Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Kumuabudu Jiwe ni kuabudu sanamu.Hata kama vyombo Vya habari vinaunga mkono serikali haiwezekani iwe vyote,100%.Ukiona unasifiwa kwa asilimia 100 unatakiwa ujitafakari na sio ufurahie!Na wewe utaacha lini kutomsifu na kutomuabudu Jiwe?
Nani alikuambia upuuuzi hujibiwa na mtu asiyempuuzi? Upuuzi hupuuuzwa kama walivyopuuza wanahabari makini/vyombo vya habari makini ripoti ya kipuuzi!
Siku hizi hata mkiwa mnakunywa bia ukianza kuisema serikali watu wanakulazimisha uongee kwa sauti ya chini chini! haya mambo hayakuwepo haya!
Kwa sisi tusioogopa kitu ukiendlelea kuongea unaona jamaa wanasepa mmoja mmoja!
Ndo nchi ilipofika hapa. Na kwa taarifa yenu taarifa hii haitachapishwa gazeti lolote la kesho wala kusikia kwenye TV.
Upo sahihi.Eti sheria zote zifutwe. Wakati hizo sheria hazipo je zilitusaidia kuleta maendeleo kama haya yanayofanywa na serikali ya JPM.
Tena nashauri ziongezwe sheria na zipewe ukali zaidi ili wapuuzi wachache kama waliomzushia kifo Mh. Rais wakamatwe vinzuri na kupewa adhabu kali.
Ni ujinga kuendekeza the so called uhuru usiokuwa na mipaka.
Hapa ndio huwa simuelewi magufuli na watu wake Yani sisi Mungu Katuumba tukiwa huru na hata azimio la UN la declaration of human rights linasema wazi all humans were born free Sasa Cha ajabu hapa kwetu bongo hili Ni kosa la jinai Yani ukimchalenji magufuli na mfumo wake wewe unakuwa an enemy of the state na utaitwa majina Kama yote kwakweli mzee tutakukumbuka kwa mengi
Miaka hamsini ijayo hata tukiiona hii reli ya standard gauge na bwawa la stiglaz goj hatutavipenda Sana maana tutakumbuka vilivyogharimu Uhuru wetu tukiwa vijana na baadhi ya maisha ya watu !
Hakika historia itakukumbuka kwa mengi hasa yaliyo hasi!
Mwalimu mkuu mama yako !!Hama nchi ili uwe huru. Siyo kutuletea ngojera hapa.
Kwahiyo wanaosema tunaongozwa na dictator wako sawa Kama ni hivyoSerikali hii inalazimisha kupendwa na kusifiwa tu, kuikosoa ni kosa kubwa sana linaloweza kupelekea kifo chako, wewe sifia tu
Sikio la kufa halisikii dawa green party is on the verge of collapseHapa ndio huwa simuelewi rais Magufuli na watu wake Yani sisi Mungu Katuumba tukiwa huru na hata azimio la UN la declaration of human rights linasema wazi all humans were born free Sasa Cha ajabu hapa kwetu bongo hili Ni kosa la jinai Yani ukimchalenji Magufuli na mfumo wake wewe unakuwa an enemy of the state na utaitwa majina Kama yote kwakweli mzee tutakukumbuka kwa mengi
Miaka hamsini ijayo hata tukiiona hii reli ya standard gauge na bwawa la stiglaz goj hatutavipenda Sana maana tutakumbuka vilivyogharimu Uhuru wetu tukiwa vijana na baadhi ya maisha ya watu !
Hakika historia itakukumbuka kwa mengi hasa yaliyo hasi!