Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
labda anacheza gameNi kitu gani hiyo?π
Canelo who?Jamani eeeh kale kajamaa kanachojiita Canelo kamepigwa kipigo cha mbwa koko π€£π€£π€£π€£
Kalikuwa kanajiona kameshamaliza kila kitu mpaka muda mwengine kanadhani kana uwezo wa kumpiga Money Mayπ π π π π π .
Angalau makelele yatapungua na zile tambo kwamba yeye ni bondia bora kuliko Floyd Mayweather zitakwisha.
Hongera nyingi sana ziendenkwa Dmitry Bivol kwa kutunyamazishia huyu jamaaπ€£π€£
Eti kalikuwa kanataka kupigana na Oleksandadr Usykπ thubutuuuu angeweza wapi kama sio kufia ulingoni πππ
#Enjoy Sweet Science of boxing#
Jamani eeeh kale kajamaa kanachojiita Canelo kamepigwa kipigo cha mbwa koko π€£π€£π€£π€£
Kalikuwa kanajiona kameshamaliza kila kitu mpaka muda mwengine kanadhani kana uwezo wa kumpiga Money Mayπ π π π π π .
Angalau makelele yatapungua na zile tambo kwamba yeye ni bondia bora kuliko Floyd Mayweather zitakwisha.
Hongera nyingi sana ziendenkwa Dmitry Bivol kwa kutunyamazishia huyu jamaaπ€£π€£
Eti kalikuwa kanataka kupigana na Oleksandadr Usykπ thubutuuuu angeweza wapi kama sio kufia ulingoni πππ
#Enjoy Sweet Science of boxing#
Bila picha ama video ni mbuzi kwenye guniaJamani eeeh kale kajamaa kanachojiita Canelo kamepigwa kipigo cha mbwa koko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kalikuwa kanajiona kameshamaliza kila kitu mpaka muda mwengine kanadhani kana uwezo wa kumpiga Money May[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Angalau makelele yatapungua na zile tambo kwamba yeye ni bondia bora kuliko Floyd Mayweather zitakwisha.
Hongera nyingi sana ziendenkwa Dmitry Bivol kwa kutunyamazishia huyu jamaa[emoji1787][emoji1787]
Eti kalikuwa kanataka kupigana na Oleksandadr Usyk[emoji28]thubutuuuu angeweza wapi kama sio kufia ulingoni [emoji38][emoji38][emoji38]
#Enjoy Sweet Science of boxing#
Yap!!usyk ni heavyweight hawa kina canelo wako chiniCanelo na Alexander Usyk wako uzani tofauti.
Canelo ni bondia mzuri, ila kwenye hili pambano ilikua kama mikono imepooza.Saul Canelo Alvarez bado ameotewa tu.