Amepatwa na ukichaa, inasemekana ana UKIMWI

Ukiwa na virus na ukatumia arv kipind cha awal alafu ukaacha unapata maweng
 
Yap inatokea yupo mtu wa karibu na mimi, alianza ukichaa, wanasema ana majini lakini nilipinga apelekwe hospitali kweli kakutwa na miwaya, wanamkaba aanze kutumia dozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…