Amnesty International: Tanzania must provide evidence to back-up charges or release political opposition leader

Pumbavu kabisa wewe. Juzi hapa mlikuwa anasema hivyohivyo juu ya COVID leo mnakimbizana kwenda kuchanjwa!
Una sovereign country gani wewe hata Pampers za watoto na paddy za wanafunzi zimekushinda kutengeneza!
😀😀😀😀😀
 
Ushahidi utaletwa mahakamani, wawe wapole wasubiri tu. pia, wasitufokee, hawana mandate kutuamrisha kufanya chochote, tunafanya kwa ridhaa na wakati wetu, sisi ni sovereign country, unlike wao ni NGO ya kimataifa tu. shwain.
Rudi Mirembe bado haujapona ,or follow doctor's prescription properly
 
Pumbavu kabisa wewe. Juzi hapa mlikuwa anasema hivyohivyo juu ya COVID leo mnakimbizana kwenda kuchanjwa!
Una sovereign country gani wewe hata Pampers za watoto na paddy za wanafunzi zimekushinda kutengeneza!
Halina kichwa hilo utajisumbua bure,don't waste your callories
 
CCM hawana evidence yoyote ya Ugaidi wa Mbowe...kosa lake ni kudai katiba mopya...

hawa CCM na washirika wao wanaharibu legacy ya Taifa letu iliyojengwa kwa jasho na damu na Mwalimu.
 
This is stupidity of the highest degree- Provide evidence to who- I think the matter is before the court of law were the dual process is highly observed.
 
Muda mwingine tunajiharibia wenyewe.
Hao CHADEMA kuwa spini hivi haisaidii hasa hsa inaongeza tu chuki kwa wananchi
Wananchi wapi?. Sema inaongeza chuki kwako, hakuna mwananchi mwenye akili timamu akachukizwa kukamatwa kwa gaidi. Tena operation ungeendelea mule saccos, kungepatikana magaidi mengine mengi tu..
 
Ushahidi utaletwa mahakamani, wawe wapole wasubiri tu. pia, wasitufokee, hawana mandate kutuamrisha kufanya chochote, tunafanya kwa ridhaa na wakati wetu, sisi ni sovereign country, unlike wao ni NGO ya kimataifa tu. shwain.
Sawa boss unaonyesha ushahidi unao we we.

Ukileta utawakata ngebe maana ccm wana matackle sana.
 
Hao ni kenge tuu kwani ushahidi wanapewa wao au mahakamani? Kwanza wamemkuta mama ni mpole Ethiopia,Uganda,Rwanda nk huwa hawacheki cheki na huwa hawababaishwi na kelele za hawa wapuuzi.
 
Mbowe amekuwa akifanya siasa za Upinzani tangu kuasisiwa kwake rasmi 1992.

Tangu 1992 hadi leo hii imepita miaka 29, hivyo kwa exposure ya Mbowe kwenye Siasa za Nchi hii sio ya kubeza. Ameweza kutengeneza marafiki wengi ndani na Nje ya Nchi wakiwemo hao akina Amnesty international.

Kama lengo ilikuwa kumuonesha nguvu aliyonayo Mhe. Rais, nadhani ameshaona na kujifunza.

Huko mnakotaka muende si sahihi, tutaanza kurudi kulekule kwa mwendazake na mwisho wa siku Nchi itarudi nyuma kwenye kila kitu kuanzia Uchumi n.k na itapelekea Wawekezaji kuanza kuondoa mitaji yao Sokoni kwani si rahisi mfanyabiashara kuwekeza sehemu yenye Magaidi na Ugaidi labda iwe biashara ya SILAHA.

Pili viongozi mliopewa dhamana ya Kumshauri Mhe. Rais mshaurini kwa hekima na Busara na sio Mihemko.

Mambo yakiwa magumu hakuna Miradi ya maendeleo itajengwa, kumbukeni hao Nchi wahisani wanachangia almost 46% ya Bajeti yetu hivyo wakiondoa Misaada yao kwenye Bajeti Mama hali ya Nchi itakuwa mbaya zaidi.

Siasa si Uadui. Akina Dr Slaa, Steven Wassira, David Kafulila si walikuwa Upinzani mbona leo hii wanatumikia Serikali? Acheni wanasiasa wafanye Siasa ili kupata mawazo mbadala.
 
Sasa huko ccm kuanzia mwenyekiti ni kihiyo,kuelewa hii mpka kada wao siro n mcherengwa waende kwa rais lion
 
Tunaanza mikakati ya kuhakikisha mapato ya Serikali hii wanayokusanya kutoka kwetu kama walipa kodi yanapungua kwa kiasi kikubwa sana kadri tutakavyoweza. Kwani mapato hayo ndiyo yanalipa mishahara ya hawa polisi, mahakama, tume FEKI ya uchaguzi wote hawa hawatutendei haki Watanzania kwa namna moja au nyingine.

Muda mwingine tunajiharibia wenyewe.
Hao CHADEMA kuwa spini hivi haisaidii hasa hsa inaongeza tu chuki kwa wananchi
 
... the Amnesty International moja ya taasisi zinazoheshimika duniani!
Dinia ipi?! Mbona hawajamwambia Marekani awasilishe ushahidi wa wale anaowashikilia Guantanamo karibu miaka 20? Au hiyo heshima ni kwa vinchi kama Tanzania tu!
 
Hawana ushahidi Hawa mapimbi, watakuja na feki video na tupicha twa fotoshop kama za wakati ule za ludovic na lwakatare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…