FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hadithi njoo! uongo njoo! na utamu kolea...
Mkishindwa hoja mnaanza viroja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadithi njoo! uongo njoo! na utamu kolea...
Acha kujitoa akili,External Payment Account uombwe urudishe ikiwa umechukua halali????? kwa nini urudishe kilicho chako kihalali? FYI uhitaji taarifa za Slaa kujua "scandal" ya EPA
Mkishindwa hoja mnaanza viroja.
hapa ndio umeongea nini mkuu? ukweli ni kwamba hao wauza unga ndio waliomuweka madarakani na wengi amewapa madaraka ubunge etc .usitufanye wajinga wanaokamatwa kwenye unga sio madealer ni mateja tu ambapo ni sawa nakukata matawi umeacha mti na mizizi yake
pole yako kama unaamini alichaguliwa na wananchi ,pole sana dada poleBasi nchi nzima hii wanauza unga maana kapata kura kwa kishindo na wapiga kura ndio wanaamuwa wampe nani awaongoze.
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?
Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?
Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.
unaweza kuwataja angalau wauza unga wa tano
pole yako kama unaamini alichaguliwa na wananchi ,pole sana dada pole
Tatizo lako hujuwi maana ya EPA ni nini, kwanini wafungwe kama hawana dhambi? unanchekesha.
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?
Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?
Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.
"Chaguo la Mungu".
Hivi tujiulize,Raisi asieweza hata kuwakamata na kuhakikisha wauza madawa ya kulevya na wezi wa EPA ndani ya nchi ataweza kweli kuongoza majeshi yetu katika vita dhidi ya taifa lingine?
Wabongo tusithubutu kuingia vitani chini ya Raisi wa sasa.Tutaambulia aibu na kipigo,Amiri jeshi mkuu wa sasa sidhani kama anaweza hata kuhamasisha majeshi yetu na siamini hata wanajeshi wetu wana imani na nae.
Mgogoro baina yetu na Malawi na sasa Rwanda ni bora tu ukaishia kuwa ni wa vita ya maneno tu.
Nina mashaka kama kweli Amiri Jeshi Mkuu wa sasa anaweza hata kuhutubia wanajeshi na kuwapa ujasiri.Ukishaonekana ni dhaifu ndani ya nchi yako hata wanajeshi wanapoteza imani na wewe na kujiona hawana kiongozi anaewafaa.
Tafakari ukiwa "realistic" na sio kishabiki uone utapata jibu gani.
Nina wasisi na safari zake za nje kama naye habebi kitu.
Hivi Muhamed yupo?
Vipi Mrisho yale majina alisema anayo hivi ameshawataja kweli?
Hamjaziona kesi za epa na watu kufungwa?
Hamuoni watu wa unga wanavyokamatwa kila siku?
Chuki zenu ni za kibinafsi na roho zanu zilivyombaya kila mnapoona mafanikio ya Kikwete nyie ndio mnazidi uhasidi. Mtaungulika sana, Kikwete ndio Rais na Mohamed Gharib Bilal ndio makamu wake.