Pre GE2025 Amos Makalla amjibu aliyekuwa DC Longindo, adai kama alienda Maporini labda alienda Kuchimba Dawa, hakutumwa na Serikali

Pre GE2025 Amos Makalla amjibu aliyekuwa DC Longindo, adai kama alienda Maporini labda alienda Kuchimba Dawa, hakutumwa na Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.

View attachment 3087022
Ndo kilicho mleta Arusha?
Watanzania sio nyumbu. Ni kitu kilicho fanyika na walio fanya ndio wanao sema.
Mbona hamtaki ukweli?
Vipi wale alio wataja Mh. Mbowe na namba zao za simu? Na hilo kataeni. Mna jaribu kukimbia kivuli chenu wenyewe. Ila Mungu wa mbinguni ata waacha uchi.
 
Ndo kilicho mleta Arusha?
Watanzania sio nyumbu. Ni kitu kilicho fanyika na walio fanya ndio wanao sema.
Mbona hamtaki ukweli?
Vipi wale alio wataja Mh. Mbowe na namba zao za simu? Na hilo kataeni. Mna jaribu kukimbia kivuli chenu wenyewe. Ila Mungu wa mbinguni ata waacha uchi.
Bila shaka kaletwa na hicho
 
Makala bora angenyamaza ,kwa hiyo Mh rais kakosea ?kwamba ukienda kuchimba dawa ni kosa? Rais ana taasis ajakurupuka kumtengua ,kwa hiyo Makala anaona Mh rais kakosea kumtengua? Pedeshee makala akijibu kipedeshee
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.

View attachment 3087022

==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-reader://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kauli-ya-dc-longido-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Kwani Makala alikuwa nani kipindi hicho?
 
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakitegemei kubebwa ili kushinda kwenye chaguzi.

Mbali na hilo, Makalla amesema, kilichosemwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC), Marco Ng’umbi ni maoni yake mwenyewe.

Septemba mosi, 2024, katika mitandao ya kijamii kulisambaa picha jongefu ya dakika 1.32, ikimwonesha Ng’umbi akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.

Alieleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

Jioni ya siku hiyohiyo, Rais Samia Suluhu Hassan alitangaza kutengua uteuzi wake na Septemba 2, 2024 alimteua Salum Kali kuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido. Kabla ya uteuzi huo, Kali alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigoma.
 
Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.

Hakika chama dola kongwe kina tudharau sana waTanzania na kutuona hatuna akili ya kubaini mambo hadi katibu mwenezi, propaganda, itikadi na elimu wa CCM aje kututafunia maneno ya yule muovu waliyemtumia 2019, 2020 na ambaye amèshamaliza mchezo wa 2024 na 2025


View: https://m.youtube.com/watch?v=N6oT1Ykg6D0
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.

View attachment 3087022

==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-reader://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kauli-ya-dc-longido-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Kitanda hakizai haramu, mbona muna mkana mtoto wenu?! Nani alimuajiri, Mungu anazidi kuwaumbua na bado, yajayo yanafurahisha.....
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.

View attachment 3087022

==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Hizo ndizo kanuni Duniani pote, ukilikoroga unalinywa peke yako na upojichunga unajikuta ndotoni ukiwa pori la mabwe pande
 
Kitanda hakizai haramu, mbona muna mkana mtoto wenu?! Nani alimuajiri, Mungu anazidi kuwaumbua na bado, yajayo yanafurahisha.....
Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
 
Nyerere - ''Mtu mwenye akili akikuambia neno la kijinga kwamba..." mwisho wa nukuu. Kuwa DC wa Loliondo ... na hafai kuchukuliwa hatua za kufunguliwa mashtaka kwa kuleta taharuki inayopelekea kuvuruga mchakato wa kuelekea uchaguzi wa 2024 na ule wa 2025 .... basi mtu huyo Makala Amos ni wa kupuuzwa... kwa kumtetea DC wa Loliondo.

1725465476666.png
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.

View attachment 3087022

==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Sawa, kwahiyo DC alikuwa anatoroka kituo chake cha kazi pasi mwajiri kujua na kwenda kufanya mambo yake huko porini?
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.

View attachment 3087022

==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Hamwezi kuishinda CHADEMA kwenye sanduku la kura, hili halipo aminia, siku inakuja....
 
Kama ndivyo...

Basi ukweli utapatikana mahakamani kwa kuwa ninyi hamuwaamini wanasiasa....

..ukweli utapatikana ikiundwa Tume ya Uchunguzi kama aliyounda Raisi Kikwete na kuongozwa na Jaji Musa Kipenka.
 
Back
Top Bottom