Nakimbizwa
Senior Member
- Jun 19, 2023
- 154
- 302
All creatures on earth obey a dictatorship.
Nyuki wanamworship malkia bila kujua kwanini...kazi yake ni kuzaaa tu ila wao wanamtafutia kila kitu,chakula kumlimda na
Wananchi wote tunamtafutia Raisi wetu chakula maana yeye halimi.
Tunampa chakula plus Security, ili yeye atuongoze vile atakavyo maana hatuwezi kujiongoza wenyewe kwa umoja tunahitaji establishment ya kutuongoza.
Kwahy hamnatofauti kumwa kati ya nyuki na wanadamu.
ila democracy inadisobey law ya dictatorship among all creatures.
Hivyo marekani walijitahid kuanzia wapate uhuru miaka ya 1700's mpaka leo... ila inevitably binadamu wamechagua upande mmoja mkubwa kuliko yote uwaongoze.
Ambapo saivi wamarecan wamechagua kuwa libertarian.
Na kwa sasa cancel culture, democrats na woke and LGBT society ndiyo imeshikilia mpini kwasasa.
Wameshika Medias,police and institutions zote.
Kwahyo inevitably hakuna balance of power kati ya republicans and democrats.
Kwahyo needless to say kwa saivi Kamala ndiyo atashinda kumpita trump, na sio kwasababu ya kura bali ni kwasababu democrats wana power kubwa juu ya libertarians.
Wanacontroll a
Majority of thoughts and propaganda propagated through USA media are democraticish.
Na kwasababu all empires are doomed to fall whenever they gain absolute power,(eg. ROME, Ottoman, mongolian empires etc.) Democrats watashikilia power lakini wataanguka, pale marekani itakapoanguka na either communist au asian au islamic systems ndiyo zitatakeover na kutawala dunia.
America is falling.
Nyuki wanamworship malkia bila kujua kwanini...kazi yake ni kuzaaa tu ila wao wanamtafutia kila kitu,chakula kumlimda na
Wananchi wote tunamtafutia Raisi wetu chakula maana yeye halimi.
Tunampa chakula plus Security, ili yeye atuongoze vile atakavyo maana hatuwezi kujiongoza wenyewe kwa umoja tunahitaji establishment ya kutuongoza.
Kwahy hamnatofauti kumwa kati ya nyuki na wanadamu.
ila democracy inadisobey law ya dictatorship among all creatures.
Hivyo marekani walijitahid kuanzia wapate uhuru miaka ya 1700's mpaka leo... ila inevitably binadamu wamechagua upande mmoja mkubwa kuliko yote uwaongoze.
Ambapo saivi wamarecan wamechagua kuwa libertarian.
Na kwa sasa cancel culture, democrats na woke and LGBT society ndiyo imeshikilia mpini kwasasa.
Wameshika Medias,police and institutions zote.
Kwahyo inevitably hakuna balance of power kati ya republicans and democrats.
Kwahyo needless to say kwa saivi Kamala ndiyo atashinda kumpita trump, na sio kwasababu ya kura bali ni kwasababu democrats wana power kubwa juu ya libertarians.
Wanacontroll a
Majority of thoughts and propaganda propagated through USA media are democraticish.
Na kwasababu all empires are doomed to fall whenever they gain absolute power,(eg. ROME, Ottoman, mongolian empires etc.) Democrats watashikilia power lakini wataanguka, pale marekani itakapoanguka na either communist au asian au islamic systems ndiyo zitatakeover na kutawala dunia.
America is falling.