Amini husiamini Bongo kuna dogo ana mafanikio kuliko. Maguire, ana miaka 8

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Huu sio uzi wa michezo.

Ukifuatilia soka letu unaweza dhani Boko, Kagere, Wawa, Nyoni ndio watu wenye mafanikio makubwa katika umri mdogo.

Dogo akiwa na miaka name tayari amegonga kopi Genk, Valencia, Barca na Ajax.

Dogo anasema katika maisha yake ndoto yake kubwa Ni kuwatumikia Jangwani. Na ndoto yake tunamuombea itimie Inshallah
 
kugonga copy unamaanisha KUSAINI na sio kubeba kikombe chochote? kahama kaishia Ajax? halafu ndoto zake UTOPOLO sasa ana mafanikio gani kwa mfano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…