Amepima akakuta ana damu nyingi. Njia ipi ni rahisi ku-level damu?

Amepima akakuta ana damu nyingi. Njia ipi ni rahisi ku-level damu?

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
6,736
Reaction score
10,669
Wakuu msaada kwa ilo ni njia ipi rahis ya kupunguza wingi wa damu ukiacha ile ya kuchangia damu.

Jinsia yake ni Ke,
 
What changed ?, Nini kilitokea kabla ya kuongezeka damu....

Diet ?, au Kitu gani
 
Ako na 14.6 ila nikitiazama kwa mwanamke ni normal ila anaambiwa ni nyingi, naye anaumwa kichwa na ako na kizunguzungu
Hakuna njia nyingine zaidi ya Kutoa damu na kupunguza kula vyakula vya kuongeza damu
 
Ako na 14.6 ila nikitiazama kwa mwanamke ni normal ila anaambiwa ni nyingi, naye anaumwa kichwa na ako na kizunguzungu
Hapo ndo utachanganya wengi. "Ako na 14.6" hiyo "ako" ndipo tatizo litakapoanzia
 
Ako na 14.6 ila nikitiazama kwa mwanamke ni normal ila anaambiwa ni nyingi, naye anaumwa kichwa na ako na kizunguzungu
Mkuu Mimi navyojua hiyo ni normal tu

upande wa "normal ranges" .....japo unaweza ukaona slight difference ukitumia "reference ranges" kutokana na kutofautiana mazingira, ages etc

kiznguzungu na kuumwa navyofaham kama Una upungufu (anaemia)

ni ngumu mtu kuwa na hyperchromic (wingi ulozidi) sababu mwili Una Tabia ya kujicontrol wenyewe ......unapokua na upungufu ,unaongeza uzalishaji na unapokuwa umebalance ,unareduce uzalishaji.

mm nafikir shida sio wingi wa damu ..... shida ni hospital waumize kichwa kujua nini kinasababisha ndugu yako anaumwa kichwa na hicho kizunguzungu .......na sio wingi wa damu ulozidi kwamba ndo umesababisha kichwa kuuma sababu huo wingi wenyewe hauna. ni normal tu
 
Ako na 14.6 ila nikitiazama kwa mwanamke ni normal ila anaambiwa ni nyingi, naye anaumwa kichwa na ako na kizunguzungu
Labda ana shida nyingine ila damu sio nyingi hiyo.

Kizunguzungu hata mimba inasababisha
 
Mimi nina 18.1, daktari akanishauri nisitoe maana nakuwa kama naipalilia na itabidi kila mwezi nikatoe, Ila inanisumbua balaa, kuna wakati nikiinama naona giza
 
Back
Top Bottom