manenio ya adhahabu haya
nidai peremende!!
utamwanzaje bwana?we ongea kwa lugha za malaika tu ishara nying sanaaaaaaa yeye atajua tu apa kunamvua....
LUGHA YA KIKE NI MATENDO....mpe action aisome movie..
pole ...mweeeee ivi inakuwaje mpk inakutokea hali i?
dah kaz bt pole mwaya....dna dna,lunch ivi,zawad za apa na pale+ CARING ZA APA NA pale mwenyewe ataisoma plate no..na KM hajavutiwa nae kimahaba atakwambia tu au utasoma reply zake bt USISEME KWA MDOMO.
Kweli yana uzito sana..nimekusoma Rose besti na nitazingatia hizo lugha za malaika..
hii hali sijui nikuelezee inatokeaje, ni automatic na yani inakuja kutokana na pale hisia zako zimeanguka bila kuzipanga makusudi..
Shukrani mamii..wacha niangalie upepo unaendaje!!
nimekumbuka kitabu cjui cha willy gamba 'naapa sitarudia kupenda' good luck sweetheart kama si yeye basi yupo aliyeandaliwa na anayeutambua umuhimu wako
Hicho kitabu inaelekea kizuri...thanx dearest, tuone mwisho wake mana kila mwanzo una omega yake..
...tormented with a secret crush! ...basi BJ, 'mfungulie' tu yaliyo moyoni mwako.
Vunja mwiko, ...take it to another level, ---sogeza urafiki karibu---, kisha sema nae.
Yani nikimuwaza wimbo wa "love is all around-Wet Wet Wet" unaclick akilini mwangu..
I just hope azinduke na kunifeel ghafla niwe huru,lol
Bora nimeshaicha hiyo habari, I guarantee!!!!
Habari gani Ndahani?!!..umenishtua
hongera kwa kuvunja ukimya!ni pm nikufundishe,mimi wanaume wote niliowahi kuwapenda nilijua jinsi ya kuwaingiza line na hakuna aliyepindua waliingia kichwa kichwa!
Haya Faithful nitakupm unipe fundo hilo...mana inaelekea una ujuzi huo, ila nia yangu nimpate siyo kumpoteza mamii..
haaaaaah mapenzi mpira wa kona, jitose mzima mzima, utarudi hapa kuutumbia tu
Sasa hunipi hata utabiri nikijosa mzima mzima jamani...lolote litakalojiri nitawaambia!!
BJ tatizo naamini lipo hapo kwenye nilipoweka msisitizo kwa rangi rouge.
unamaana gani "rafiki wa kawaida"? ushauri wangu ni kwanza anza kuvunja hilo
la kukuona wewe ni rafiki wa kawaida bali urafiki wako na yeye upo level nyingine
yaani "special" si lazima uwe wa mapenzi bali huyo jamaa akiwa na wewe ajisikie
tofauti na anapokuwa na wadada wengine hapo kwa ofisi (inawezekana na wao
wanamlia-timing).
hizo luga za mwili hata wengine wanazijua tena wale mapepe ndo mafundi wa kujilengesha
kwa lugha za mwili. unatakiwa nawe uwe adimu ila unapatikana. kama unataka ndoa inabidi
umuonyeshe kwamba wewe ni material ya kuwa mke, usitumie muda unaokuwa nae kulalamika
shida za maisha bali mazungumzo ya matumaini ya future njema nk.
kwa sas ni hayo tuu.
nakutakia mafanikio
anaweza kuwa special kwangu lakini sijui kama na yeye ananichukulia hivyo ndiyo mana nimesema urafiki wa kawaida..laiti ungejua natamani iwe special friendship hata sasa lakini bado sijajua moyo wake kama uko kwangu..
Asante nitatumia hizo lugha za mwili na kuona mambo yanaendaje..ushauri mzuri Geofrey,thx
Mwanamke anatafutwa, hatafuti. Itakucost baada ya muda au maishani kwani kuna siku itambidi atumie uanaume wake kupropose, be sure atapropose kwa mwingine kukamilisha uanaume wake. Hata hivyo wanaume woe hawafanani, waweza jaribu bahati yako. Kumbuka you live only once, so make it right. Don't experiment put your love life.
Let nature take its course, kama ni wako atakutokea, pengine naye anakutamani anakuvutia kasi. Kama si wako, si wako tu hata ukamuanza na akakukubali, iko siku ataenda anapostahili.
Ama nimekusoma na shukrani..kama ulivyosema we live only once, so life is meant to be spent accordingly na kufurahia kadri tuwezavyo ila vizingiti maishani havikosekani tena kama unahitaji kitu na hukipati..
Sawa tuone mwelekeo..kama ni wangu atakuwa wangu au siyo
Huu ndio ukweli, fanya kila kinachowezekana yeye akuelewe, usijaribu kumwambia utaharibu kila kitu... tatizo ni kuwa hiyo siyo kawaida yetu, at the end of the day atakuona huko sawa, au umetahayari.. tumia njia nyingine zote yeye akuelewe na mfikie lengo lako!!!
Nimemuelewa Cheusi...basi nitafanya kila jitihada anielewe!!..vinginevyo nisingependa kumpoteza wala kuendelea kumwona kama rafiki tu
Katika yote uliyoongea hapo juu, Nimependa hapo ulipoweka recommendation kwenye RED, !Nawasilisha
Yani hiyo imetulia pia nimeona..thanx to Geofrey kwa kuipont out!!
Acha utani wewe, tena ucthubutu kumwambia.. Kama kweli unamtaka, mtengenezee mvuto...
Jamani ulivyonishupalia, sijamwambia ndiyo mana nauliza nifanyeje mana naamini imewahi kuwatokea hali kama hii watu kadhaa humu ndani..haya subiri nimwandalie mvuto mwanana..shukran