Amos Makalla ametudhalilisha na kututukanisha wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla

Amos Makalla ametudhalilisha na kututukanisha wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla

Acha ushamba kwani watu wa Dar si watanzania na wana nini cha mno zaidi?
Sikusema watu wa Dar peke yao bali nimesema na watanzania kwa ujumla. Au wewe haujasoma heading. Hata hivyo Makalla ni mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na waliopelekwa wanatoka Dar ndomaana unaona nimeihusisha Dar zaidi kwenye thread nzima.

Ingekuwa ni waziri ndio kafanya hivyo basi mada ingehusu Tanzania nzima.
 
Hizo pia ni gharama kutokana na ukubwa wa bei ya ticket ya Go and Return. Fikiria kama wamekwenda watu 50 ni kiasi gani cha nauli kimetumika. Hapo bado chakula, hotel, malazi nk.
Twende kwenye hoja yangu ya msingi ni kuwa sio kweli kuwa wamekodiwa ndege kama mleta uzi alivyosemq.Waliokwenda ni 12 na ni kwa udhamini wa benki ya NMB
 
Nimeshangazwa na kitendo cha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Amos Makalla kutumia kodi za walalahoi kukodi ndege ya kuwapeleka wamachinga na wadau wengine nchini Rwanda eti kujifunza usafi.

Inamaana Watanzania wenyewe ni wachafu na hawawezi kujifunza usafi mpaka waende kufunzwa na wanyarwanda. Hii si aibu ya mwaka huu mpya wa 2023? Je lile somo lililokuwa linatufunza usafi shuleni halifundishwi tena madarasani?

Ina maana watanzania tumekuwa watu wa kuiga kila kitu kutoka kwa wenzetu hata vile ambavyo tunaweza kuvifanya wenyewe tunashindwa kuvifanya kwa kusubiri kwanza tujifunze kupitia kwa wengine.

Katika hili Makalla amechemsha sana na kuleta aibu kubwa kwa wana Dar es salaam. Hii ni sawa na kumwambia jirani yako amfunze mkeo namna ya kuoga na wakati wewe mumewe unao uwezo huo na dhamana ya kumsimamia mkeo katika hilo.

Mambo ya aibu namna hii ndo yanayosababisha wengi tushindwe kurudi nyumban sasa hivi.
Hapo per diem,kulipia passport,.nk.hapo kwa lugha nyengine watalii hawezi Kuja Dar maana sisi ni wachafu.
Wakati mwingine mambo ya nyumbani kwako si vizuri jirani akayajua
 
Hapo per diem,kulipia passport,.nk.hapo kwa lugha nyengine watalii hawezi Kuja Dar maana sisi ni wachafu.
Wakati mwingine mambo ya nyumbani kwako si vizuri jirani akayajua
Kweli kabisa. Hii ni dharau na aibu kubwa dhidi ya nchi yetu. Ngoja tusubiri kuona mwisho wa wale waliyokwenda kujifunza. Je kuna kitu kitabadilika au ndio yale yale. Lets wait mkuu.
 
Wanatamba kwavile mwanaume kaondoshwa!! Huyu enzi ya Jiwe si aliwekwa bench kwa kutokuwa makini!! Awamu hii anaonekana ndio sterling. Ajabu na kweli!
Kweli kabisa, huyu jamaa hakustahili kuwa mkuu wa mkoa makini kama wa Dar es salaam.
 
Watu wa Moshi hapo wanapiga usafi... Na mara zote mji wao unasifika Kwa usafi... Sasa inakuwaje RC kaamua kwenda kujichoresha huko Rwanda???

Si angewapeleka hapo Moshi tuu?
 
Hajakosea kujifunza mbinu siyo aibu , jamaa walikotoka palikuwa pa ajabu sana nikwenda Kigali 1997 Kigali ilikuwa kama zizi la ng'ombe lakini within 25 years inatolewa mfano na dunia nzima.
Mskala big up.
 
Nimeshangazwa na kitendo cha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Amos Makalla kutumia kodi za walalahoi kukodi ndege ya kuwapeleka wamachinga na wadau wengine nchini Rwanda eti kujifunza usafi.

Inamaana Watanzania wenyewe ni wachafu na hawawezi kujifunza usafi mpaka waende kufunzwa na wanyarwanda. Hii si aibu ya mwaka huu mpya wa 2023? Je lile somo lililokuwa linatufunza usafi shuleni halifundishwi tena madarasani?

Ina maana watanzania tumekuwa watu wa kuiga kila kitu kutoka kwa wenzetu hata vile ambavyo tunaweza kuvifanya wenyewe tunashindwa kuvifanya kwa kusubiri kwanza tujifunze kupitia kwa wengine.

Katika hili Makalla amechemsha sana na kuleta aibu kubwa kwa wana Dar es salaam. Hii ni sawa na kumwambia jirani yako amfunze mkeo namna ya kuoga na wakati wewe mumewe unao uwezo huo na dhamana ya kumsimamia mkeo katika hilo.

