Ameondoka na roho ya baharia!

Ameondoka na roho ya baharia!

hvi umechomwa cha kwanza bado upo tu ila sishangai wanaume wengine kama wasenge tu wamelegeaaaa
 
30 stab wounds sii kitoto hii kweli ni crime of passion. Kwa idadi ya michomo inaonyesha dada alikuwa emotional sana kuna kitu jamaa alimpromise huyu mwanamke sasa hajatimiza
Siyo guarantee ya kuua.
 
Wanawake no viumbe hatari Sana kudadeki! Na ndio maana Mtume Paulo alituambia tuishi nao kwa akili.

BTW,pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa mwenda zake.Huyo Safina naye achukulie hatua za kisheria haraka iwezekanavyo.
Kila mtu ni hatari.
 
Huyu dada (kama ni yeye kweli) hafanani na tukio lilosemekana limefanywa na yeye, kweli nimeamini muonekano wa nje hudanganya.
 
Huyu dada (kama ni yeye kweli) hafanani na tukio lilosemekana limefanywa na yeye, kweli nimeamini muonekano wa nje hudanganya.
Slay queens/pisi kali nk, siyo wa kuonewa huruma. Ikiwemo na vi ke vyote vijuaji juaji
 
Back
Top Bottom