mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Hii imetokea wiki iliyopita ambapo Maujanja Saplayaz a.k.a Mapacha walienda kumuangukia Ruge na wasanii wake ikiwemo F.A ...na wamesamehewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...na wameahidi kuacha kuvuta bangi au?
Ndio matatizo ya kudandia ugomvi. Sugu na ruge walipatana. Sasa hao wakawa wameachwa njia panda.
Siku zote usiingilie ugomvi wa watu 2 kwa kuegamia upande mmoja maana siku wakipatana utakuwa njia panda usijue la kufanya
Noma kweli Black,Peenlawyer,Mkoloni,Rama D ni kweli au kick za ruge tu?
Rama d itakua bado... nliona picha ya sms aliyotumiwa na mapacha instagram ...rama bado hakua tayari alikua akiwakejeli...Noma kweli Black,Peenlawyer,Mkoloni,Rama D ni kweli au kick za ruge tu?
Nawaonea huruma na wale wanaojiita sijui team anaconda sijui, maisha haya fanya yako tu sui kuiga.
Hii habari haijajitosheleza kwa upande wng imekaa ki-gazeti pendwa inahitaji source kwnz.
Ruge na lady jay d wakipatana sijui wale team anaconda watakuwa wap?