Soma Mt 16:4 uone jinsi Yesu alivyowajibu waliotaka kuona ishara, kama wewe unavyotaka kuona kiwete akiponywa ndio uamini. Aliwaambia hivi: "'Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona.' Akawaacha, akaenda zake." Ngoja na mimi nikuache niende zangu!Ukitaka niamini huku mtaani kwetu kuna kiwete bado mdogo twende akaombewe apone.. msitutengenezee script bnaaaaaa
Duh hii English deepWhile I acknowledge your prerogative to dismiss my testimony as 'unsupported by evidence,' it is crucial to recognize that personal experience, particularly in the realm of faith, transcends empirical verification and resides in the domain of subjective truth. What you perceive as 'opinions' is, to me, an undeniable reality—one grounded in spiritual conviction rather than empirical scrutiny.
It is not my intention to present my faith as objective fact, but rather to share a deeply transformative experience that defies the limits of conventional reasoning. To equate personal revelation with intentional deceit or fraudulence is an unjust imposition of your own epistemological framework upon something that cannot, by its very nature, be confined to your standards of logical proof.
Your assertion that I am a 'liar' and a 'perjurer' for articulating my belief overlooks the fundamental distinction between subjective testimony and falsification. The absence of material evidence does not inherently negate the veracity of a person's lived experience, especially in matters of the spirit. To label such deeply-held convictions with terms like 'deceiver' and 'fraudster' reflects an undue dismissal of the nuanced relationship between faith, experience, and truth, which cannot always be quantified through your preferred metrics of logic and proof.
Acha bange wewe. Usiombe ukaugua hata magonjwa mawili mwanangu.Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa. Katika maisha yangu nimekuwa nikiugua magonjwa mengi ya aina mbalimbali. Kifuani, tumboni, miguuni, katika vidole, machoni, masikioni, puani, kichwani, nk, nk. Muda hautoshi kuyaeleza kwa kina. Kwa haraka haraka naweza kusema tangu ujana wangu nimeugua zaidi ya magonjwa 100. Namshukuru Mungu kwakuwa amekuwa akiniponya magonjwa kila yanaponiijia. Ninachokifanya, kila nikiumwa, namuomba Mungu aniponye kwa Jina la Yesu, kisha naweka mkono wangu juu ya sehemu inayoumwa na kuuamuru ugonjwa utoke kwa Jina la Yesu; kisha naamini kwamba imekuwa hivyo. Wakati mwingine inachukua muda kuona matokeo lakini wakati mwingine ugonjwa unatoweka saa hiyo hiyo. Maneno aliyosema Yesu ni kweli kabisa. Katika Mk 16:17-18 anasema: “Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu(Yesu) watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.”
Huu ni uthibitisho kuwa Mungu yupo na anatenda miujiza hata leo kwa watu wanaomuamini. Kwa ushuhuda huu sikuambii usiende hospitali. La, hasha! Ukiwa na pesa, nenda. Nenda hata hospitali za nje ya nchi. Hata mimi kuna wakati huwa naenda hospitali kwa kuwa najua kwamba Mungu anaweza pia kuponya kwa kuwatumia madaktari. Hata hivyo ninapoenda hospitali bado naweka matumaini yangu kwa Mungu kwakuwa najua madaktari nao kuna magonjwa yako juu ya uwezo wao au elimu yao; na wakati mwingine nadhani huwa wanajisahau, badala ya kutia moyo wanakatisha tamaa. Kuna siku nilipungukiwa damu, nikaenda kumuona Daktari. Aliponipima na kuhakikisha damu imepungua, akaniuliza: “Damu umepeleka wapi wewe?” Usipokuwa na matumaini kwa Mungu ukiulizwa swali hilo la kuvunja moyo unaweza ukaugua mara mbili zaidi. Na kwa magonjwa niliyougua, kama kila ugonjwa ningekuwa nakimbilia hospitali, ningehitajika kuwa milionea maana ningepaswa kulipa pesa nyingi za matibabu. Namshukuru Yesu anaponya bila kulipa hata senti. Nawasikitikia wanaosema eti Mungu hayupo. Wanakosa baraka hizi za uzima.
