King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Rama d itakua bado... nliona picha ya sms aliyotumiwa na mapacha instagram ...rama bado hakua tayari alikua akiwakejeli...
Weee watakuwa mapacha tu sio vinega wote Rama dee anakula zake bata Australia mziki si anajifurahisha tu
Rama D kakaza kweli njaa noma lazima uombe poo!! Adui muombee njaa atanyoosha mikono juu hata kama alikuwa shujaa.
team anaconda ngumu sana kumwomba msamaha rugeNawaonea huruma na wale wanaojiita sijui team anaconda sijui, maisha haya fanya yako tu sui kuiga.
Instagram ya ramadeetz ilionesha picha ya mapacha kwamba wanaenda kumuomba ruge msamaha yaishe.....
team anaconda ngumu sana kumwomba msamaha ruge
qn of sheba hapa si swala la kulainika bali ni msingi na maana ya kuomba msamaha.Kwani kuna mtu aliwaza vinega watalainika hivi.
vinega walisalitiwa na sugu baada ya kuomba msamaha kwa Ruge.Kwani kuna mtu aliwaza vinega watalainika hivi.
Pengine tusi utafsiri huu msamaha vibaya maana sidhani kama kunaweza kuwa na masla yeyote kwao kama hawatotengeneza mziki mzuri.Uzuri ye anamaisha yake hategemei mziki wa bongo.
Aiseee kumbe na Sugu aliomba msamaha?vinega walisalitiwa na sugu baada ya kuomba msamaha kwa Ruge.
Ila nadhani Jide anajiamini
vinega walisalitiwa na sugu baada ya kuomba msamaha kwa Ruge.
Ila nadhani Jide anajiamini
qn of sheba hapa si swala la kulainika bali ni msingi na maana ya kuomba msamaha.
Kuomba msamaha ni kujutia uliyo yafanya na kukubali kuwa ulikosea na katika hili Mapacha wamethibitisha kuwa walikuwa wana fata mkumbo na walikuwa kama watoto ambao wanaambiwa mtukane au mchukie fulani nao wana fanya bila kuuliza au kuwa na sababu.
Pengine unatakiwa kujua mtu mzima anapoamua kuomba msamaha anakuwa amefikiria sana na amejutia kosa.
Hivyo Mapacha hawajalainika bali wametimiza wajibu wa kibinadamu kuw unapo mkosea mtu ni vyema na ni busara kuomba msamaha.
Katika hili pengine wamekuwa wa kubwa na nina wapongeza kwa maendeleo haya.
Hongera Mapacha kwa kuwa wakubwa.
Acha kudanganya watu na maneno ya kwenye kahawa,
muwe mnafatilia hata vyombo vya habari.
kwani hamkusikia kwenye media Ruge na sugu kupatana?je baada ya hapo ushasikia Sugu akimtusi Ruge kama awali? Ruttashobolwa & kichomizAiseee kumbe na Sugu aliomba msamaha?
Lakini kitendo hiki hakiwezi kuitwa usaliti bali huungwana.
hujambo?Nimeiona Bongo 5 hii habari pia
hujambo?
marhabasijambo