Amfumania mumewe akipopolewa na hausi boy

hii teknolojia imetokea wapi? Arabuni au ulaya?
 
Hivi huyo jamaa siku angemfumania mkewe napopolewa na houseboy ingekuwaje?Au jamaa angeamua kuwa mke mkubwa kwa houseboy halafu mkewe mke mdogo?Au wangezitwanga kumgombea houseboy?
 
Habari hii inasikitisha sana..sina hata msaada zaidi ya kumwambia aombe talaka tu
Hii ni fedheha.
Mwambie achukue hatua
 
Huwa natoa cancelling kwa wanawake wanaopata madhira ya aina hii.
Nazjaz kama unaweza nipatie namba ya huyo dada, nitashukuru sana.
 
Huwa natoa cancelling kwa wanawake wanaopata madhira ya aina hii.
Nazjaz kama unaweza nipatie namba ya huyo dada, nitashukuru sana.

Huu wema na ukarimu wako mbona kama unatia mashaka!
 
Sasa that husband is travelling both roads ??

Mungu atunusuru kama ni mimi namwacha au tukubaliane an 'open relationship' maswaibu gani haya?

Ila wanaume wenye vitabia hivi vya kishoga I can smell them a mile from here, we had a boardchairman once who was so into boys! And I know a family with a man who travels both roads ah! Wanaume mmeumbwa mateso kiukweli hakukosea yule mwimbaji!
 
laana kum mwache katafute mume mwingine, huyo sio house boy ndio mumewe huyo
 

Mpe pole sana, lakini hii dhana ya ushoga watu huwa wanafikiri anayempanda mwenzake si shoga tena utakuta anajitangaza kabisa, kifupi wote ni shoga hata huyo h.boy. Cha msingi aachane nae tu aanze maisha upya kwani hata maandiko yameruhusu ndoa kutenganishwa kwa ushahidi wa zinaa peke yake. asithubutu kuendelea nae kwani ataishi maisha ya stress na fedheha siku zote.
 

Nazjaz unatisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…