Ameuteka Moyo Wangu!!!!

Ameuteka Moyo Wangu!!!!

...yaelekea majority ya maoni ya kina dada wanakuasa usimwambie ila 'mwonyeshe' kwa ishara.

Effective (body language) communication mnazungumzia ni 'touching-petting-et al' kama aliyosema MwanajamiiOne, ama ni pamoja na matendo Incl hugging & kissing? chatting, calling & texting...

Ishara zipo za aina nyingi, BJ jifunze hizi pia kumuonyeshea..

body_language.jpg


...:A S-heart-2:😛ray2:...
Is this a body language? Kwa kweli kama ni test leo hii nimeshafeli..... Tafadhali nisaidie kamusi ya lugha hii..... Au ndio hadi mark-up test?
 
nakushauri usimwambie!
kama anakuhitaji atakwambia sbb lazima tu kuna vidalili umemuonesha!
kumuanza mwanaume ni big no nooo hamna cha zama za uwazi wala cha nini nioneni mshamba tu lkn huo ni mtazamo wangu!
wengine hata kama alikua anapanga jinsi ya kukuanza ukimtongoza tu unamkata stimu zote.
anyway Belinda huu ni ushauri tu wewe ndio utakayeamua upi wa kufuata na upi wa kupotezea ila nakutakia kila la kheri!

Huu ndio ukweli, fanya kila kinachowezekana yeye akuelewe, usijaribu kumwambia utaharibu kila kitu... tatizo ni kuwa hiyo siyo kawaida yetu, at the end of the day atakuona huko sawa, au umetahayari.. tumia njia nyingine zote yeye akuelewe na mfikie lengo lako!!!
 
BJ tatizo naamini lipo hapo kwenye nilipoweka msisitizo kwa rangi rouge.
unamaana gani "rafiki wa kawaida"? ushauri wangu ni kwanza anza kuvunja hilo
la kukuona wewe ni rafiki wa kawaida bali urafiki wako na yeye upo level nyingine
yaani "special" si lazima uwe wa mapenzi bali huyo jamaa akiwa na wewe ajisikie
tofauti na anapokuwa na wadada wengine hapo kwa ofisi (inawezekana na wao
wanamlia-timing).

hizo luga za mwili hata wengine wanazijua tena wale mapepe ndo mafundi wa kujilengesha
kwa lugha za mwili. unatakiwa nawe uwe adimu ila unapatikana. kama unataka ndoa inabidi
umuonyeshe kwamba wewe ni material ya kuwa mke, usitumie muda unaokuwa nae kulalamika
shida za maisha bali mazungumzo ya matumaini ya future njema nk.
kwa sas ni hayo tuu.
nakutakia mafanikio


Katika yote uliyoongea hapo juu, Nimependa hapo ulipoweka recommendation kwenye RED, !Nawasilisha
 
Kweli kabisa, mi mwenyewe naamini mtu ukiwa na hisia juu ya mtu unamwambia ili uwe free ila akinifikiria hivyo je na mimi ni mwanamke?! Inabidi niwe na kifua kweli kweli cha kumwambia.

Acha utani wewe, tena ucthubutu kumwambia.. Kama kweli unamtaka, mtengenezee mvuto...
 
Huyu kaka nafanya nae kazi ametokea kweli kuuteka moyo wangu, sidhani kama anaelewa hilo ila ninaongea nae kama marafiki wa kawaida. Yani sijawahi kujisikia kama hivi kwa mwanaume mwingine.
So far nimevutiwa nae kwa jinsi alivyo pia hobbies zetu zinaendana. Ni kaka mcheshi, mkarimu, anavaa vizuri&smart(sidhani kama ni mzaire yani anang'aa nje ya nyumba tu).
Sijui kama yupo ''attached'' japo hajaoa kutokana na maongezi tunayokuwa nayo.
Je nimwambie ukweli? au atanifikiriaje?Nitaanzaje?Au nimsubiri azisome hisia?how?

