Amos Makalla ametudhalilisha na kututukanisha wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla

Amos Makalla ametudhalilisha na kututukanisha wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Nimeshangazwa na kitendo cha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Amos Makalla kutumia kodi za walalahoi kukodi ndege ya kuwapeleka wamachinga na wadau wengine nchini Rwanda eti kujifunza usafi.

Inamaana Watanzania wenyewe ni wachafu na hawawezi kujifunza usafi mpaka waende kufunzwa na wanyarwanda. Hii si aibu ya mwaka huu mpya wa 2023? Je lile somo lililokuwa linatufunza usafi shuleni halifundishwi tena madarasani?

Ina maana watanzania tumekuwa watu wa kuiga kila kitu kutoka kwa wenzetu hata vile ambavyo tunaweza kuvifanya wenyewe tunashindwa kuvifanya kwa kusubiri kwanza tujifunze kupitia kwa wengine.

Katika hili Makalla amechemsha sana na kuleta aibu kubwa kwa wana Dar es salaam. Hii ni sawa na kumwambia jirani yako amfunze mkeo namna ya kuoga na wakati wewe mumewe unao uwezo huo na dhamana ya kumsimamia mkeo katika hilo.

Mambo ya aibu namna hii ndo yanayosababisha wengi tushindwe kurudi nyumban sasa hivi.
 
Nimeshangazwa na kitendo cha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla kutumia kodi za walalahoi kukodi ndege ya kuwapeleka wamachinga na wadau wengine nchini Rwanda eti kujifunza usafi.

Inamaana Watanzania wenyewe ni wachafu na hawawezi kujifunza usafi mpaka waende kufunzwa na wanyarwanda. Hii si aibu ya mwaka huu mpya wa 2023? Je lile somo lililokuwa linatufunza usafi shuleni halifundishwi tena madarasani?

Ina maana watanzania tumekuwa watu wa kuiga kila kitu kutoka kwa wenzetu hata vile ambavyo tunaweza kuvifanya wenyewe tunashindwa kuvifanya kwa kusubiri kwanza tujifunze kupitia kwa wengine.

Katika hili Makalla amechemsha sana na kuleta aibu kubwa kwa wana Dar es salaam. Hii ni sawa na kumwambia jirani yako amfunze mkeo namna ya kuoga na wakati wewe mumewe unao uwezo huo na dhamana ya kumsimamia mkeo katika hilo.

Mambo ya aibu namna hii ndo yanayosababisha wengi tushindwe kurudi nyumban sasa hivi.
Mizimu ya Wamasai walioangamizwa itawasumbua wengi.

Naona ingekupendeza waletwe kujifunza Usafi kwako mkuu.

Pole na masikitiko.

Makala Oyeee
 
Mizimu ya Wamasai walioangamizwa itawasumbua wengi.

Naona ingekupendeza waletwe kujifunza Usafi kwako mkuu.

Pole na masikitiko.

Makala Oyeee
Ushawahi kuona wapi nchi moja inatuma raia wake nchi nyingine wakajifunze usafi. Ingekuwa ni swala la kwenda kujifunza mbinu za biashara, intelejensia nk hapo ningeelewa. Lakini swala la usafi kweli ni la kukodi ndege kwenda kuwafunza watu nje ya nchi? Yuko serious kweli!
 
Kumbuka alikuwa anagawa pesa bar wanamuziki wa kikongo wakimuita papaa makalla ,ni mpuuzi mmoja hivi mwizi mwizi

USSR
Duh hii sasa ni zaidi ya aibu aisee.
 
Ushawahi kuona wapi nchi moja inatuma raia wake nchi nyingine wakajifunze usafi. Ingekuwa ni swala la kwenda kujifunza mbinu za biashara, intelejensia nk hapo ningeelewa. Lakini swala la usafi kweli ni la kukodi ndege kwenda kuwafunza watu nje ya nchi? Yuko serious kweli!
Mkuu, naona umekomalia wakajifunze "Usafi" wakati unajua fika wanaenda kujifunza "Mbinu"

Imeshaenda na uwezekano wa kupata baraka za wakulu kutoka pande zote upo.

Sijui niseme nini tena. Pole?
 
Ndio Watanzania ni wachafu hasa wakazi wa 👉 "Dar"
Kama ni hivyo hapakuwa sababu ya kwenda mbali kuchoma kodi zetu. Angewapeleka Moshi wakajifunze afu baada ya wiki warudi wakiwa vizuri kichwani.
 
Back
Top Bottom