Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mademu wabovu huwa watraaam wana jotoridi.hawamegwi kiwepesi...wana jotoridi la asili....mucus mucus kweli🤣....Demu mwenyewe m'bovu, wala hana maajabu..
MK254 unasemaje kuhusu hili
Sijui la kusema maana haya madude ya kuchepuka na kuuana kwenye mahusiano ni kitu kilianza tangu enzi za mitume, hakina utaifa wala nini, nikianza kuweka humu matukio ya Tanzania nitajaza server za watu bure....sio kitu cha kuwaza ligi.
![]()
Auawa na Watoto; Kisa Mchepuko wa Baba Yao
POLISI katika Kaunti ya Kisumu nchini Kenya wanawasaka vijana wawili kwa tuhuma za kumuua mpenzi wa baba yao mzazi, Mercy Akinyi (29) ( pichani) tukio ambalo linadaiwa kufanyika usiku wa Jumatano, Aprili 8, 2020, baada ya kumfuma dada huyo akitoka kwglobalpublishers.co.tz
![]()
Binti Auawa kwa Kipigo Akituhumiwa Kuchelewa kwa ‘Mchepuko’
POLISI mkoani Njombe linamshikilia mwanamke aliyefahamika kwa jina la Apronia Mwinuka (35) mkazi wa mtaa wa Kikula kata ya Makambako mkoani Njombe kwa tuhuma za kumpiga na kumsababishia kifo Elina Mwinuka (18) kwa kosa la kuchelewa kurudi nyumbani.globalpublishers.co.tz
![]()
![]()
Mke Auawa Kwa Kupigwa Nyundo Kichwani na Mumewe Baada ya Mchepuko Kupiga Simu Usiku Huko Kahama
Malunde1 blog Fahari ya Shinyanga ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.www.malunde.com
Kwa hiyo Sepenga ni barafu kabisa![emoji38][emoji38]Na mademu wabovu huwa watraaam wana jotoridi.hawamegwi kiwepesi...wana jotoridi la asili....mucus mucus kweli[emoji1787]....
Mm ni ke mkuu.....tuwaulize walokua nayeKwa hiyo Sepenga ni barafu kabisa![emoji38][emoji38]
Uzuri sijataja nilipoWatanzania mnakuwanga na ujinga sana. Must everything be a matter of stupid comparisons/competition? Kwa hivyo Tanzania ndio mambo kama haya hayatokei? Hii obsession yenu na Kenya is sickening
![]()
Tanzania: Woman Arraigned for Killing Husband
A WOMAN from Nyakiziba Village in Ngara District, Ms Josephina Tumsifu (25), has been arraigned before the Ngara District Court charged with killing her husband, identified as Tumsifu Bakavunye.allafrica.com
![]()
Tanzania family holds prayers for woman killed by her husband and body burnt to ashes
Dar es Salaam. Hundreds of mourners turned up in Dar es Salaam on Sunday, August 04, 2019 at a mass that was organized in honour of Ms Naomi Marijani who was reportedly killed and burned into...www.thecitizen.co.tz
![]()
Woman kills husband 14 days after wedding, says she never loved him
The incident occurred at the couple’s home in Pengo Village in Iseresere area in Serengeti.www.google.com
we umejuajeNa mademu wabovu huwa watraaam wana jotoridi.hawamegwi kiwepesi...wana jotoridi la asili....mucus mucus kweli[emoji1787]....
Inasemekanawe umejuaje
Kwa Kenya huyo ni level za Masogange mzee baba! Yani kumiliki demu wa hivyo Kenya ni miujiza maana ndio level ya pisi kali 😁😁😁 kule kwaoDemu mwenyewe m'bovu, wala hana maajabu..
We umejuaje kama watamu akati we ni manzi pia 😜😜😜Na mademu wabovu huwa watraaam wana jotoridi.hawamegwi kiwepesi...wana jotoridi la asili....mucus mucus kweli🤣....
Wanasema hvyo atiWe umejuaje kama watamu akati we ni manzi pia 😜😜😜
Ata sio kweli ujue🤩🤩🤩Wanasema hvyo ati