min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hivyo vitisho pia wadin tofauti na yako wanavyo wewe kama kafiri utachomwa tu , hayo mambo yenu mkiyazungumza humu makanisani ni sahihi huku kwingine mnajichoresha uwezo wenu wa kufikiri.Miaka yetu ya kuishi duniani si mingi, endelea kupuuza Neno la Mungu, siku ukiondoka duniani ndio utajua moto tuliokuambia ni moto halisi, but utakuwa umechelewa kuamini.