Magonjwa yanayosababishwa na shetani/mapepo hayawezi kutoka bila kuyakemea kwa Jina la YesuHakuna kitu kina nguvu kama imani, na imani sio katika miujiza tu bali inaweza kuwa chanzo cha maradhi au kikwazo katika mambo mbalimbali kwenye maisha yetu. Wenzetu wazungu unakuta mtu haamini Mungu wala uchawi ila anapona maradhi yaliyoshindikana kwa kutamka tu maneno na kuamini hicho anachotamka kuwa ni kweli.(Affirmation)
Ukisema hivyo mkuu ina maana huko zamani kabla ya matumizi ya kutumia jina la Yesu watu hawakuwa wakitibiana hayo magonjwa yenye kusababishwa na mapepo? Unataka kusema ni wakristo tu wenye kuamini Yesu ndio wenye ujuzi wa kuondoa magonjwa yenye kusababishwa na Mapepo?Magonjwa yanayosababishwa na shetani/mapepo hayawezi kutoka bila kuyakemea kwa Jina la Yesu
Jaribu kutumia jina jingine tofauti na Jina la Yesu Kristo ukemee mapepo uone kama yatatoka. Sana sana mapepo yatakurarua wewe kama wale watu wenye kutangatanga waliokuwa wanaigiza kukemea pepo. Kuna wakati Yesu alimkemea pepo aliyesababisha mtu kuwa bubu. Pepo alipotoka huyo mtu akaongea, watu wakashangaa wakasema jambo hilo halijawahi kuonekana wakati wowote huko nyuma. Soma Mt 9:32-33Ukisema hivyo mkuu ina maana huko zamani kabla ya matumizi ya kutumia jina la Yesu watu hawakuwa wakitibiana hayo magonjwa yenye kusababishwa na mapepo? Unataka kusema ni wakristo tu wenye kuamini Yesu ndio wenye ujuzi wa kuondoa magonjwa yenye kusababishwa na Mapepo?
Mkuu nimeuliza huko zamani kabla ya matumizi ya jina la Yesu watu walikuwa hawatibiani hayo mapepo? Kwamba unataka kusema wakristo tu ndio wenye ujuzi wa kutoa mapepo?Jaribu kutumia jina jingine tofauti na Jina la Yesu Kristo ukemee mapepo uone kama yatatoka. Sana sana mapepo yatakurarua wewe kama wale watu wenye kutangatanga waliokuwa wanaigiza kukemea pepo. Kuna wakati Yesu alimkemea pepo aliyesababisha mtu kuwa bubu. Pepo alipotoka huyo mtu akaongea, watu wakashangaa wakasema jambo hilo halijawahi kuonekana wakati wowote huko nyuma. Soma Mt 9:32-33