Amini, Usiamini. Nimepona Magonjwa 100+ Kwa Jina la Yesu!

Jibu swali nililokuuliza,alikua anamuomba Mungu yupi?

Wewe ni kilaza hujui lolote ndio maana unakwepa hoja zangu,wahi Milembe ukaanze tiba.
Nimekuambia tulia, uwe na subira. Siwezi kueleza kila kitu kwa siku moja.
 
Nimekuambia tulia, uwe na subira. Siwezi kueleza kila kitu kwa siku moja.
Hujui lolote wewe,acha kuhamisha magoli,usitafute pakutokea,
Nilijua tu swali langu usingekua na uwezo wa kulijibu,
Umeishia kuruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla.
 
Hujui lolote wewe,acha kuhamisha magoli,usitafute pakutokea,
Nilijua tu swali langu usingekua na uwezo wa kulijibu,
Umeishia kuruka ruka tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla.
Hilo swali ndio umeona gumu. Inaonekana wewe umekaririshwa tu mistari na wanaopinga Uungu wa Yesu. Kwa sasa nimekuambia sikujibu. Kujibu hilo swali lazima nianzie mbali. Huu uzi sio mahali pake. Period
 
Hilo swali ndio umeona gumu. Inaonekana wewe umekaririshwa tu mistari na wanaopinga Uungu wa Yesu. Kwa sasa nimekuambia sikujibu. Kujibu hilo swali lazima nianzie mbali. Huu uzi sio mahali pake. Period
Wewe una tatizo kichwani sio bure,akili ya kujibu swali langu huna,
Ndio maana uzi wako umesusiwa,una onekana kabisa kua una tatizo kichwani,kuna kitu hakipo sawa.
 

Hahahaha
Kwa hiyo mwamba huyu anakipaji cha kutibu pia kuachana na kuigiza
 
Hawa watu wanaodai wamepona kwa dua au kwa jina la Yesu Mara nyingi kinachowasumbua ni magonjwa yanayotokana na hisia na sio magonjwa halisi.

Ilipoingia covid ulimwengu mzima uliitazama zaidi sayansi pamoja na huko dini zilipotoka.

Huko dini zilipoanzia ni mojawapo ya nchi zenye huduma nzuri za kiafya za kisayansi,,,Saud Arabia na Israel.

Hata wanaojiita manabii wote wakiumwa kimbilio lao ni kwenye matibabu ya kisayansi hospitali.
 
Wewe una tatizo kichwani sio bure,akili ya kujibu swali langu huna,
Ndio maana uzi wako umesusiwa,una onekana kabisa kua una tatizo kichwani,kuna kitu hakipo sawa.
Hongera kwa kuwa mzima kichwani
 
A
Aliyekuzuia kukimbilia Israeli upate huduma nzuri za kiafya ni nani? Mimi nimemkimbilia Yesu nimepona bila kulipa hata senti. Kwenye ushuhuda nimesema kama pesa unazo, nenda Uingereza, nenda Marekani ukapate huduma nzuri. Mimi nisiye na pesa niache nipate huduma ya bure. Period.
 
Huna unalolijua wewe,hujui chochote,nimekupa aya hujaweza kunijibu,
wahi Milembe ukatibiwe.
Wewe unapenda ubishi. Nimekuambia swali lako haliwezi kujibiwa kwa paragraph moja. Linahitaji ufafanuzi na mistari ya kutosha. Kukujibu hapa ni kuchanganya mada ndani ya mada. Nikipata muda nitaeleza kwenye uzi maalum. Uwe na subira!
 
Wewe unapenda ubishi. Nimekuambia swali lako haliwezi kujibiwa kwa paragraph moja. Linahitaji ufafanuzi na mistari ya kutosha. Kukujibu hapa ni kuchanganya mada ndani ya mada. Nikipata muda nitaeleza kwenye uzi maalum. Uwe na subira!
Rubbish.
 
Ulisoma Chuo gani ambapo wanafunzi wanaanza kuuliza maswali kabla ya lecturer kutoa lecture? Subiri kwanza upate lecture halafu kama utakuwa hujaelewa uliza hilo swali lako. Matusi unayotoa yanakuongezea dhambi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…