Amina Kyando amezingua au? Anasakamwa kila kona

Amina Kyando amezingua au? Anasakamwa kila kona

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Naona anasakamwa sana
20230811_084846.jpg
 
Atakuwa anasakamwa na wale ndugu zetu wa mitaa ya Twiga na Jangwani maana wana hofu ya kupigwa na mnyama bao 2-0 kama game iliyopita.

Ndiyo maana waliwatuma ndugu zao walima alizeti wakamie na kutuumizia baadhi ya wachezaji wetu
Uwe mkweli basi
 
Kwani wanaolalamika ni mashabiki wa Singida au Yanga?

Kifupi Yanga hakupenda kukutana na Mnyama wakati huu, maana ana kidonda ana uguza cha kufungwa bao 2 bila game iliyopita [emoji2957]
Issue siyo kulalamika, ni jinsi tifua tifua ilvyo jaribu kuwafichia aibu simba isionekane ni timu dhaifu kwenye mashindano.
Kama wangetolewa Jana si ajabu Azam wenge jipigia jamvi la wageni

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom