wa kuwasaidia na kuhakikisha wote mnapata huduma mnatuona si lolote?

Tukisitisha huduma si hua mnapandwa na mapepo nyie?
 
Back
Top Bottom