Amnesty International: Tanzania must provide evidence to back-up charges or release political opposition leader

Amnesty International: Tanzania must provide evidence to back-up charges or release political opposition leader

Umaarufu wa Mbowe umezidi mara 100 ule wa Samia , yaani Samia ukiacha huu urais wa kuokota hakuna anapojulikana
Labda kwenye Jamhuri ya wavuta bangi kama ya Mbowe, wewe na wenzako.
 
Umaarufu wa Mbowe umezidi mara 100 ule wa Samia , yaani Samia ukiacha huu urais wa kuokota hakuna anapojulikana
Kuna mahali nilisoma kabla hujaingia kwenye siasa hakikisha Una ngozi ngumu kuhimili mikiki mikiki yake.

Mama ameshindwa kuhimili japo hoja moja tu ya Katiba. Ndiyo kwanza anasiku 142 za Utawala wake.

Ajipange hasa
 
Ushahidi utaletwa mahakamani, wawe wapole wasubiri tu. pia, wasitufokee, hawana mandate kutuamrisha kufanya chochote, tunafanya kwa ridhaa na wakati wetu, sisi ni sovereign country, unlike wao ni NGO ya kimataifa tu. shwain.
Sovereign country polically, lakini kwenye bajeti nchi ombaomba.. Check deni la taifa
 
Kuna mahali nilisoma kabla hujaingia kwenye siasa hakikisha Una ngozi ngumu kuhimili mikiki mikiki yake.

Mama ameshindwa kuhimili japo hoja moja tu ya Katiba. Ndiyo kwanza anasiku 142 za Utawala wake.

Ajipange hasa
Asije akapelekwa Mzena kwa Presha
 
Wananchi wa Dar na mikoa mingine wameanza kuingia dar ili kuhudhuria kwenye mahakama ,Dar imeanza kuchemka mara hii itakuwa mahakamani haendi mtoto,nasikia wananchi watajipanga barabarani kuhakikisha wanaonyesha umoja kwa mwenyekiti wao.
Naona uliishia kusikia.

Maana hao wananchi hatukuuwaona kama ulivyojishebedua hapa. 😀😀😀
 
Though criminal offence dies with an accused person, the timing of Mbowe's arrest is raising a notable suspicious 'hiding' agenda. Why now?
... suspicious hiding?"...wakili msomi zingatia sarufi ya kiingereza
 
Hiki ni kiherehere tu; kwani kama kesi iko mahakamani si ni kwamba ushahidi utatolewa kwa mahakimu? Ni afadhali wasubiri waone ushahidi kwanza halafu waupinge kuliko kufanya hii preemptive moves ambazo zinaweza kuleta shaka kwenye credibility yao, yaani kuwa wao ni wa kupingana na serikali tu - wameshachagua side ya kukaaa mezani kabla ugali haujaiva
Ushahidi [substantial evidence] kwenye hili utoke wapi ndugu wakati kwenye maelezo yao tu yanaonesha utupu mtupu...?

Maelezo yao matupu hayo yakawa reflected kwenye "charge sheet" yaani yakaji - contradict na maelezo na sababu ya kumu - arrest...!

Unajua nini ndugu? Waambie hao ndugu zako huko kwamba, UONGO katika kesi serious kama hii unahitaji consistency ya hali ya juu ili kuweza kuu - maintain so that it can last a little bit longer...!

PoliceCCM hawana utaalamu, ni wajinga watupu. Wanatumia nguvu bila akili ktk kufanya kazi zao...
 
Ushahidi utaletwa mahakamani, wawe wapole wasubiri tu. pia, wasitufokee, hawana mandate kutuamrisha kufanya chochote, tunafanya kwa ridhaa na wakati wetu, sisi ni sovereign country, unlike wao ni NGO ya kimataifa tu. shwain.
Mbona hawakuomba ushahidi alipo uawa kashogi wa Saudia? mbuzi hao.
 
Credibility ya Amnest International? You gotta be joking, hilo shirika lina credibility mara milioni zaidi ya Tanzania, majority of our citizens are zombies kwani kama ni suala credibility ukiweka hypocrisy pembeni utawala wetu uanze kwa utaratibu wa kufuata haki na sheria ili uwe credible.
Ni imani yako tu kwani hujui pia kuwa AI haimaniwi na wala haifanyi kazi katika nchi nyingine duniani, kwa mfano China
 
Ushahidi utaletwa mahakamani, wawe wapole wasubiri tu. pia, wasitufokee, hawana mandate kutuamrisha kufanya chochote, tunafanya kwa ridhaa na wakati wetu, sisi ni sovereign country, unlike wao ni NGO ya kimataifa tu. shwain.
Kwenye misaada mbona hamsemi wawe wapole? shame on you
 
Pumbavu kabisa wewe. Juzi hapa mlikuwa anasema hivyohivyo juu ya COVID leo mnakimbizana kwenda kuchanjwa!
Una sovereign country gani wewe hata Pampers za watoto na paddy za wanafunzi zimekushinda kutengeneza!
Hana akili huyu
 
Ushahidi utaletwa mahakamani, wawe wapole wasubiri tu. pia, wasitufokee, hawana mandate kutuamrisha kufanya chochote, tunafanya kwa ridhaa na wakati wetu, sisi ni sovereign country, unlike wao ni NGO ya kimataifa tu. shwain.
Hamna akili ndio maana mnakubushwa mharifu wa 2020 kwa Nini asubiliwe mpaka aanze makongamano ya katiba ndio akamatwe
 

Tanzania must provide evidence HAPANA SHAKA USHAHIDI UTALETWA MAHAKAMANI ALMANTA HOFU​

 
Ni imani yako tu kwani hujui pia kuwa AI haimaniwi na wala haifanyi kazi katika nchi nyingine duniani, kwa mfano China
Credibility ya China linapokuja suala la human rights ni questionable hivyo mfano wako hapo ni sifuri kabisa.
 
Do they have any thing to say about Kashogi murder in Turkey? Just in case no one is ready to ask.
 
Wapendwa na watanzania wote kwa ujumla, kwanza natanguliza samahani kwa wale watakaokwazika lakini mimi ni mgeni huku JF naomba ushirikiano wenu

Ahsanteni sana [emoji120]
 
Back
Top Bottom