Is this a body language? Kwa kweli kama ni test leo hii nimeshafeli..... Tafadhali nisaidie kamusi ya lugha hii..... Au ndio hadi mark-up test?...yaelekea majority ya maoni ya kina dada wanakuasa usimwambie ila 'mwonyeshe' kwa ishara.
Effective (body language) communication mnazungumzia ni 'touching-petting-et al' kama aliyosema MwanajamiiOne, ama ni pamoja na matendo Incl hugging & kissing? chatting, calling & texting...
Ishara zipo za aina nyingi, BJ jifunze hizi pia kumuonyeshea..
...:A S-heart-2:😛ray2:...
nakushauri usimwambie!
kama anakuhitaji atakwambia sbb lazima tu kuna vidalili umemuonesha!
kumuanza mwanaume ni big no nooo hamna cha zama za uwazi wala cha nini nioneni mshamba tu lkn huo ni mtazamo wangu!
wengine hata kama alikua anapanga jinsi ya kukuanza ukimtongoza tu unamkata stimu zote.
anyway Belinda huu ni ushauri tu wewe ndio utakayeamua upi wa kufuata na upi wa kupotezea ila nakutakia kila la kheri!
BJ tatizo naamini lipo hapo kwenye nilipoweka msisitizo kwa rangi rouge.
unamaana gani "rafiki wa kawaida"? ushauri wangu ni kwanza anza kuvunja hilo
la kukuona wewe ni rafiki wa kawaida bali urafiki wako na yeye upo level nyingine
yaani "special" si lazima uwe wa mapenzi bali huyo jamaa akiwa na wewe ajisikie
tofauti na anapokuwa na wadada wengine hapo kwa ofisi (inawezekana na wao
wanamlia-timing).
hizo luga za mwili hata wengine wanazijua tena wale mapepe ndo mafundi wa kujilengesha
kwa lugha za mwili. unatakiwa nawe uwe adimu ila unapatikana. kama unataka ndoa inabidi
umuonyeshe kwamba wewe ni material ya kuwa mke, usitumie muda unaokuwa nae kulalamika
shida za maisha bali mazungumzo ya matumaini ya future njema nk.
kwa sas ni hayo tuu.
nakutakia mafanikio
Kweli kabisa, mi mwenyewe naamini mtu ukiwa na hisia juu ya mtu unamwambia ili uwe free ila akinifikiria hivyo je na mimi ni mwanamke?! Inabidi niwe na kifua kweli kweli cha kumwambia.
Huyu kaka nafanya nae kazi ametokea kweli kuuteka moyo wangu, sidhani kama anaelewa hilo ila ninaongea nae kama marafiki wa kawaida. Yani sijawahi kujisikia kama hivi kwa mwanaume mwingine.
So far nimevutiwa nae kwa jinsi alivyo pia hobbies zetu zinaendana. Ni kaka mcheshi, mkarimu, anavaa vizuri&smart(sidhani kama ni mzaire yani anang'aa nje ya nyumba tu).
Sijui kama yupo ''attached'' japo hajaoa kutokana na maongezi tunayokuwa nayo.
Je nimwambie ukweli? au atanifikiriaje?Nitaanzaje?Au nimsubiri azisome hisia?how?
NB: Nipo serious mana naamini hisia zangu za nguvu, namuwazia kuwa baba wa watoto wangu tukijaliwa kuwa wote🙂))
hiyo ndio hofu yangu, BJ umeshajua kama huyu kaka hana uhusiano mwingine?mwanaume hakataagi, kama akiona umelianzisha mwenyewe japo yupo kwenye uhusiano atakubali ili atimize haja zake...otherwise unaweza kuwa karibu nae, ukiendelea kumsoma vizuri, wkend moja moja mkaribishe lunch home bila kumweleza lolote, story za hapa na pale....kama mnamawacliano ya fone mtumie sms nzuri nzuri, sio za i luv u.....hapana....mpe maneno matam/mazuri..atakapobugi step kufungua kinywa chake kukueleza jambo ulilokuwa unalitamani usichezee chancee..ui2mie ipasavyo kukamilisha lengo lako.....kama ni rijali kama wanaume wengine atahamacka lazima.
Yuko na mwingine.. Anaitwa DA sijui vile.......for the first time eversince nimemfahamu BJ.......
