Ameshasaini tayari sasa tuelekeze macho Ukraine

Mkuu huyu anatia sini makaratasi tu Kremlin ishaanguka kitambo tu Donbas haiko tena controled na Russia, Ukrean washarudisha miji
Hizo 2000km wata rudishwa nyuma km 4000 ndani ya siku 1 tu. Subiri Vijana waletwe 300,000.
walete mdhungu sio,…., hao vijana laki 3 wameanriwa kurejeshwa mana wanaenda kufa tu, putin hana namna majesh yk yameenda na maji china na aila zao wamemtosa kwenye kina kirefu cha maji na hakuna dalili ya ufukwe
 
Yupo sahihi kabisa kama mataifa ya Ulaya na Marekani wameshikilia matrilioni ya dola za Urusi ikiwemo kutaifisha makampuni mbalimbali na vikwazo lukuki hana njia zaidi ya kukamata Ardhi kubwa kam hio km Bond. Mwisho wa siku ukitak urejeshew ardhi yako basi na ww urudishe pesa za watu na fidia
 
Putin kamwambia kiduku test moja kwanza limepita anga ya wajapan wamejambamba mpaka wameambiwa wajifiche jiulize mbona kuna air defence ya marekani
Comment yenye utoto mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…