Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

Ukitaka niamini huku mtaani kwetu kuna kiwete bado mdogo twende akaombewe apone.. msitutengenezee script bnaaaaaa
Soma Mt 16:4 uone jinsi Yesu alivyowajibu waliotaka kuona ishara, kama wewe unavyotaka kuona kiwete akiponywa ndio uamini. Aliwaambia hivi: "'Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona.' Akawaacha, akaenda zake." Ngoja na mimi nikuache niende zangu!
 
The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him kinda proves his non-existence.
Soma uzi wangu unaothibitisha uwepo wa Mungu
 
Wewe huyo huyo kaswende, wewe huyo gono
Hayo ni magonjwa yanayowapata zaidi wazinzi. Nani amekuambia niliumwa kaswende. Mimi nimeokoka bhanaa, uzinzi hauna nafasi kwangu.
 
Au wewe mwenzangu hupendi hela!

1 Tim 6:10 SUV​

Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha; ambayo wengine hali wakiitamani hiyo wamefarakana na Imani, na kujichoma kwa maumivu mengi.
 
Duh hii English deep
 
Acha bange wewe. Usiombe ukaugua hata magonjwa mawili mwanangu.
 
Muongo
 
Jina la Yesu ni Dawa mataifa munisikie
 
Naomba namimi Yesu aniponye haya mapepo yanayonitesa
Kama umeokoka na unaishi maisha matakatifu, mapepo ni kuyaamuru tu kwa Jina la Yesu yatoke. Tumepewa mamlaka hayo katika Mt 10:1.
 


Steve's fishing boat is struck by lightning and explodes into pieces, burns and sinks. He informs his insurance company, which reviews and then subsequently declines his claim on the grounds that it is not liable as his fishing boat was destroyed due to an "act of God".

Frustrated that his claim is repeatedly declined, Steve files a claim against God, naming religious officials (Christian, Jewish, Muslim, etc) as representatives of God and thereby the respondents. The religious leaders, their respective lawyers and their insurance companies get together to find a way to settle this dilemma, which catches the fancy of the media.
 
Jibu swali badala ya stori mwanangu. Kwanini hawa matapeli wanaojifanya kuponya na kufanya miujiza hawaombei viwete na wagonjwa mahututi wakapona?
 
Magonjwa yalikuwa yake, kapona yeye, nyie mnataka kujua nini, mwacheni aendelee kutupa story.

Mnaamini Mwarobaini unatibu magonjwa 40, lakini hamtaki yeye kuponywa magonjwa 100 tu na Yesu?
 
Hilo jina la Yesu lipeke Muhimbili basi ili na wagonjwa wengine wapone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…