Hata hivyo kuna vigezo na masharti ya kuzingatia ili mtu aone kikamilifu uponyaji wa Mungu kwa Jina la Yesu. Baadhi ya vigezo vimeelezwa katika Andiko hili: Kutoka 15:26. “Mungu akasema, ‘Kama mtaisikiliza kwa bidii sauti yangu mimi BWANA Mungu wenu na kuyafanya yaliyo sawa mbele yangu, kama mtayatii maagizo yangu na kuzishika amri zangu zote, sitaleta juu yenu ugonjwa wowote niliowaletea Wamisri, kwa kuwa Mimi ndimi BWANA, niwaponyaye.’” Uponyaji wa Mungu ni wa bure kwa wote wanaozingatia maneno hayo. Ukisikia Mtumishi anakuambia ulipe pesa kwanza ndio akuombee, jihadhari naye. Yesu alipowapa mamlaka wanafunzi wake ya kukemea pepo na kuweka mikono juu ya wagonjwa ili wapone, aliwaambia amewapa bure, hivyo wanapaswa kutoa huduma hiyo bure(Mathayo 10:8).
Yamkini unaumwa, umetibiwa kila mahali hujapona. Usikate tamaa. Ushuhuda huu ukutie moyo kuwa unaweza kupona kwa uwezo wa Jina la Yesu Kristo. Yote yawezekana kwake aaminiye(Mk 9:23). Amen.
MuongoMimi nilianza kuumwa Hasa nikilala usiku na asikia kama maumivu makali kifuani,kama moyo unataka kutoka ,plus shinikizo la juu la damu,mwanzo sikuwa na issue yoyote ya bp,basi nikawa nimeumwa mwaka mzima ,hata kazini nilikuwa siendi kivile,basi nikaendaga kupiga x-ray ,na echo,Dr akasema kwa picha ya x-ray moyo unaonkana umetanuka,na mwenye kipimo cha echo naye akanitisha sana.basi Kuna kipindi ninaomba Mungu aniponyye kwa jina la Yesu.kweli kunA kipindi nikawa sioni BP kupanda Wala nini,Wala siumwi Tena.Basi mwisho nikawa nimeumwa sana ugonjwa tuu haueleweki karibia nife.basi nilivyopona huo ugonjwa nikasema acha niende dar kwenye hospitali moja kubwa tuu nipime Kila kitu ,plus issue za heart kama nipo sawa.basi baada ya vipimo Dr kuniambia moyo wako hauna issue zozote Wala kwenye damu hakuna infection yoyote .kwa kifupi nilipona each and everything kwa jina la Yesu.
Aliumwa kwa niaba yetu na wanyama😂Nipo hapa kusubiri list ya magonjwa 100
Jina la Yesu ni Dawa mataifa munisikieMimi nilianza kuumwa Hasa nikilala usiku na asikia kama maumivu makali kifuani,kama moyo unataka kutoka ,plus shinikizo la juu la damu,mwanzo sikuwa na issue yoyote ya bp,basi nikawa nimeumwa mwaka mzima ,hata kazini nilikuwa siendi kivile,basi nikaendaga kupiga x-ray ,na echo,Dr akasema kwa picha ya x-ray moyo unaonkana umetanuka,na mwenye kipimo cha echo naye akanitisha sana.basi Kuna kipindi ninaomba Mungu aniponyye kwa jina la Yesu.kweli kunA kipindi nikawa sioni BP kupanda Wala nini,Wala siumwi Tena.Basi mwisho nikawa nimeumwa sana ugonjwa tuu haueleweki karibia nife.basi nilivyopona huo ugonjwa nikasema acha niende dar kwenye hospitali moja kubwa tuu nipime Kila kitu ,plus issue za heart kama nipo sawa.basi baada ya vipimo Dr kuniambia moyo wako hauna issue zozote Wala kwenye damu hakuna infection yoyote .kwa kifupi nilipona each and everything kwa jina la Yesu.
Jibu swali badala ya stori mwanangu. Kwanini hawa matapeli wanaojifanya kuponya na kufanya miujiza hawaombei viwete na wagonjwa mahututi wakapona?Soma Mt 16:4 uone jinsi Yesu alivyowajibu waliotaka kuona ishara, kama wewe unavyotaka kuona kiwete akiponywa ndio uamini. Aliwaambia hivi: "'Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona.' Akawaacha, akaenda zake." Ngoja na mimi nikuache niende zangu!
