Amini usiamini! Nimeokota Tsh milioni 6

Utawafanya watu waanze kukagua mafurushi mwishowe watashika vinyesi
 
Umemaliza kuota?
 
Si za g-nako hizo mkuu maake nae kapoteza kiwango hicho hicho
 
hakikisha unazilipia kodi TRA kijana ili na ww usije ukawa kijipu ukurutu
 
Mhhh...nionyeshe na Mimi nikaokote Nina njaa ya hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…