:A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1:
LOL Sio wote luv, ila mi naunga mkono ushauri wako murua kwa BJ.....
dah nyamayao ! nilipoona nick yako tu tayari nishasahau hata pesiwedi yangu ya JF, moyo unaenda antiklokwaiz, jasho la sharubu linanitoka.luv mie nahic ku approach kuna ugumu wake, nyie wanaume tu tunawaonaga mnavyojikanyaga(baadhi), ijekuwa mwanamke aanze? mie nadhani ili pia aheshimike mbeleni na huyo kaka ni bora amtege tu kaka aanze mwenyewe..
dah nyamayao ! nilipoona nick yako tu tayari nishasahau hata pesiwedi yangu ya JF, moyo unaenda antiklokwaiz, jasho la sharubu linanitoka.
za masiku dada?
BJ, I/m sorry this is by the way wala usinielewe vibaya mpendwa. Just in case, I repeat just in case jamaa amedecline kwanini usinikonside mimi? Kwa sifa za jamaa namna ulivyozilist mimi ninazo tena I'm afraid kusema kuna maeneo nahisi nitakuwa nimemuoutperform kabisa. So please niweke kama plan B ili usiumie kwa kumkosa yeye ila uwe na kitu kingine ambacho kama nasoma vizuri between the lines ni bora kuliko hicho utakachokuwa umekikosa in a way hutakuwa umelose bali umegain.
Kama mimi, inategemea ni yule ninayemfikiria au la. Maana mtu hula chakula inayofurahisha moyo wake ati. Mara nyingi huwa inakuwa yule unayempenda sana hakuoni au yuko busy sehemu ambayo wala hapendwi hata kidogo.
...Kwa mtazamo wangu kwanini ina take time to sink in;
Naamini, Mapenzi ya kweli 'ni safari ndefu' yenye kupitia kwenye vilima mabonde, maziwa na mito,
bara mpaka pwani. Kuna kupitia kwenye mawimbi na shwari, kwa atayejitosa baharini, kuna papa na nyangumi wanasubiria...
...ni safari inayohitaji uvumilivu, urafiki, upendo, na huruma...
Ni ukurasa mpya wa maisha. Ni maisha ya " 'wewe na mimi!' "
Kukurupuka kwenye safari hii utajikuta umeacha 'malapa, taulo ama mswaki...!'
Mapenzi yana muanzilishi, kisha mnapendana.
Panda mbegu ya upendo uchume na kula mavuno yake milele na milele.
😛ray2: ---Amen!
Hey Belinda umeanza lini haya ya kusongwa na mawazo namna hiyo? Kwanza, huyu jamaa kama hadi hivi sasa hajakusoma hadi mdogo wangu unatatizika itabidi tumnyang'anye kadi yake ya uanaume, tumpige marufuku kukaa karibu na kina dada, na kumfunglia mashtaka ya "crimes against love" kwa kukutesa hadi unataka kufanya mambo ambayo yanaweza kukuweka katika mazingira ya kunyanyasika. Usimuwaze hadi ukajikuta unajipeleka bure; una thamani na mwache yeye mwenyewe atambue. Lakini jilengeshe kiaina tu usijiachilie you know the nataka-sitaki style... goma huku unaenda!
LOL Sio wote luv, ila mi naunga mkono ushauri wako murua kwa BJ.....
Mbu..........aksante kwa twishen kaka. Big Up
Swallow ur pride... Attack like an eagle!!Huyu kaka nafanya nae kazi ametokea kweli kuuteka moyo wangu, sidhani kama anaelewa hilo ila ninaongea nae kama marafiki wa kawaida. Yani sijawahi kujisikia kama hivi kwa mwanaume mwingine.
So far nimevutiwa nae kwa jinsi alivyo pia hobbies zetu zinaendana. Ni kaka mcheshi, mkarimu, anavaa vizuri&smart(sidhani kama ni mzaire yani anang'aa nje ya nyumba tu).
Sijui kama yupo ''attached'' japo hajaoa kutokana na maongezi tunayokuwa nayo.
Je nimwambie ukweli? au atanifikiriaje?Nitaanzaje?Au nimsubiri azisome hisia?how?
NB: Nipo serious mana naamini hisia zangu za nguvu, namuwazia kuwa baba wa watoto wangu tukijaliwa kuwa wote🙂))
FL1 mambo ya uzoefu hayo tena ..Maskini Belinda pole sana mapenzi yanautesa moyo wako.
Nadhani sasa uanze kutumia Body language ipasavyo
manenio ya adhahabu haya
nidai peremende!!
utamwanzaje bwana?we ongea kwa lugha za malaika tu ishara nying sanaaaaaaa yeye atajua tu apa kunamvua....
