Amos Makalla ametudhalilisha na kututukanisha wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla

Amos Makalla ametudhalilisha na kututukanisha wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla

Ushawahi kuona wapi nchi moja inatuma raia wake nchi nyingine wakajifunze usafi. Ingekuwa ni swala la kwenda kujifunza mbinu za biashara, intelejensia nk hapo ningeelewa. Lakini swala la usafi kweli ni la kukodi ndege kwenda kuwafunza watu nje ya nchi? Yuko serious kweli!
Wewe ulitakaje? Watanzania, hasa hapo Dar ni wachafu mnooo, angalia wanavyotupa uchafu kila kona, kwenye mirefeji ya barabara, akikuta dust bin yeye anatupia pembeni. Mtu yuko kwenye Harrier kali lakini uchafu anarusha nje hukoo... Sasa acha waende kuona wenzao huko Rwanda walivyo wastaarabu. Bodaboda wa pale Kigali akifika zebra au kwenye trafiki light wanasimama bila shuruti, hawa wa kwetu utadhani vichaaa...
 
Wewe ulitakaje? Watanzania, hasa hapo Dar ni wachafu mnooo, angalia wanavyotupa uchafu kila kona, kwenye mirefeji ya barabara, akikuta dust bin yeye anatupia pembeni. Mtu yuko kwenye Harrier kali lakini uchafu anarusha nje hukoo... Sasa acha waende kuona wenzao huko Rwanda walivyo wastaarabu. Bodaboda wa pale Kigali akifika zebra au kwenye trafiki light wanasimama bila shuruti, hawa wa kwetu utadhani vichaaa...
Rwanda ilifanikiwa katika hili kutokana na aina ya uongozi uliyopo nchini kwao.
Walitengeneza sheria kali juu ya wale wanaoharibu mipango miji iliyopangwa upya baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, walitengeneza sheria kali kwa yeyote atakaekamatwa anatupa uchafu hovyo na sheria hizo zilifanyakazi bila manung'uniko yoyote.

Lakini kwa Tanzania hilo haliwezekani kutokana na kila swala kulipeleka kisiasa. Serikali ikitunga sheria kali vyama pamoja na mashirika ya binadam vitaingilia kati na kusababisha sheria haipiti au ikipita haitekelezwi kwa kuogopa kuvunja haki za binadamu nk.

So mambo kama haya huwa yanawezekana na kufanikiwa zaidi kwenye zile nchi zinazoongozwa bila kufuata au kusikiliza kelele za vyama wala mashirika ya haki za binadam.

Nchi kama China, Russia na Rwanda zimefanikiwa sana kutokana na sifa nilizozitaja hapo juu, ila kwa Tanzania ni hizi nchi zinazoendekeza demokrasi na haki za binadam hilo swala ni gumu kutekelezeka.
 
Wewe ulitakaje? Watanzania, hasa hapo Dar ni wachafu mnooo, angalia wanavyotupa uchafu kila kona, kwenye mirefeji ya barabara, akikuta dust bin yeye anatupia pembeni. Mtu yuko kwenye Harrier kali lakini uchafu anarusha nje hukoo... Sasa acha waende kuona wenzao huko Rwanda walivyo wastaarabu. Bodaboda wa pale Kigali akifika zebra au kwenye trafiki light wanasimama bila shuruti, hawa wa kwetu utadhani vichaaa...
Soma nilichoandika hapo chini vizuri utaelewa ni kwanini nchi nyingi ambazo zimeendekeza demokrasia na haki za binadam haswa kwa Afrika swala hilo ni gumu kutekelezeka. 👇
Rwanda ilifanikiwa katika hili kutokana na aina ya uongozi uliyopo nchini kwao.
Walitengeneza sheria kali juu ya wale wanaoharibu mipango miji iliyopangwa upya baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, walitengeneza sheria kali kwa yeyote atakaekamatwa anatupa uchafu hovyo na sheria hizo zilifanyakazi bila manung'uniko yoyote.

Lakini kwa Tanzania hilo haliwezekani kutokana na kila swala kulipeleka kisiasa. Serikali ikitunga sheria kali vyama pamoja na mashirika ya binadam vitaingilia kati na kusababisha sheria haipiti au ikipita haitekelezwi kwa kuogopa kuvunja haki za binadamu nk.

So mambo kama haya huwa yanawezekana na kufanikiwa zaidi kwenye zile nchi zinazoongozwa bila kufuata au kusikiliza kelele za vyama wala mashirika ya haki za binadam.

Nchi kama China, Russia na Rwanda zimefanikiwa sana kutokana na sifa nilizozitaja hapo juu, ila kwa Tanzania ni hizi nchi zinazoendekeza demokrasi na haki za binadam hilo swala ni gumu kutekelezeka.
 
Angewapeleka hapo Moshi tuh
Naona alikuwa anatafuta mwanya wa kuongeza urefu wa kamba yake.

Aliona kwa Tanzania hii ingekuwa ngumu kuongeza urefu wa kamba hiyo maana ingekuwa rahisi kumshtukia.
 