NB: Nipo serious mana naamini hisia zangu za nguvu, namuwazia kuwa baba wa watoto wangu tukijaliwa kuwa wote🙂))

hakyanani hizo sifa zote ninazo (shahidi wangu dikshineri la oxford), nianzishe mgogoro na waifu nini? nimemiss kweli ile kuvaa suti la harusi.
 
hiyo ndio hofu yangu, BJ umeshajua kama huyu kaka hana uhusiano mwingine?mwanaume hakataagi, kama akiona umelianzisha mwenyewe japo yupo kwenye uhusiano atakubali ili atimize haja zake...otherwise unaweza kuwa karibu nae, ukiendelea kumsoma vizuri, wkend moja moja mkaribishe lunch home bila kumweleza lolote, story za hapa na pale....kama mnamawacliano ya fone mtumie sms nzuri nzuri, sio za i luv u.....hapana....mpe maneno matam/mazuri..atakapobugi step kufungua kinywa chake kukueleza jambo ulilokuwa unalitamani usichezee chancee..ui2mie ipasavyo kukamilisha lengo lako.....kama ni rijali kama wanaume wengine atahamacka lazima.

LOL Sio wote luv, ila mi naunga mkono ushauri wako murua kwa BJ.....
 
LOL Sio wote luv, ila mi naunga mkono ushauri wako murua kwa BJ.....

luv mie nahic ku approach kuna ugumu wake, nyie wanaume tu tunawaonaga mnavyojikanyaga(baadhi), ijekuwa mwanamke aanze? mie nadhani ili pia aheshimike mbeleni na huyo kaka ni bora amtege tu kaka aanze mwenyewe..
 
luv mie nahic ku approach kuna ugumu wake, nyie wanaume tu tunawaonaga mnavyojikanyaga(baadhi), ijekuwa mwanamke aanze? mie nadhani ili pia aheshimike mbeleni na huyo kaka ni bora amtege tu kaka aanze mwenyewe..
dah nyamayao ! nilipoona nick yako tu tayari nishasahau hata pesiwedi yangu ya JF, moyo unaenda antiklokwaiz, jasho la sharubu linanitoka.

za masiku dada?
 
dah nyamayao ! nilipoona nick yako tu tayari nishasahau hata pesiwedi yangu ya JF, moyo unaenda antiklokwaiz, jasho la sharubu linanitoka.

za masiku dada?

yaani umenipamba weee....lol...mie mzima wa afya njema hofu kwako kipenzi.
 
BJ, I/m sorry this is by the way wala usinielewe vibaya mpendwa. Just in case, I repeat just in case jamaa amedecline kwanini usinikonside mimi? Kwa sifa za jamaa namna ulivyozilist mimi ninazo tena I'm afraid kusema kuna maeneo nahisi nitakuwa nimemuoutperform kabisa. So please niweke kama plan B ili usiumie kwa kumkosa yeye ila uwe na kitu kingine ambacho kama nasoma vizuri between the lines ni bora kuliko hicho utakachokuwa umekikosa in a way hutakuwa umelose bali umegain.

Usijali, I don't judge people kirahisi..umenifurahisha lakini,pia kusikia una hizo sifa nilizotaja za huyo mkaka lazima moyo wako ulishtuka na kuhisi ni wewe ulivyosoma thread hii..pole kwa kukushtua..ha ha
Well plan B kwenye haya mambo haikosekani hadi plan C mana A&B zinaweza kukwama si unaelewa..
Acha nimgojee huu mkaka huenda kabla ya 31Dec anaweza kunifuata mwenyewe..nitakuhabarisheni!! ha ha



Kama mimi, inategemea ni yule ninayemfikiria au la. Maana mtu hula chakula inayofurahisha moyo wake ati. Mara nyingi huwa inakuwa yule unayempenda sana hakuoni au yuko busy sehemu ambayo wala hapendwi hata kidogo.

mmh kweli kumbe shughuli ni ngumu sana hii ya kupenda mtu mana unaweza kuwa hufikiriwi kabisa hata top 10..sasa imewahi kutokea wewe umemzimia mdada lakini hajakupokea moyoni mwake??unajisikiaje?au ndo wanaume mnazoea na ni kawaida kuliko ikiwa vice-versa?



