Amezaa na mume wa mtu, katelekezewa mwanaye

Jamaa hana kosa, alishweka kila kitu bayana apufronti

dada yako kajilengesha kupima upepo
Logically you are correct but,, lakini ni dam yake mkuuu,,mtoto wake,,mbegu zake mkuu
 
Hio hadithi inamhusu askari daktari wa hospitali pale FFU Morogoro, Msukuma mmoja kazalisha demu wa kimbulu mixer na mchaga, hana habari na mtoto na mtoto chatq lake, nilikutana hii story Samaki samaki wkend ilopita nikiwa nakuja Dodoma
Just a coincidence mkuu but this has happened to my sister.
 
Hii habari yako iko wazi inamhusu huyo huyo mdada na huyu mtoto sio kwanza kwake. Na huyo sio dada yako umezuga. Dr.criminal mmmmhhhh kuna ishara hapa
Ni true imemtokea dada ang,,lakn amin as you wish siwez kukilazmsha kuniamn.
 
Sahihi mkuu[emoji1666]
 
@bintimkongw achana na mzabzab huyo atakuimiza kichwa akili zake mwenyew hazimtoshi [emoji23]
 
mtu anakuambia usimletee habari za mimba, mean kwamba hana malengo na wewe na still bado unaenda kumpanulia miguu🤔

Dah! nikiitwa mwanamke napigana, na nitapiga mtu sio kwa sababu sipendi hiyo jinsia ila tu sipendezwi na akili zao.
 
Kiufupi dada yako apambane na hali yake. Alijua ni mume wa mtu akaendelea nae, akapewa warning asizae kiherehere chake akabeba mimba.
Huyo mjamaa hana kosa lolote.
 
Michepuko, michepukooooooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
mtu anakuambia usimletee habari za mimba, mean kwamba hana malengo na wewe na still bado unaenda kumpanulia miguu🤔

Dah! nikiitwa mwanamke napigana, na nitapiga mtu sio kwa sababu sipendi hiyo jinsia ila tu sipendezwi na akili zao.
Mama yako nae hana akili itakuwa
 
Ila we jamaa[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…