Amiri Jeshi mkuu anaegopa wauza unga na wezi wa EPA ataweza kutuongoza vitani?

Amiri Jeshi mkuu anaegopa wauza unga na wezi wa EPA ataweza kutuongoza vitani?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hivi tujiulize,Raisi asieweza hata kuwakamata na kuhakikisha wauza madawa ya kulevya na wezi wa EPA ndani ya nchi ataweza kweli kuongoza majeshi yetu katika vita dhidi ya taifa lingine?

Wabongo tusithubutu kuingia vitani chini ya Raisi wa sasa.Tutaambulia aibu na kipigo,Amiri jeshi mkuu wa sasa sidhani kama anaweza hata kuhamasisha majeshi yetu na siamini hata wanajeshi wetu wana imani na nae.

Mgogoro baina yetu na Malawi na sasa Rwanda ni bora tu ukaishia kuwa ni wa vita ya maneno tu.

Nina mashaka kama kweli Amiri Jeshi Mkuu wa sasa anaweza hata kuhutubia wanajeshi na kuwapa ujasiri.Ukishaonekana ni dhaifu ndani ya nchi yako hata wanajeshi wanapoteza imani na wewe na kujiona hawana kiongozi anaewafaa.

Tafakari ukiwa "realistic" na sio kishabiki uone utapata jibu gani.
 
Nawasiwasi na urai wako..........!!!
 
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?

Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?

Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.
 
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?

Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?

Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.

Amakweli ukipenda chongo waita kengeza
 
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?

Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?

Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.

tukiwashughulkia mafisadi nchi itayumba
 
Na ukishakuwa na asili ya kichawi wewe kila chema utakichukia tu.


Asili ya mtu mchawi hata post na stori zake hunena mamabo ya kichawi,

bahati mbaya sifaham ya wachawi bali nafaham asilli ya mema yote ni mungu.

Tunaanza na mungu siku zote na tutamaliza namungu.
 
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?

Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?

Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.

Kumbe Jeetu Patel na Yusuph Manji wamefungwa kwa wizi wa EPA.....

Kumbe Ridhiwani Kikwete, Juma Pinto, Iddi Azzan na Kinjeketile Kingunge Ngombale Mwiru wamekamatwa kwa biashara yao ya madawa ya kulevya....

Kikwete ana deviate attention ya madawa ya kulevya kwa kudanganya toto na vita na Rwanda kwa vile ni kanchi kadogo, kwa udhaifu alionao anything can happen. Watanzania tuna matatizo ya kutosha hatuna haja ya vita
 
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?

Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?

Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.


walio ombwa warejeshe pesa za EPA wasamehewe ni nani na nani? so far wamerejesha kiasi gani? hivi ni kweli The EPA issue ni wale ndugu wawili tu wanao ozea jela ndiyo wahusika pekee? Zakhia Meghji knows the movie when she was in power. Does Chenge walk away with clean hands on RADA issue? Wanao kamatwa na unga believe me ni "dagaa" tu,all with the connection ndani ya serikali ndiyo hao "wanapita JK Nyerere International Airport na kukamatwa mataifa mengine. Hakuna mtu anayepinga juhudi za Raisi,ila the way masula yanavyo shughulikiwa ndiyo where the QUESTIONS target. The same law treats two people different!!!!!! Nakumbuka most of the cases za drugs ushahidi unapotelea polisi unaambiwa "ilikua ni sukari au unga wa kawaida". Ukubali ukatae,kuna udhaifu mkubwa wa kiutendaji katika ku-deal na masuala yanayo angamiza taifa.
 