...Kwa mtazamo wangu kwanini ina take time to sink in;

Naamini, Mapenzi ya kweli 'ni safari ndefu' yenye kupitia kwenye vilima mabonde, maziwa na mito,
bara mpaka pwani. Kuna kupitia kwenye mawimbi na shwari, kwa atayejitosa baharini, kuna papa na nyangumi wanasubiria...

...ni safari inayohitaji uvumilivu, urafiki, upendo, na huruma...
Ni ukurasa mpya wa maisha. Ni maisha ya " 'wewe na mimi!' "
Kukurupuka kwenye safari hii utajikuta umeacha 'malapa, taulo ama mswaki...!'

Mapenzi yana muanzilishi, kisha mnapendana.
Panda mbegu ya upendo uchume na kula mavuno yake milele na milele.
😛ray2: ---Amen!

Jamani hata safari si inamwisho hata kama ni umbali gani..na mtu ukisikia kiu lazima unywe maji ndo upoe..
Uvumilivu ni jambo bora, inabidi nijifunze kuwa mvumilivu zaidi sanasana kwenye hili..japokuwa siwezi kutabiria hiyo safari yetu itakavyokuwa lakini kwa sasa naona yeye ndo kama ameshushwa for me..sent from heaven yani acha tu



Hey Belinda umeanza lini haya ya kusongwa na mawazo namna hiyo? Kwanza, huyu jamaa kama hadi hivi sasa hajakusoma hadi mdogo wangu unatatizika itabidi tumnyang'anye kadi yake ya uanaume, tumpige marufuku kukaa karibu na kina dada, na kumfunglia mashtaka ya "crimes against love" kwa kukutesa hadi unataka kufanya mambo ambayo yanaweza kukuweka katika mazingira ya kunyanyasika. Usimuwaze hadi ukajikuta unajipeleka bure; una thamani na mwache yeye mwenyewe atambue. Lakini jilengeshe kiaina tu usijiachilie you know the nataka-sitaki style... goma huku unaenda!

Jamani Mwanakijiji, huu msongamano wa mawazo umeanza karibuni baada ya huyu kaka kukaa akilini mwangu kupita maelezo..yani kama haelewi na kupata hisia na yeye hadi sasa inabidi tumfungulie mashtaka mana anitesa na mie kumuwaza hivi bila kutatua tatizo..
Asante kwa ushauri mkubwa wangu, nitaitunza thamani yangu huku nikiwa na mitego kadhaa ili anase yeye na kunitamkia...
Hiyo staili ya goma huku unaenda imetulia mana unakuwa 50/50..
 
LOL Sio wote luv, ila mi naunga mkono ushauri wako murua kwa BJ.....

Hommie hebu nambie....umekuja kushauri au kuunga mkono ushauri? Na ile kesi yako iliyo kwa teamo unaijibu lini....
 
Huyu kaka nafanya nae kazi ametokea kweli kuuteka moyo wangu, sidhani kama anaelewa hilo ila ninaongea nae kama marafiki wa kawaida. Yani sijawahi kujisikia kama hivi kwa mwanaume mwingine.
So far nimevutiwa nae kwa jinsi alivyo pia hobbies zetu zinaendana. Ni kaka mcheshi, mkarimu, anavaa vizuri&smart(sidhani kama ni mzaire yani anang'aa nje ya nyumba tu).
Sijui kama yupo ''attached'' japo hajaoa kutokana na maongezi tunayokuwa nayo.
Je nimwambie ukweli? au atanifikiriaje?Nitaanzaje?Au nimsubiri azisome hisia?how?

NB: Nipo serious mana naamini hisia zangu za nguvu, namuwazia kuwa baba wa watoto wangu tukijaliwa kuwa wote🙂))
Swallow ur pride... Attack like an eagle!!
 
