Ngurubhe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,840
- 1,049
Wadau nadhani wengi mtakuwa mnashitushwa na hili,lakini ninamdogo wangu ambae alishwahi kufanya kazi katika taasisi fulani kwa mda wa miaka takribani miwili,na kisha akaenda masomoni.
Akiwa anafanya kazi katika taasis ile aliambiwa hatoripwa mshahara bali posho,na kuwa angesapotiwa akiwa masomoni lakinj akimalza ataamua kurdi katika taasisi ile au laa.
Akiwa mwaka wa pili chuo wale watu walimchanjia kuwa kama hatowapa vyeti basi hawatoendelea kumsapoti,nayeye kwa hofu aliwapa vyeti
Sasa amemaliza masomo yake na anataka kuwaajiliwa serikalini kulingana na kutofuruhishwa na mienendo ya mkuu wa kituo(taasisi hio kwa sasa) na wenye taasis wao wanataka awepo hapo na yeye hakika hataki.
Je kuna msaada wowote kisheria anaweza kuupata? Ili apate vyeti vyake?
Msaaada wa japo mawazo watalaam!
Akiwa anafanya kazi katika taasis ile aliambiwa hatoripwa mshahara bali posho,na kuwa angesapotiwa akiwa masomoni lakinj akimalza ataamua kurdi katika taasisi ile au laa.
Akiwa mwaka wa pili chuo wale watu walimchanjia kuwa kama hatowapa vyeti basi hawatoendelea kumsapoti,nayeye kwa hofu aliwapa vyeti
Sasa amemaliza masomo yake na anataka kuwaajiliwa serikalini kulingana na kutofuruhishwa na mienendo ya mkuu wa kituo(taasisi hio kwa sasa) na wenye taasis wao wanataka awepo hapo na yeye hakika hataki.
Je kuna msaada wowote kisheria anaweza kuupata? Ili apate vyeti vyake?
Msaaada wa japo mawazo watalaam!