Amos Makalla ametudhalilisha na kututukanisha wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla

Amos Makalla ametudhalilisha na kututukanisha wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla

Huyu namjua sana, ni wale wale, Dar inataka mtu anayethamini taratibu na sheria zilizopo, Sio Hawa wapiga Domo!! Namaanisha, taratibu na sheria!!! Kuna mtu kama Heri James alikuwa anashindana na viongozi wake kuvunja sheria na taratibu ili TU tumbo lake lishibe
Amos anaenda kutupaka kinyesi watanzania wenzake 😂😂 ni aibu kubwa mtanzania kufunzwa usafi na mnyarwanda, mkenya, mrundi nk.
 
Kama ni hivyo hapakuwa sababu ya kwenda mbali kuchoma kodi zetu. Angewapeleka Moshi wakajifunze afu baada ya wiki warudi wakiwa vizuri kichwani.
amewadhalilisha vipi wakati ukweli ni kuwa nyie ni wachafu, machinga wa nchi ni wachafu utafikiri siyo binadamu. wasiwasi wangu ni kuwa watafundishika kweli?

Dar es Salaam ni chafu haina mfano mpaka Michael Jackson alikuwa anafunga pua muda wote jiji linanuka muda wote. Badilikeni au mnataka muendelee na uvundo wenu?
 
Yote hii ni conflict of interest, Sasa Hawa mameya na Matumbo Yao wanasimamia nini kama RC ndio anajipa ziara ya kuzurura!? Eti kukagua usafi Kigali, my country
Imegine mtu kama Makalla akafunzwe namna ya kuoga na Kagame.
 
Huyo "Sakala" hana alijualo zaidi ya kusumbuana na machinga. Mjinga sana huyo jamaa. Nasikitika sana Simba kuwa na shabiki mjinga kama Sakalla.
 
Kama ni haya unayohisi basi na iwe hivyo. Lakini kama ni ku stick kwenye hii point ya thread basi amechemsha.
Kuna jamaa mmoja wa kitengo aliwahi kuniambia kuwa 'usalama wa nchi unapatikana pia kupitia katika matukio fulani ambayo mwananchi ataona ni ya kawaida na ya kijinga kwelikweli na serikali huwa inafanya makusudi hivyo'.

Tangu hapo mi huwa sichukulii poa mambo haya, wanawaza mbali na kujua zaidi ya tunavyojua.
 
Huyo "Sakala" hana alijualo zaidi ya kusumbuana na machinga. Mjinga sana huyo jamaa. Nasikitika sana Simba kuwa na shabiki mjinga kama Sakalla.
Swala la machinga nakubaliana na wewe. Ila la team kwa kweli abaki huko huko Simba. Yanga haiwezi kuwa na mtu wa aina yake.
 
Kuna jamaa mmoja wa kitengo aliwahi kuniambia kuwa 'usalama wa nchi unapatikana pia kupitia katika matukio fulani ambayo mwananchi ataona ni ya kawaida na ya kijinga kwelikweli,......na serikali huwa inafanya makusudi hivyo'. Tangu hapo mi huwa sichukulii poa mambo haya, wanawaza mbali na kujua zaidi ya tunavyojua.
Ya kwa namna fulan nimekuelewa mkuu
 
Hilo la uchafu sishangai,

Si nyie mlishawahi kuzuiliwa kwenda mjini mpaka muoge eti mlikuwa mnanuka.....!


Basi Makala Yuko sahihi, kubalini kujifunza ili mbadilike.

Ni hayo tu.
 
Nimeshangazwa na kitendo cha mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Amos Makalla kutumia kodi za walalahoi kukodi ndege ya kuwapeleka wamachinga na wadau wengine nchini Rwanda eti kujifunza usafi.

Inamaana Watanzania wenyewe ni wachafu na hawawezi kujifunza usafi mpaka waende kufunzwa na wanyarwanda. Hii si aibu ya mwaka huu mpya wa 2023? Je lile somo lililokuwa linatufunza usafi shuleni halifundishwi tena madarasani?

Ina maana watanzania tumekuwa watu wa kuiga kila kitu kutoka kwa wenzetu hata vile ambavyo tunaweza kuvifanya wenyewe tunashindwa kuvifanya kwa kusubiri kwanza tujifunze kupitia kwa wengine.

Katika hili Makalla amechemsha sana na kuleta aibu kubwa kwa wana Dar es salaam. Hii ni sawa na kumwambia jirani yako amfunze mkeo namna ya kuoga na wakati wewe mumewe unao uwezo huo na dhamana ya kumsimamia mkeo katika hilo.

Mambo ya aibu namna hii ndo yanayosababisha wengi tushindwe kurudi nyumban sasa hivi.
Nguvu ya Jina kwenye maisha ya Mtu: Wanaoitwa majina ya Amos wengi wao hawajawahi kuwaga na akili ni wachache sana wanaokuwaga na majina hayo wanakuwa smart kichwani wengi ni wapuuzi puuzi kichwani, Nina wasiwasi na neno Makalla inawezekana maana yake sio nzuri pia..
 
Huyu namjua sana, ni wale wale, Dar inataka mtu anayethamini taratibu na sheria zilizopo, Sio Hawa wapiga Domo!! Namaanisha, taratibu na sheria!!! Kuna mtu kama Heri James alikuwa anashindana na viongozi wake kuvunja sheria na taratibu ili TU tumbo lake lishibe
Herry James, poa sana mtu yule. Sio hawa akina "Sakalla" kukimbizana na machinga kila aendako. Utadhani ndio jukumu kuu la mkuu wa mkoa.
 
Hilo la uchafu sishangai,

Si nyie mlishawahi kuzuiliwa kwenda mjini mpaka muoge eti mlikuwa mnanuka.....!


Basi Makala Yuko sahihi, kubalini kujifunza ili mbadilike.

Ni hayo tu.
Sio kila alie Dar ni mwana Dar es salaam. Kuna wengine wakuja, wamekuja na tabia zao za uchafu kutoka katika mikoa yao na kufanya mkoa mzima uonekane kuwa ni watu wa aina hiyo.
 
Nguvu ya Jina kwenye maisha ya Mtu: Wanaoitwa majina ya Amos wengi wao hawajawahi kuwaga na akili ni wachache sana wanaokuwaga na majina hayo wanakuwa smart kichwani wengi ni wapuuzi puuzi kichwani, Nina wasiwasi na neno Makalla inawezekana maana yake sio nzuri pia..
Ya inawezekana mkuu.
 
Back
Top Bottom