walio ombwa warejeshe pesa za EPA wasamehewe ni nani na nani? so far wamerejesha kiasi gani? hivi ni kweli The EPA issue ni wale ndugu wawili tu wanao ozea jela ndiyo wahusika pekee? Zakhia Meghji knows the movie when she was in power. Does Chenge walk away with clean hands on RADA issue? Wanao kamatwa na unga believe me ni "dagaa" tu,all with the connection ndani ya serikali ndiyo hao "wanapita JK Nyerere International Airport na kukamatwa mataifa mengine. Hakuna mtu anayepinga juhudi za Raisi,ila the way masula yanavyo shughulikiwa ndiyo where the QUESTIONS target. The same law treats two people different!!!!!! Nakumbuka most of the cases za drugs ushahidi unapotelea polisi unaambiwa "ilikua ni sukari au unga wa kawaida". Ukubali ukatae,kuna udhaifu mkubwa wa kiutendaji katika ku-deal na masuala yanayo angamiza taifa.

Waliofanya makosa wameshtakiwa wote. Si kila aliye"transact" na pesa za EPA basi kaiba, Kumbuka hilo. Wala fedha za EPA haikuwa biashara haramu, ila wapo waliofanya haramu na hao wananyea debe saa hizi.

Walioombwa warudishe ni wale ambao wamezipata kihalali na kama hawajazifanyia shughuli iliyokusudiwa bado basi ni bora warudishe. Unaelewa hilo? au hata maana ya EPA huelewi ni nini na umekuwa kama bendera unafata upepo tu?

Slaa akija kuwadangaya hapa EPA sijui nini, nyie mnaingia tu kichwa kichwa. Unajuwa fedha anazotowa Sabodo ni zipi? for your information ni transactions za EPA na zinazofanana na EPA. Mbona Slaa anakwenda kuchukuwa mbio mbio, hajawaambia vyanzo vya zile pesa?
 
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?

Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?

Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.
hapa ndio umeongea nini mkuu? ukweli ni kwamba hao wauza unga ndio waliomuweka madarakani na wengi amewapa madaraka ubunge etc .usitufanye wajinga wanaokamatwa kwenye unga sio madealer ni mateja tu ambapo ni sawa nakukata matawi umeacha mti na mizizi yake
 
Waliofanya makosa wameshtakiwa wote. Si kila aliye"transact" na pesa za EPA basi kaiba, Kumbuka hilo. Wala fedha za EPA haikuwa biashara haramu, ila wapo waliofanya haramu na hao wananyea debe saa hizi.

Walioombwa warudishe ni wale ambao wamezipata kihalali na kama hawajazifanyia shughuli iliyokusudiwa bado basi ni bora warudishe. Unaelewa hilo? au hata maana ya EPA huelewi ni nini na umekuwa kama bendera unafata upepo tu?

Slaa akija kuwadangaya hapa EPA sijui nini, nyie mnaingia tu kichwa kichwa. Unajuwa fedha anazotowa Sabodo ni zipi? for your information ni transactions za EPA na zinazofanana na EPA. Mbona Slaa anakwenda kuchukuwa mbio mbio, hajawaambia vyanzo vya zile pesa?

Acha kujitoa akili,External Payment Account uombwe urudishe ikiwa umechukua halali????? kwa nini urudishe kilicho chako kihalali? FYI uhitaji taarifa za Slaa kujua "scandal" ya EPA
 
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?

Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?

Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.

Hadithi njoo! uongo njoo! na utamu kolea...
 
Wanaomtetea Jk katika hili si bure kuna namna wanavyofaidika na utawala wake!
 
Kumbe Jeetu Patel na Yusuph Manji wamefungwa kwa wizi wa EPA.....

Kumbe Ridhiwani Kikwete, Juma Pinto, Iddi Azzan na Kinjeketile Kingunge Ngombale Mwiru wamekamatwa kwa biashara yao ya madawa ya kulevya....

Kikwete ana deviate attention ya madawa ya kulevya kwa kudanganya toto na vita na Rwanda kwa vile ni kanchi kadogo, kwa udhaifu alionao anything can happen. Watanzania tuna matatizo ya kutosha hatuna haja ya vita

Tatizo lako hujuwi maana ya EPA ni nini, kwanini wafungwe kama hawana dhambi? unanchekesha.
 
Back
Top Bottom