Nimeshangazwa na kitendo cha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Amos Makalla kutumia kodi za walalahoi kukodi ndege ya kuwapeleka wamachinga na wadau wengine nchini Rwanda eti kujifunza usafi.

Inamaana Watanzania wenyewe ni wachafu na hawawezi kujifunza usafi mpaka waende kufunzwa na wanyarwanda. Hii si aibu ya mwaka huu mpya wa 2023? Je lile somo lililokuwa linatufunza usafi shuleni halifundishwi tena madarasani?

Ina maana watanzania tumekuwa watu wa kuiga kila kitu kutoka kwa wenzetu hata vile ambavyo tunaweza kuvifanya wenyewe tunashindwa kuvifanya kwa kusubiri kwanza tujifunze kupitia kwa wengine.

Katika hili Makalla amechemsha sana na kuleta aibu kubwa kwa wana Dar es salaam. Hii ni sawa na kumwambia jirani yako amfunze mkeo namna ya kuoga na wakati wewe mumewe unao uwezo huo na dhamana ya kumsimamia mkeo katika hilo.

Mambo ya aibu namna hii ndo yanayosababisha wengi tushindwe kurudi nyumban sasa hivi.
Kwani VETA mbona wanfundisha wafanya usafi kwenye kampuni binafsi za usafi? Au hajawahi kwenda hat Jmall achia mbali benki, akaona usafi ukoje? We RC wahimize wazoa taka wafanye kazi zao. Chukua kwanza viongozi wa manispaa zako wajifunze usafi wa masoko na maeneo ya jiji.
 
watanzania ukweli tumezidi uchafu, utakojoaje kwenye chupa za maji ya kunywa halafu utupe barabarani,utakojoaje kwenye mitaro mjini dar au barabarani watu wanakuona, utatupaje uchafu ukiisha kula kwenye gari,unautupa nje, unatupaje uchafu ndani ya mifereji ya maji ya mvua mpaka kusababisha mitaro kujaa maji, bado mnatakiwa kufundishwa usafi na uvaaji kuvaa mituba jeas sio ujanja leo ukisimama waliovaa jeas na kadet mitumba ni asilimia 80% utafikiri vazi la taifa, konda wa daladala na dereva wananuka utafikiri wanauza itumbo wa nguruwe nguo zao hazifuliwi mpaka kero
 
Kwani VETA mbona wanfundisha wafanya usafi kwenye kampuni binafsi za usafi? Au hajawahi kwenda hat Jmall achia mbali benki, akaona usafi ukoje? We RC wahimize wazoa taka wafanye kazi zao. Chukua kwanza viongozi wa manispaa zako wajifunze usafi wa masoko na maeneo ya jiji.
Ushauri wako ni mzuri ila kwa vile sio wa upigaji, sidhani kama atauchukua.

Lengo ni la kuwapeleka mbali ili chenji ikibaki katika gharama za usafiri iingie mfukoni kwake.
 
watanzania ukweli tumezidi uchafu, utakojoaje kwenye chupa za maji ya kunywa halafu utupe barabarani,utakojoaje kwenye mitaro mjini dar au barabarani watu wanakuona, utatupaje uchafu ukiisha kula kwenye gari,unautupa nje, unatupaje uchafu ndani ya mifereji ya maji ya mvua mpaka kusababisha mitaro kujaa maji, bado mnatakiwa kufundishwa usafi na uvaaji kuvaa mituba jeas sio ujanja leo ukisimama waliovaa jeas na kadet mitumba ni asilimia 80% utafikiri vazi la taifa, konda wa daladala na dereva wananuka utafikiri wanauza itumbo wa nguruwe nguo zao hazifuliwi mpaka kero
Japo hapo kwa konda na dereva nimecheka, lkn huu ndio ukweli wenyewe.

Kingine tuache uvivu, unaangamiza familia zetu na taifa letu.
 
MAKALA ni Dalali na panapo pesa anaupiga mwingi kweli kweli naskia kuna sehemu kavuta mpunga amewapa watu binafsi huko Gongolamboto wakati serikali inajenga stendi kubwa ya Mwendokasi, jamaa ndiomana kanenepa hadi masikio nyambaf.
 
Ushawahi kuona wapi nchi moja inatuma raia wake nchi nyingine wakajifunze usafi. Ingekuwa ni swala la kwenda kujifunza mbinu za biashara, intelejensia nk hapo ningeelewa. Lakini swala la usafi kweli ni la kukodi ndege kwenda kuwafunza watu nje ya nchi? Yuko serious kweli!
Aliemteua kuwa RC nae hayupo serious....ndio walewale tu.
 
MAKALA ni Dalali na panapo pesa anaupiga mwingi kweli kweli naskia kuna sehemu kavuta mpunga amewapa watu binafsi huko Gongolamboto wakati serikali inajenga stendi kubwa ya Mwendokasi, jamaa ndiomana kanenepa hadi masikio nyambaf.
Inamaana kakata hadi kamba aliyopimiwa? Kweli jamaa kiboko.
 
Back
Top Bottom