Hilo jina la Yesu lipeke Muhimbili basi ili na wagonjwa wengine wapone.Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa. Katika maisha yangu nimekuwa nikiugua magonjwa mengi ya aina mbalimbali. Kifuani, tumboni, miguuni, katika vidole, machoni, masikioni, puani, kichwani, nk, nk. Muda hautoshi kuyaeleza kwa kina. Kwa haraka haraka naweza kusema tangu ujana wangu nimeugua zaidi ya magonjwa 100. Namshukuru Mungu kwakuwa amekuwa akiniponya magonjwa kila yanaponiijia. Ninachokifanya, kila nikiumwa, namuomba Mungu aniponye kwa Jina la Yesu, kisha naweka mkono wangu juu ya sehemu inayoumwa na kuuamuru ugonjwa utoke kwa Jina la Yesu; kisha naamini kwamba imekuwa hivyo. Wakati mwingine inachukua muda kuona matokeo lakini wakati mwingine ugonjwa unatoweka saa hiyo hiyo. Maneno aliyosema Yesu ni kweli kabisa. Katika Mk 16:17-18 anasema: “Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu(Yesu) watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.”
Huu ni uthibitisho kuwa Mungu yupo na anatenda miujiza hata leo kwa watu wanaomuamini. Kwa ushuhuda huu sikuambii usiende hospitali. La, hasha! Ukiwa na pesa, nenda. Nenda hata hospitali za nje ya nchi. Hata mimi kuna wakati huwa naenda hospitali kwa kuwa najua kwamba Mungu anaweza pia kuponya kwa kuwatumia madaktari. Hata hivyo ninapoenda hospitali bado naweka matumaini yangu kwa Mungu kwakuwa najua madaktari nao kuna magonjwa yako juu ya uwezo wao au elimu yao; na wakati mwingine nadhani huwa wanajisahau, badala ya kutia moyo wanakatisha tamaa. Kuna siku nilipungukiwa damu, nikaenda kumuona Daktari. Aliponipima na kuhakikisha damu imepungua, akaniuliza: “Damu umepeleka wapi wewe?” Usipokuwa na matumaini kwa Mungu ukiulizwa swali hilo la kuvunja moyo unaweza ukaugua mara mbili zaidi. Na kwa magonjwa niliyougua, kama kila ugonjwa ningekuwa nakimbilia hospitali, ningehitajika kuwa milionea maana ningepaswa kulipa pesa nyingi za matibabu. Namshukuru Yesu anaponya bila kulipa hata senti. Nawasikitikia wanaosema eti Mungu hayupo. Wanakosa baraka hizi za uzima.
Hata hivyo kuna vigezo na masharti ya kuzingatia ili mtu aone kikamilifu uponyaji wa Mungu kwa Jina la Yesu. Baadhi ya vigezo vimeelezwa katika Andiko hili: Kutoka 15:26. “Mungu akasema, ‘Kama mtaisikiliza kwa bidii sauti yangu mimi BWANA Mungu wenu na kuyafanya yaliyo sawa mbele yangu, kama mtayatii maagizo yangu na kuzishika amri zangu zote, sitaleta juu yenu ugonjwa wowote niliowaletea Wamisri, kwa kuwa Mimi ndimi BWANA, niwaponyaye.’” Uponyaji wa Mungu ni wa bure kwa wote wanaozingatia maneno hayo. Ukisikia Mtumishi anakuambia ulipe pesa kwanza ndio akuombee, jihadhari naye. Yesu alipowapa mamlaka wanafunzi wake ya kukemea pepo na kuweka mikono juu ya wagonjwa ili wapone, aliwaambia amewapa bure, hivyo wanapaswa kutoa huduma hiyo bure(Mathayo 10:8).
Yamkini unaumwa, umetibiwa kila mahali hujapona. Usikate tamaa. Ushuhuda huu ukutie moyo kuwa unaweza kupona kwa uwezo wa Jina la Yesu Kristo. Yote yawezekana kwake aaminiye(Mk 9:23). Amen.