Usisubiri hisani ya watu wa Marekani, Mpe ukweli uone na yeye atahamasika vipi, waweza kuta na yeye mate yanamdondoka tu lkn kashindwa kukuambia
 
manenio ya adhahabu haya
nidai peremende!!
utamwanzaje bwana?we ongea kwa lugha za malaika tu ishara nying sanaaaaaaa yeye atajua tu apa kunamvua....
LUGHA YA KIKE NI MATENDO....mpe action aisome movie..
pole ...mweeeee ivi inakuwaje mpk inakutokea hali i?
dah kaz bt pole mwaya....dna dna,lunch ivi,zawad za apa na pale+ CARING ZA APA NA pale mwenyewe ataisoma plate no..na KM hajavutiwa nae kimahaba atakwambia tu au utasoma reply zake bt USISEME KWA MDOMO.

Kweli yana uzito sana..nimekusoma Rose besti na nitazingatia hizo lugha za malaika..
hii hali sijui nikuelezee inatokeaje, ni automatic na yani inakuja kutokana na pale hisia zako zimeanguka bila kuzipanga makusudi..
Shukrani mamii..wacha niangalie upepo unaendaje!!


nimekumbuka kitabu cjui cha willy gamba 'naapa sitarudia kupenda' good luck sweetheart kama si yeye basi yupo aliyeandaliwa na anayeutambua umuhimu wako

Hicho kitabu inaelekea kizuri...thanx dearest, tuone mwisho wake mana kila mwanzo una omega yake..

...tormented with a secret crush! ...basi BJ, 'mfungulie' tu yaliyo moyoni mwako.
Vunja mwiko, ...take it to another level, ---sogeza urafiki karibu---, kisha sema nae.

Yani nikimuwaza wimbo wa "love is all around-Wet Wet Wet" unaclick akilini mwangu..
I just hope azinduke na kunifeel ghafla niwe huru,lol


Bora nimeshaicha hiyo habari, I guarantee!!!!

Habari gani Ndahani?!!..umenishtua


hongera kwa kuvunja ukimya!ni pm nikufundishe,mimi wanaume wote niliowahi kuwapenda nilijua jinsi ya kuwaingiza line na hakuna aliyepindua waliingia kichwa kichwa!

Haya Faithful nitakupm unipe fundo hilo...mana inaelekea una ujuzi huo, ila nia yangu nimpate siyo kumpoteza mamii..


haaaaaah mapenzi mpira wa kona, jitose mzima mzima, utarudi hapa kuutumbia tu

Sasa hunipi hata utabiri nikijosa mzima mzima jamani...lolote litakalojiri nitawaambia!!



BJ tatizo naamini lipo hapo kwenye nilipoweka msisitizo kwa rangi rouge.
unamaana gani "rafiki wa kawaida"? ushauri wangu ni kwanza anza kuvunja hilo
la kukuona wewe ni rafiki wa kawaida bali urafiki wako na yeye upo level nyingine
yaani "special" si lazima uwe wa mapenzi bali huyo jamaa akiwa na wewe ajisikie
tofauti na anapokuwa na wadada wengine hapo kwa ofisi (inawezekana na wao
wanamlia-timing).

hizo luga za mwili hata wengine wanazijua tena wale mapepe ndo mafundi wa kujilengesha
kwa lugha za mwili. unatakiwa nawe uwe adimu ila unapatikana. kama unataka ndoa inabidi
umuonyeshe kwamba wewe ni material ya kuwa mke, usitumie muda unaokuwa nae kulalamika
shida za maisha bali mazungumzo ya matumaini ya future njema nk.
kwa sas ni hayo tuu.
nakutakia mafanikio

anaweza kuwa special kwangu lakini sijui kama na yeye ananichukulia hivyo ndiyo mana nimesema urafiki wa kawaida..laiti ungejua natamani iwe special friendship hata sasa lakini bado sijajua moyo wake kama uko kwangu..
Asante nitatumia hizo lugha za mwili na kuona mambo yanaendaje..ushauri mzuri Geofrey,thx


Mwanamke anatafutwa, hatafuti. Itakucost baada ya muda au maishani kwani kuna siku itambidi atumie uanaume wake kupropose, be sure atapropose kwa mwingine kukamilisha uanaume wake. Hata hivyo wanaume woe hawafanani, waweza jaribu bahati yako. Kumbuka you live only once, so make it right. Don't experiment put your love life.

