King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Rama d itakua bado... nliona picha ya sms aliyotumiwa na mapacha instagram ...rama bado hakua tayari alikua akiwakejeli...
Weee watakuwa mapacha tu sio vinega wote Rama dee anakula zake bata Australia mziki si anajifurahisha tu
Rama D kakaza kweli njaa noma lazima uombe poo!! Adui muombee njaa atanyoosha mikono juu hata kama alikuwa shujaa.