Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua jinsi ya kutumiaMgeni gani unaanzia jukwaa la siasa
Kajitambulishe jukwaa la wageni.
Umetukosea adabu kuingia chumbani bila hodi
Ametumwa kupekuaMgeni gani unaanzia jukwaa la siasa
Kajitambulishe jukwaa la wageni.
Umetukosea adabu kuingia chumbani bila hodi
Hakuna aliyenituma hataAmetumwa kupekua
Wacha majibu ya hovyo kwa kuamaini tu kuwa kwa vile ni organization inayoitwa international basi in nguvu popote. Kwanza elewa kuwa AI ni NGO siyo chombo kinachotambuliwa na mamlaka yoyote hata umoja wa mataifa. Mimi nilishawanchangia dola mia mbili kwa vile hutembeza bakuri sana kwa watu binafsi ili kuweza kuwa affloat.Credibility ya China linapokuja suala la human rights ni questionable hivyo mfano wako hapo ni sifuri kabisa.
Alifadhili Ugaidi August 2020 kabla ya General election na akanyamaziwa???? Mlikuwa mnasubiri aanze Mchakato wa Katiba Mpya ndio aitwe Gaidi?? Nina hakika ingekuwa kweli angetupwa Jela 2020 ili asigombee Ubunge.Ushahidi utaletwa mahakamani, wawe wapole wasubiri tu. pia, wasitufokee, hawana mandate kutuamrisha kufanya chochote, tunafanya kwa ridhaa na wakati wetu, sisi ni sovereign country, unlike wao ni NGO ya kimataifa tu. shwain.
CCCM imejaa watu wajinga snMkuu wakati mwingine najiuliza hawa watu walisoma shule gani hizo waliambiwa lazima tukubaliane lila kitu? Hawataki hata tufikirie tofauti wao wanaamini ccm haikosei kabisa
Gaidi ni huyu bibi mwenye macho ya mahaba na uzee wakeAlifadhili Ugaidi August 2020 kabla ya General election na akanyamaziwa???? Mlikuwa mnasubiri aanze Mchakato wa Katiba Mpya ndio aitwe Gaidi?? Nina hakika ingekuwa kweli angetupwa Jela 2020 ili asigombee Ubunge.
Mungu akutetee Mbowe. Haki huinua Taifa.