Amnesty International and Human Rights Watch: Hali ya ukandamizaji wa vyombo vya habari, watetezi wa haki za binadamu na vyama vya upinzani waongezeka

Wabanwe hawa viongozi na imibidi wawaekeee vikwazo vya kusafili Ulaya na Marekani
Siku itokee waziri kabudi awekewe vikwazo vya kusafiri nje ndipo watazinduka
 
Malizia tu kwa kusema sisi ni wapumbavu, ndio maana haya majitu yaliyoendelea yanatudharau, tumetaka wenyewe, kuwa ana viongozi aina ya jiwe lazima tuonekana stupid, yaani unakimbilia kununua mandege (kwa bei ya kughushi, juu ya bei halisi, tena kwa taslim) na wakati elimu inayotolewa na serikali ni ya hovyo, huduma za afya za hovyo, eti mnanyoosha nchi
 
Maadam ni kiongozi wa Tanzania kwa sasa nina haki ya kumsifia kwasababu ni maamuzi yangu. Kama wewe huwezi, sawa. Ni maamuzi yako.
 
Naona unaleta matusi baada ya kuishiwa hoja, jiwe ni mkibizi hvyo amani usiamini huo ndiyo ukweli. Kila kinachomuhusu jiwe kina utata, kuanzia elimu yake(PhD fake) mpaka uraia wake.
Angalia niliyemjibu aliandika nini. Au ninyi kutukana haki yenu. Basi sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…