Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
ππππππππππTumuhurumie Tu
Tokea ijumaa mpaka Leo ana sign tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tokea ijumaa mpaka Leo ana sign tu
Mzee ana mikwara kweli kweli...ππAnazuga tuu kwa style hii anaweza kutumia mwaka mzima kusign tuu.
Ukraine hana hela za kulipia silaha acha uzuzuPutin angeachana na hii vita, US wao wanataka vita 24/7 nandio maishayao yanaenda kwa kupitia vita.
Sababu hapo wanauza silaha wanaingiza pesa wakati Putin anapambana kumaliza pesa kwenye vita.
Ndio keshachukua sasa kunya boga.. hujui kingereza nini?Jiulize kwanza kuna raisi yoyote duniani anaweza kuchukua ardhi ya nchi nyingine pasipo kuogopa UN
Unaposema "Tangu awali"una maanisha nini?kwann hakusign tangu awali badala yake alitamba ataiteka kiev ndan ya masaa 72
Kwahiyo wewe uliyepo huko Vikindu unaijua hii vita zaidi kumzidi Putin aliyepo Kremlin Moscow?Putin angeachana na hii vita, US wao wanataka vita 24/7 nandio maishayao yanaenda kwa kupitia vita.
Sababu hapo wanauza silaha wanaingiza pesa wakati Putin anapambana kumaliza pesa kwenye vita.
Kuna namna bora ya kumshughulikia kichaa kuliko kupambana nae hadharani.Jiulize kwanza kuna raisi yoyote duniani anaweza kuchukua ardhi ya nchi nyingine pasipo kuogopa UN
Iddi Amin hakua PutinHana jipya hata idi amini alisaini kagera yake nafikir unajua kilichomkuta
Humjui PAKA wa NDARWA anachokifanya RDC????Jiulize kwanza kuna raisi yoyote duniani anaweza kuchukua ardhi ya nchi nyingine pasipo kuogopa UN
Huyu ni mwendawazimu, kasoro habebi makopoJiulize kwanza kuna Rais yoyote duniani anaweza kuchukua ardhi ya nchi nyingine pasipo kuogopa UN
UN is a huge toothless dog.Jiulize kwanza kuna Rais yoyote duniani anaweza kuchukua ardhi ya nchi nyingine pasipo kuogopa UN
Hivi kwanni Ulaya Mashariki wakiongozwa na Russia wana tabia za kijinga jinga kama waafrika ?referendum ni jibu tosha kuwa ground wanamfirimba ndio maana anatafuta utetez kama wa IDD Amin alikuja kusema kavamiwa wakati yeye alianza uvamiz
Ume run mad, mbona unajiongelesha arifu ?Putin kamwambia kiduku test moja kwanza limepita anga ya wajapan wamejambamba mpaka wameambiwa wajifiche jiulize mbona kuna air defence ya marekani
Hizo 2000km wata rudishwa nyuma km 4000 ndani ya siku 1 tu. Subiri Vijana waletwe 300,000.Mkuu huyu anatia sini makaratasi tu Kremlin ishaanguka kitambo tu Donbas haiko tena controled na Russia, Ukrean washarudisha miji
Mkuu huyu anatia saini makaratasi tu Keremlin ishaanguka kitambo Donbas toke Ijumaa aliyosherehekea Jumamosi watu wakapiga mzigo kurejesha hayo majimbo aliyopiga kura kimchongo
View attachment 2377638