Amepatwa na ukichaa, inasemekana ana UKIMWI

Amepatwa na ukichaa, inasemekana ana UKIMWI

Nadhani wewe huogopi mkuu😃😃.. Huu ugonjwa usikie tu kwa watu, tena omba sana Mungu usiingie kwenye ukoo wenu maana nahisi inakuwaga kama laana sijui, kuna baadhi ya watu karibu familia nzima unaskia za chinichini kua wameungua
Hii ni alert, watu tushike handbrake kidogo. Sisi tusiopenda condom ni kuacha ngono zembe tu hamna namna.

Ni kweli kuna koo zimepukutishwa na hiv.
 
Habar wakuu msaada wenu tafadhali.

Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.

Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.

Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu
Ndiyo, asipoipokea na kuikubali hali ya uathirika, kichaa na hata kufa kwa mawazo ni suala la kawaida.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Hii ni alert, watu tushike handbrake kidogo. Sisi tusiopenda condom ni kuacha ngono zembe tu hamna namna.

Ni kweli kuna koo zimepukutishwa na hiv.
kwakweli kuacha inawezekana.. ila kwa mlioko kwenye ndoa ndo changamoto maana huwezi kumwambia mwenzio mtumie kinga 😃😃
 
kwakweli kuacha inawezekana.. ila kwa mlioko kwenye ndoa ndo changamoto maana huwezi kumwambia mwenzio mtumie kinga 😃😃
Sema tulioko kwenye ndoa tuache kuchepuka, manake tunachepuka balaa..🤣
 
Back
Top Bottom