Amini Usiamini: Mapacha wa AntiVirus wamuomba msamaha Ruge

Aiitaji picha mkuu,walienda na baba yao mzazi kwa Ruge.

So Mshua alitoka Kijenge juu hadi hapo Wafu FM? So magenge watakuwa wanalipwa mshahara na Rugay ama? Vipi Kina Suma,PIN LAWYER,DANY MSIMAMO,SOGGY NA MKOLONI?
 
Bado Jide.

Jide komandoo...anafungua redio yake soon hapo bandari ya salama kawe.

Speaking of mapacha, hawajaomba msamaha...wkend iliyopita niliwaona mitaa ya sinza wanaendeleza harakati zao kawaida na biashara zao.
 
Mkuu MTAZAMO RFA KWELI WALIWAHOJI. CHEKI USHAHIDI WA INSTAGRAM YA RAMADEE. HALAFU MATUMBO NA TEMBELE WOTE MNASEMA MMEONGEA NAO WHY WAWE NA MAJIBU TOFAUTI.
 
Speaking of mapacha, hawajaomba msamaha...wkend iliyopita niliwaona mitaa ya sinza wanaendeleza harakati zao kawaida

Uliwaona wanaendelea kumtukana Ruge au??

Kwani uliambiwa RUGE KAWAKATAZA KUFANYA BIASHARA?
 
ruge inaelekea anawainjoy kwel kwel ...
...
na kaficha kamera ofisini akiwarekodi..siku wakijidai kumdindia..
anawarusha clouds t.v:biggrin1:
 

Mkuu mie nimeongea na Kulwa kathibitisha ni kweli na katoa reasons zake na matarajio yao waliyohaidiwa...siwezi kuja kuwazushia chochote sababu tunaheshimiana sana na pacha....ila kama wameamua kukanusha its ok ukweli utajulikana tu siku moja.....Misimamo sio kitu kidogo,nyie sikieni tu kwa mbali.
 
Last edited by a moderator:
ambae bado haamini aingie bongo5.com nimenasa sauti ya Kulwa kaeleza kila kitu,,,na amekubali
 
Jide komandoo...anafungua redio yake soon hapo bandari ya salama kawe.

Speaking of mapacha, hawajaomba msamaha...wkend iliyopita niliwaona mitaa ya sinza wanaendeleza harakati zao kawaida na biashara zao.
Nadhani redio ishakuwa hewani
 
Uliwaona wanaendelea kumtukana Ruge au??

Kwani uliambiwa RUGE KAWAKATAZA KUFANYA BIASHARA?

Kuwa muelewa kijana. Ok nirahisishe, nikipiga nao stori kadhaa na walikuwa ndio wametoka kutambulisha wimbo wao east africa radio. Bado wana harakati hasi kwa huyo ruge

Nadhani hiyo habari imeletwa ili kuupa kick wimbo wao ku amsha attention kwa watu.
 
Kwani ruge aliwakataza kufanya shughuli za mziki? au bila ruge haiwezekani kujihusisha na muzic? au kupata mafanikio kimuzic lazima clouds wahusike? maana kila msanii asipofanikiwa analaumu clouds media wakati kuna redio kibao nchi hii.labda walalamikie hiyo studio ambayo inasemekana ilitolewa na raisi kikwete kwa wasanii ambapo hatujui makubaliano yalikuwaje.
nawasilisha.
 

Subiri tu 93.7 FM ianze kazi Redio yenu hyo ya Wauza sura na maneno shombo lazima wakae maana komando anapiga amba-cut chembe kidevu lazima ukae,kasanda kalapina lakini magenge bado neck of the street maujanja suplier wamezaliwa kukaza so wana-push to the limit.
 
vinega walisalitiwa na sugu baada ya kuomba msamaha kwa Ruge.
Ila nadhani Jide anajiamini

Mkuu mnapenda sana kuongea msivovijua,n lini sugu aliomba msamaha kwa ruge.?au uliisikia vbaya hyo habar
 
Jide nampa mwaka mmoja tu naye atakuwa kashaomba msamaha akiambatana na mmewake.Chezea Ruge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…