Ammwagia tindikali (acid) kisha akamuua mchepuko wake

Ammwagia tindikali (acid) kisha akamuua mchepuko wake

MK254 unasemaje kuhusu hili

Sijui la kusema maana haya madude ya kuchepuka na kuuana kwenye mahusiano ni kitu kilianza tangu enzi za mitume, hakina utaifa wala nini, nikianza kuweka humu matukio ya Tanzania nitajaza server za watu bure....sio kitu cha kuwaza ligi.





 
Sijui la kusema maana haya madude ya kuchepuka na kuuana kwenye mahusiano ni kitu kilianza tangu enzi za mitume, hakina utaifa wala nini, nikianza kuweka humu matukio ya Tanzania nitajaza server za watu bure....sio kitu cha kuwaza ligi.






Nilikuwa nataka kuona uwepo wako humu ndani 🤣🤣🤣
 
Wanawake wa Kenya huwa wanawapiga sana wanaume zao ngumi,huyu alishindwaje kumdhibiti huyo mwanaume wake?
 
Watanzania mnakuwanga na ujinga sana. Must everything be a matter of stupid comparisons/competition? Kwa hivyo Tanzania ndio mambo kama haya hayatokei? Hii obsession yenu na Kenya is sickening


Uzuri sijataja nilipo
 
Demu mwenyewe m'bovu, wala hana maajabu..
Kwa Kenya huyo ni level za Masogange mzee baba! Yani kumiliki demu wa hivyo Kenya ni miujiza maana ndio level ya pisi kali 😁😁😁 kule kwao
 
Back
Top Bottom