Uta hit na ku run mpaka lini?We unadhani huyo Issa kasili ange HIT and RUN leo angepata hii fedheha ya kuanikwa kila sehemu kwamba kafumania?
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uta hit na ku run mpaka lini?We unadhani huyo Issa kasili ange HIT and RUN leo angepata hii fedheha ya kuanikwa kila sehemu kwamba kafumania?
#YNWA
Mpaka atakapoanza kuharisha na kutapka mara 62 kwa week!Uta hit na ku run mpaka lini?
Naomba nijibu swali lako kwa kutumia swali .....Uta hit na ku run mpaka lini?
On my pm please sijaona hili timbwili..Waliwekeana vidau
Hichi kipengele cha fidia ni asili yetu sukuma GangIla jamaa (aliyefumania) ni matured enough. Inakuhitaji uwe na moyo aisee!
Umfumanie mkeo alafu usifanye chochote badala yake ukadai fidia?
Tayari nshaona kitambo tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuja kukufundisha
Yeaaaah naipenda ndoa km ile, tatzo babe wangu hatak tyuuh lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unacheka utadhani hili suala ni "fantastic". Hahaa ndio maana ulikuwa unatetea dizaini ya ndoa ya Jada na Will eeeh!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake huwa wanachukuliwaje? It is FUN though.Wanaume marafiki sijui kwanini huwa natembea ya kuwachukulia wenzao wanawake?