Amos Makala apokelewa Wilayani Karatu, afanya mazungumzo na Viongozi wa CCM na serikali kutoka Ngorongoro

Amos Makala apokelewa Wilayani Karatu, afanya mazungumzo na Viongozi wa CCM na serikali kutoka Ngorongoro

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Katibu wa itikadi,uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa CPA Amos Makala Amepokelewa kwa shangwe, nderemo na vifijo vingi sana na maelfu ya wananchi wa Karatu katika uwanja wa mazingira bora wilayani Karatu.

Ambapo ni muendelezo wa ziara yake katika kupokea ,kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM.ambapo imeshuhudiwa maelfu ya wananchi wakifurika na kumiminika kwa wingi kama mchanga wa baharini kumlaki mtaalamu na nguli huyu wa Mahesabu hii ni kutokana na imani kubwa sana waliyonayo wananchi kwa CCM chama ambacho kimebeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Lakini vilevile Mheshimiwa CPA Amos Makala ambaye amewahi kuwa mhazina wa CCM Taifa ameweza kuzungumza pia na viongozi wa CCM pamoja na serikali kutoka Ngorongoro.

Ikumbukwe wakati viongozi mbalimbali wa CCM wakiwa ziarani maeneo mbalimbali Nchini,kama tunavyoshuhudia naibu katibu mkuu Bara naye akiwa ziarani mkoani singida ,huku naye naibu katibu mkuu Zanzibar naye akiwa ziarani,.hali imekuwa ni ya kusikitisha na kutia huzuni sana kwa CHADEMA chama kilichojikatia tamaa na kupoteza matumaini.

Hakuna mikutano wala ziara wala nini zinazofanywa na viongozi wa CHADEMA.hii ni kutokana na kushindwa na kuishiwa sera na ajenda za kuzungumza kwa wananchi.ndio sababu unaona chama kimekata pumzi na kupoteza muelekeo kabisa.

Kwa hakika CCM ndio nguzo kuu ya Taifa letu na chemchemi ya matumaini ya mamilioni ya watanzania.hakuna Tanzania yenye maendeleo na utulivu pasipo CCM madarakani.ndio sababu kwa usikivu wake CCM inaendelea kuaminika na kuaminiwa na watanzania na kuungwa mkono kila uchao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Luka inatosha sasa!!

Hivi husikii kichefuchefu na kuhisi kutapika kweli?
 
actually, huo ni mwanzo tu wa shangwe za wananchi kwa viongozi waandamizi wa CCM, mambo ni Moto zaidi mbeleni. well done CPA comrade Amos Makala 👊💪
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katibu wa itikadi ,uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Mheshimiwa CPA Amos Makala Amepokelewa kwa shangwe ,nderemo na vifijo vingi sana na maelfu ya wananchi wa Karatu katika uwanja wa mazingira bora wilayani.

Ambapo ni muendelezo wa ziara yake katika kupokea ,kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi pamoja na kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM.ambapo imeshuhudiwa maelfu ya wananchi wakifurika na kumiminika kwa wingi kama mchanga wa baharini kutokana na imani kubwa sana waliyonayo wananchi kwa CCM ,chama ambacho kimebeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.

Lakini vilevile Mheshimiwa CPA Amos Makala ambaye amewahi kuwa mhazina wa CCM Taifa ameweza kuzungumza pia na viongozi wa CCM pamoja na serikali kutoka Ngorongoro.

Ikumbukwe wakati viongozi mbalimbali wa CCM wakiwa ziarani maeneo mbalimbali Nchini,kama tunavyoshuhudia naibu katibu mkuu Bara naye akiwa ziarani mkoani singida ,huku naye naibu katibu mkuu Zanzibar naye akiwa ziarani,.hali imekuwa ni ya kusikitisha na kutia huzuni sana kwa CHADEMA chama kilichojikatia tamaa na kupoteza matumaini.

Hakuna mikutano wala ziara wala nini zinazofanywa na viongozi wa CHADEMA.hii ni kutokana na kushindwa na kuishiwa sera na ajenda za kuzungumza kwa wananchi.ndio sababu unaona chama kimekata pumzi na kupoteza muelekeo kabisa.

Kwa hakika CCM ndio nguzo kuu ya Taifa letu.hakuna Tanzania yenye maendeleo na utulivu pasipo CCM madarakani.ndio sababu kwa usikivu wake CCM inaendelea kuaminika na kuaminiwa na watanzania na kuungwa mkono kila uchao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu kwani wewe uko karatu

Pili CCM inawaogopa sanaa CDM sanaaa

Kama CCM ni wanaume kwelii waruhusu mkutano Ngorongoro

Hata LEMA tuu pekeee aende Ngorongoro CCM na huyo kibaraka mbunge watatoa mapovuuu
 
actually,
huo ni mwanzo tu wa shangwe za wananchi kwa viongozi waandamizi wa CCM, mambo ni Moto zaidi mbeleni. well done CPA comrade Amos Makala 👊💪
CHADEMA wamepoteana mwaka huu.wengine eti wanataka wapewe fidia .naona chama kimeishiwa pesa mpaka wanataka kulazimisha kupata pesa.
 
Mkuu kwani wewe uko karatu

Pili CCM inawaogopa sanaa CDM sanaaa

Kama CCM ni wanaume kwelii waruhusu mkutano Ngorongoro

Hata LEMA tuu pekeee aende Ngorongoro CCM na huyo kibaraka mbunge watatoa mapovuuu
Kwa sera na ajenda zipo mlizonazo CHADEMA mpaka muogopwe? Hivi kwanini huwa mnakosa akili na ufahamu kiasi hicho? Kwanini mnakuwa vipofu wa akili na macho? Hivi CHADEMA iliyojichokea na kupoteza muelekeo inaanzia wapi kuwa tishio kwa CCM hoi iliyo imara na madhubuti kila uchao???
 
CHADEMA wamepoteana mwaka huu.wengine eti wanataka wapewe fidia .naona chama kimeishiwa pesa mpaka wanataka kulazimisha kupata pesa.
wamejikatia tamaa siki nyingi sana aise 🤣

chama kinaendeshwa kwa mkopo, wanatafuta pesa kwa udi na uvumba huku michango ya wananchi ambao wamewachangia miaka nenda miaka rudi bila kuona manufaa yoyote, sasa wamechoka, na wamewakatia tamaa kabisa,

aise wanapitia kipindi kigumu hao wangwana ni balaa, dah 🤣
 
Back
Top Bottom