Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #61
Ndio hapo sasa. Mbona Rwanda yenyewe miaka 25 nyuma ilikuwa chafu kama zilivyo nchi nyingi za Afrika. Wakajifunza wenyewe usafi kwa kuelimishana na kusimamiana hadi leo nchi yao ndo imefika hapo ilipofika.Duh usafi mpaka mfundishwe
Usafi ni utamaduni wa watu,jamii iliyopo pale hapo nje tu kwa mkuu wa mkoa ofisi pachafuuu sana
Ova