Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Tunakoelekea wataelewa tu Kwa lazimaWatu hawaelewi hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakoelekea wataelewa tu Kwa lazimaWatu hawaelewi hili.
Wataelewa wapi watu ni vichwa maji....Tunakoelekea wataelewa tu Kwa lazima
DuuhWataelewa wapi watu ni vichwa maji....
Ni vile kasi ya maambukizi sio kubwa lakini idadi ya wenye vvu ingekuwa kubwa watu wange tafutana.Duuh
Yes Hili nakubaliana nalo!Mara nyingi nimeshuhudia watu zaidi ya watatu walifariki baada ya kufikia hiyo harua ya ukichaa wa ukimwi
Mmmh mm sipendi dushes linalolegeaMi nikiiona tu nyege zinakata
🤣🤣🤣🤣 wanapiga mno nyetoMmmh mm sipendi dushes linalolegea
Unapenda kumiminiwa mbegu nzitoNdiyo,unawehuka mkuu....si mnasema ukimwi haupo....haya endeleeni kupiga na kavu bila kupima......ila condom nayo daaa![emoji19][emoji2955]
Yap inatokea yupo mtu wa karibu na mimi, alianza ukichaa, wanasema ana majini lakini nilipinga apelekwe hospitali kweli kakutwa na miwaya, wanamkaba aanze kutumia doziHabar wakuu msaada wenu tafadhali.
Nna ndugu yangu wa kike umri miaka 45 amepatwa na ukichaa ghafla jioni ya Jana, January 28, 2024.
Sasa huyu ndugu yangu nasikia muda mrefu kuwa huwa nimuathirika. Je wakuu kunauhusiano wa ukimwi na kupatwa na kichaa.
Msaada wenu wakimawazo kwa anaefahamu