LUGHA YA KIKE NI MATENDO....mpe action aisome movie..
pole ...mweeeee ivi inakuwaje mpk inakutokea hali i?
dah kaz bt pole mwaya....dna dna,lunch ivi,zawad za apa na pale+ CARING ZA APA NA pale mwenyewe ataisoma plate no..na KM hajavutiwa nae kimahaba atakwambia tu au utasoma reply zake bt USISEME KWA MDOMO.
nimekumbuka kitabu cjui cha willy gamba 'naapa sitarudia kupenda' good luck sweetheart kama si yeye basi yupo aliyeandaliwa na anayeutambua umuhimu wako
...tormented with a secret crush! ...basi BJ, 'mfungulie' tu yaliyo moyoni mwako.
Vunja mwiko, ...take it to another level, ---sogeza urafiki karibu---, kisha sema nae.
Bora nimeshaicha hiyo habari, I guarantee!!!!
hongera kwa kuvunja ukimya!ni pm nikufundishe,mimi wanaume wote niliowahi kuwapenda nilijua jinsi ya kuwaingiza line na hakuna aliyepindua waliingia kichwa kichwa!
haaaaaah mapenzi mpira wa kona, jitose mzima mzima, utarudi hapa kuutumbia tu
BJ tatizo naamini lipo hapo kwenye nilipoweka msisitizo kwa rangi rouge.
unamaana gani "rafiki wa kawaida"? ushauri wangu ni kwanza anza kuvunja hilo
la kukuona wewe ni rafiki wa kawaida bali urafiki wako na yeye upo level nyingine
yaani "special" si lazima uwe wa mapenzi bali huyo jamaa akiwa na wewe ajisikie
tofauti na anapokuwa na wadada wengine hapo kwa ofisi (inawezekana na wao
wanamlia-timing).
hizo luga za mwili hata wengine wanazijua tena wale mapepe ndo mafundi wa kujilengesha
kwa lugha za mwili. unatakiwa nawe uwe adimu ila unapatikana. kama unataka ndoa inabidi
umuonyeshe kwamba wewe ni material ya kuwa mke, usitumie muda unaokuwa nae kulalamika
shida za maisha bali mazungumzo ya matumaini ya future njema nk.
kwa sas ni hayo tuu.
nakutakia mafanikio
Mwanamke anatafutwa, hatafuti. Itakucost baada ya muda au maishani kwani kuna siku itambidi atumie uanaume wake kupropose, be sure atapropose kwa mwingine kukamilisha uanaume wake. Hata hivyo wanaume woe hawafanani, waweza jaribu bahati yako. Kumbuka you live only once, so make it right. Don't experiment put your love life.
Let nature take its course, kama ni wako atakutokea, pengine naye anakutamani anakuvutia kasi. Kama si wako, si wako tu hata ukamuanza na akakukubali, iko siku ataenda anapostahili.
Huu ndio ukweli, fanya kila kinachowezekana yeye akuelewe, usijaribu kumwambia utaharibu kila kitu... tatizo ni kuwa hiyo siyo kawaida yetu, at the end of the day atakuona huko sawa, au umetahayari.. tumia njia nyingine zote yeye akuelewe na mfikie lengo lako!!!
Katika yote uliyoongea hapo juu, Nimependa hapo ulipoweka recommendation kwenye RED, !Nawasilisha
Acha utani wewe, tena ucthubutu kumwambia.. Kama kweli unamtaka, mtengenezee mvuto...
Taratibu kidonge cha malaria. si magonjwa yote ni malaria. magonjwa mengine tunatibu sisi huku martenity ward.dah nyamayao ! nilipoona nick yako tu tayari nishasahau hata pesiwedi yangu ya JF, moyo unaenda antiklokwaiz, jasho la sharubu linanitoka.
za masiku dada?
hakyanani hizo sifa zote ninazo (shahidi wangu dikshineri la oxford), nianzishe mgogoro na waifu nini? nimemiss kweli ile kuvaa suti la harusi.
LOL Sio wote luv, ila mi naunga mkono ushauri wako murua kwa BJ.....
Yuko na mwingine.. Anaitwa DA sijui vile.......
Mbu..........aksante kwa twishen kaka. Big Up
Swallow ur pride... Attack like an eagle!!
Usisubiri hisani ya watu wa Marekani, Mpe ukweli uone na yeye atahamasika vipi, waweza kuta na yeye mate yanamdondoka tu lkn kashindwa kukuambia