Mambo ya aibu namna hii ndo yanayosababisha wengi tushindwe kurudi nyumban sasa hivi.
Mi nmuunga mkono RC Makala.
Majitu ya darisalama ni machfu mpaka unashangaa na kujiuliza maswali bila majibu.

Barabara mitaro yote imejaa vinyesi na matakataka ya kila aina.

Wachilia mbali huko mitaani ndio usiseme , katikati ya jiji marundo ya takataka na madampo bubu kila kona.

Mvua zikinyesha vyoo cilivyojaa kinyesi vinaachiliwa kutiriikia barabrani.

Kama ni usafi waswahili wakajifunze Kigali wala mi sioni shida maana kama huwezi kajifunze kwa wanaoweza.
 
Mi nmuunga mkono RC Makala.
Majitu ya darisalama ni machfu mpaka unashangaa na kujiuliza maswali bila majibu.

Barabara mitaro yote imejaa vinyesi na matakataka ya kila aina.

Wachilia mbali huko mitaani ndio usiseme , katikati ya jiji marundo ya takataka na madampo bubu kila kona.

Mvua zikinyesha vyoo cilivyojaa kinyesi vinaachiliwa kutiriikia barabrani.

Kama ni usafi waswahili wakajifunze Kigali wala mi sioni shida maana kama huwezi kajifunze kwa wanaoweza.
Waswahili wanasema kuwa "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo", au "samaki mkunje angali mbichi" swala la usafi linatakiwa lianze kufunzwa katika ngazi za kifamilia, kijamii na baadae kitaifa. Kama hawa watu hawakuanza kufunzwa kuanzia chini usifikiri wakienda Rwanda ndio watabadilika.

Wanaweza kufanya mabadiliko siku mbili tatu baada ya hapo wakarudia kuishi vile walivyokuwa wanaishi mwanzo. Lakini pia Tanzania kuna baadhi ya sehem ni safi kama huko Rwanda, kwahiyo hapakuwa sababu ya yeye kutumia mamilioni ya watanzania kwenda Rwanda na ilhali angeenda hapo Moshi angekuja na mrejesho mzuri wa kile kilichompeleka huko.
 
Watu wa Moshi hapo wanapiga usafi... Na mara zote mji wao unasifika Kwa usafi... Sasa inakuwaje RC kaamua kwenda kujichoresha huko Rwanda???

Si angewapeleka hapo Moshi tuu?
Ndo hapo sasa tuliposhangaa. Inakuaje mtu mzima, tena kiongozi wa mkoa wenye wajanja wengi na wasomi kama Dar akimbilie Rwanda kufunzwa usafi! Hii si fedheha na aibu kwa taifa!!
 
Hajakosea kujifunza mbinu siyo aibu , jamaa walikotoka palikuwa pa ajabu sana nikwenda Kigali 1997 Kigali ilikuwa kama zizi la ng'ombe lakini within 25 years inatolewa mfano na dunia nzima.
Mskala big up.
Wanyarwanda hawakuja Tanzania au kwenda Kenya kujifunza usafi, bali walikaa na kuamua kubadilisha mji wao kwa kuhamasishana, kuelimishana na kueleweshana.

Pia waliweka systems ya kuwaadhibu vikali wale wote wanaopatikana na hatia ya kutupa uchafu hovyo barabarani bila kujali upuuzi unaoitwa haki za binadam nk.

Hii ilisababisha watu wengi waogope kutupa taka hovyo na kupelekea mji wao kuwa msafi kama ilivyo leo. Ni kama wafanyavyo China.
 
Ndo hapo sasa tuliposhangaa. Inakuaje mtu mzima, tena kiongozi wa mkoa wenye wajanja wengi na wasomi kama Dar akimbilie Rwanda kufunzwa usafi! Hii si fedheha na aibu kwa taifa!!
Sasa kama ujanja na usomi wako haukusaidii kujua namna ya kumanage uchafu na kuweka mazingira yako safi usomi huo na ujanja huo ni kama uganga wa kienyeji.

Ndio maana Mwigulu kawambia wajomba zenu mliowatuma wakawawakilishe kuwa wanachoweza wao ni uganga tu.

wWakazi wa dar ni wachafu sana wala sio siri.

Mi ningemwelewa sana bwana RC angeomba na msaada wa askari wa kinyarwanda waje wawatie viboko ama makonzi ili akili ziwakae vizuri.
 
Sasa kama ujanja na usomi wako haukusaidii kujua namna ya kumanage uchafu na kuweka mazingira yako safi usomi huo na ujanja huo ni kama uganga wa kienyeji.

Ndio maana Mwigulu kawambia wajomba zenu mliowatuma wakawawakilishe kuwa wanachoweza wao ni uganga tu.

wWakazi wa dar ni wachafu sana wala sio siri.