Let nature take its course, kama ni wako atakutokea, pengine naye anakutamani anakuvutia kasi. Kama si wako, si wako tu hata ukamuanza na akakukubali, iko siku ataenda anapostahili.

Ama nimekusoma na shukrani..kama ulivyosema we live only once, so life is meant to be spent accordingly na kufurahia kadri tuwezavyo ila vizingiti maishani havikosekani tena kama unahitaji kitu na hukipati..
Sawa tuone mwelekeo..kama ni wangu atakuwa wangu au siyo


Huu ndio ukweli, fanya kila kinachowezekana yeye akuelewe, usijaribu kumwambia utaharibu kila kitu... tatizo ni kuwa hiyo siyo kawaida yetu, at the end of the day atakuona huko sawa, au umetahayari.. tumia njia nyingine zote yeye akuelewe na mfikie lengo lako!!!

Nimemuelewa Cheusi...basi nitafanya kila jitihada anielewe!!..vinginevyo nisingependa kumpoteza wala kuendelea kumwona kama rafiki tu


Katika yote uliyoongea hapo juu, Nimependa hapo ulipoweka recommendation kwenye RED, !Nawasilisha

Yani hiyo imetulia pia nimeona..thanx to Geofrey kwa kuipont out!!


Acha utani wewe, tena ucthubutu kumwambia.. Kama kweli unamtaka, mtengenezee mvuto...

Jamani ulivyonishupalia, sijamwambia ndiyo mana nauliza nifanyeje mana naamini imewahi kuwatokea hali kama hii watu kadhaa humu ndani..haya subiri nimwandalie mvuto mwanana..shukran
 
dah nyamayao ! nilipoona nick yako tu tayari nishasahau hata pesiwedi yangu ya JF, moyo unaenda antiklokwaiz, jasho la sharubu linanitoka.

za masiku dada?
Taratibu kidonge cha malaria. si magonjwa yote ni malaria. magonjwa mengine tunatibu sisi huku martenity ward.
 
hakyanani hizo sifa zote ninazo (shahidi wangu dikshineri la oxford), nianzishe mgogoro na waifu nini? nimemiss kweli ile kuvaa suti la harusi.

Basi ulishtuka mwenyewe eeh..ha ha usianzishe mgogoro hapo home mana hapatalalika mweh!!
Inaelekea huyu kaka ni pacha wako au mnaendana kwa hizo sifa..sema tu hajaoa


LOL Sio wote luv, ila mi naunga mkono ushauri wako murua kwa BJ.....

Kaizer nahisi inategemeana na watu japokuwa huwezi kumsoma tu kwa paji la uso na kujua huyu ni hivi na hule ni vile..love wako kanipa ushauri mwanana..umewahi kupendwa na kuambiwa na mdada?ilikuwaje?be honest,lol


Yuko na mwingine.. Anaitwa DA sijui vile.......

DA? ndo yupi yule Dreamliner? Teamo kanifurahisha kweli kwa comment yake🙂))


Mbu..........aksante kwa twishen kaka. Big Up

Si mchezo maridadi..nahisi anafaa kwenye beg parties pia..ha ha


Swallow ur pride... Attack like an eagle!!

Mkeshahoi umenikumbusha pia wimbo wa The Temptations " Ain't too proud to beg"
Thanx mkuu


Usisubiri hisani ya watu wa Marekani, Mpe ukweli uone na yeye atahamasika vipi, waweza kuta na yeye mate yanamdondoka tu lkn kashindwa kukuambia

Mpaka wapitishe hao wahisani si atakuwa ameshakamatwa na mwingine..namuombea afeel the same ili tuongee lugha moja..
 
Back
Top Bottom