Hii ni alert, watu tushike handbrake kidogo. Sisi tusiopenda condom ni kuacha ngono zembe tu hamna namna.Nadhani wewe huogopi mkuuππ.. Huu ugonjwa usikie tu kwa watu, tena omba sana Mungu usiingie kwenye ukoo wenu maana nahisi inakuwaga kama laana sijui, kuna baadhi ya watu karibu familia nzima unaskia za chinichini kua wameungua
Ongeza sauti π€£π€£π€£walowekaji mpo ?
Ndiyo, asipoipokea na kuikubali hali ya uathirika, kichaa na hata kufa kwa mawazo ni suala la kawaida.Habar wakuu msaada wenu tafadhali.
Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.
Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.
Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu
Yeah ππHaya sawa mkuu, hivyo ndio inavyotakiwa
Basi hapa unaona dunia yote yako pekeyakoππππwalowekaji mpo ?
kwakweli kuacha inawezekana.. ila kwa mlioko kwenye ndoa ndo changamoto maana huwezi kumwambia mwenzio mtumie kinga ππHii ni alert, watu tushike handbrake kidogo. Sisi tusiopenda condom ni kuacha ngono zembe tu hamna namna.
Ni kweli kuna koo zimepukutishwa na hiv.
Sema tulioko kwenye ndoa tuache kuchepuka, manake tunachepuka balaa..π€£kwakweli kuacha inawezekana.. ila kwa mlioko kwenye ndoa ndo changamoto maana huwezi kumwambia mwenzio mtumie kinga ππ
Ndo uache sasa kiukweli ukweli, sio kwenye maandishi hapaSema tulioko kwenye ndoa tuache kuchepuka, manake tunachepuka balaa..π€£
Sio rahisi sana kula papa moja tu!!Ndo uache sasa kiukweli ukweli, sio kwenye maandishi hapa
Unambadilisha mapishi mkuu, anakua na taste tofauti tofauti πSio rahisi sana kula papa moja tu!!
wanapita kwa mbali, kuleeeBasi hapa unaona dunia yote yako pekeyakoππππ
cute wife upooooOngeza sauti π€£π€£π€£
Nipo kaka πcute wife upoooo
nishaongeza
Sawaππwanapita kwa mbali, kuleee
Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.
Hapana,bora kupima....joto la kumwagiwa ni very sweet
Mbususu tamu π π π πUmeshtuka kama mimi? Aisee ngoma sio ya kupuuzwa hata kidogo, now naogopa ngono kabisa yani.
Loulo KalumbuWe mnyaki umepinda...
Watu hawaelewi hili.Unambadilisha mapishi mkuu, anakua na taste tofauti tofauti π