Mi ningemwelewa sana bwana RC angeomba na msaada wa askari wa kinyarwanda waje wawatie viboko ama makonzi ili akili ziwakae vizuri.
Mkuu mbona Tanzania kuna maeneo mengi tu masafi ambayo mkuu wa mkoa angeweza kupeleka vijana wake huko wakajifunze usafi, bila kutumia gharama kubwa ya usafiri, chakula, malazi nk.
Angewapeleka Moshi Mara moja nina imani wangerudi wako vizuri kichwani kwa upande wa usafi, mbinu za biashara nk.

Ila huko Rwanda kaenda kuchoma kodi zetu na mbaya zaidi katudhalilisha watanzania wenzake.
 
Nimeshangazwa na kitendo cha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Amos Makalla kutumia kodi za walalahoi kukodi ndege ya kuwapeleka wamachinga na wadau wengine nchini Rwanda eti kujifunza usafi.

Inamaana Watanzania wenyewe ni wachafu na hawawezi kujifunza usafi mpaka waende kufunzwa na wanyarwanda. Hii si aibu ya mwaka huu mpya wa 2023? Je lile somo lililokuwa linatufunza usafi shuleni halifundishwi tena madarasani?

Ina maana watanzania tumekuwa watu wa kuiga kila kitu kutoka kwa wenzetu hata vile ambavyo tunaweza kuvifanya wenyewe tunashindwa kuvifanya kwa kusubiri kwanza tujifunze kupitia kwa wengine.

Katika hili Makalla amechemsha sana na kuleta aibu kubwa kwa wana Dar es salaam. Hii ni sawa na kumwambia jirani yako amfunze mkeo namna ya kuoga na wakati wewe mumewe unao uwezo huo na dhamana ya kumsimamia mkeo katika hilo.

Mambo ya aibu namna hii ndo yanayosababisha wengi tushindwe kurudi nyumban sasa hivi.
Kuna watu wameshangaa Samia alivyomtosa Mkuu wa mkoa wa Tanga na amemwacha Makalla, hadi sasa bado hawaamini
 
Kuna watu wameshangaa Samia alivyomtosa Mkuu wa mkoa wa Tanga na amemwacha Makalla, hadi sasa bado hawaamini
Makalla ana bahati sana. Ila naamini muda sio mrefu atapigwa chini au kuhamishwa mkoa mungine.
 
Nimeshangazwa na kitendo cha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Amos Makalla kutumia kodi za walalahoi kukodi ndege ya kuwapeleka wamachinga na wadau wengine nchini Rwanda eti kujifunza usafi.

Inamaana Watanzania wenyewe ni wachafu na hawawezi kujifunza usafi mpaka waende kufunzwa na wanyarwanda. Hii si aibu ya mwaka huu mpya wa 2023? Je lile somo lililokuwa linatufunza usafi shuleni halifundishwi tena madarasani?

Ina maana watanzania tumekuwa watu wa kuiga kila kitu kutoka kwa wenzetu hata vile ambavyo tunaweza kuvifanya wenyewe tunashindwa kuvifanya kwa kusubiri kwanza tujifunze kupitia kwa wengine.

Katika hili Makalla amechemsha sana na kuleta aibu kubwa kwa wana Dar es salaam. Hii ni sawa na kumwambia jirani yako amfunze mkeo namna ya kuoga na wakati wewe mumewe unao uwezo huo na dhamana ya kumsimamia mkeo katika hilo.

Mambo ya aibu namna hii ndo yanayosababisha wengi tushindwe kurudi nyumban sasa hivi.
 
Rwanda ilifanikiwa katika hili kutokana na aina ya uongozi uliyopo nchini kwao.
Walitengeneza sheria kali juu ya wale wanaoharibu mipango miji iliyopangwa upya baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, walitengeneza sheria kali kwa yeyote atakaekamatwa anatupa uchafu hovyo na sheria hizo zilifanyakazi bila manung'uniko yoyote.

Lakini kwa Tanzania hilo haliwezekani kutokana na kila swala kulipeleka kisiasa. Serikali ikitunga sheria kali vyama pamoja na mashirika ya binadam vitaingilia kati na kusababisha sheria haipiti au ikipita haitekelezwi kwa kuogopa kuvunja haki za binadamu nk.

So mambo kama haya huwa yanawezekana na kufanikiwa zaidi kwenye zile nchi zinazoongozwa bila kufuata au kusikiliza kelele za vyama wala mashirika ya haki za binadam.

Nchi kama China, Russia na Rwanda zimefanikiwa sana kutokana na sifa nilizozitaja hapo juu, ila kwa Tanzania ni hizi nchi zinazoendekeza demokrasi na haki za binadam hilo swala ni gumu kutekelezeka.
 
To be honest Dar haitaji mtu mshambba na lofa kama huyu. Mama amerudisha watu wa hovyo hovyo tu. Jamani hii ni nchi sio mambo yenu!
 
To be honest Dar haitaji mtu mshambba na lofa kama huyu. Mama amerudisha watu wa hovyo hovyo tu. Jamani hii ni nchi sio mambo yenu!
Huyu mikeka ijayo kama hajatumbuliwa basi atahamishwa mkoa mungine.
 
Back
Top Bottom