Ni bora huko wanawabagua wenye rangi tofauti na wao, hapa kwetu tumeanzisha ubaguzi wa vyama, itikadi na kabila nk. Kuna watu wanaonekana si lolote just because hawaipendi CCM kuna watu hawapelekewi maendeleo kisa walimchagua mtu wa chama tofauti na chama tawala. Tofauti yenu na hao ni nini?