Pre GE2025 Amos Makalla amjibu aliyekuwa DC Longindo, adai kama alienda Maporini labda alienda Kuchimba Dawa, hakutumwa na Serikali

Pre GE2025 Amos Makalla amjibu aliyekuwa DC Longindo, adai kama alienda Maporini labda alienda Kuchimba Dawa, hakutumwa na Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
IMG_20201028_173703.jpg
 
Huyo aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Longido achukue tahadhari zote. Wanasema ukiwa mchawi halafu ukaweka wazi mambo ambayo wachawi huwa mnafanya kwa watu wasio wachawi, adhabu yako ni kifo.

Mtu yeyote ambaye ni mwovu na anaendelea kukiri kuwa ni mwovu, lazima huyo mtu anaufurahia uovu wake, na ana nia ya kuendelea na uovu wake.

Makala, bila shaka ni mwovu mwente dhamira ya kuulinda na kuuendeleza uovu wake ndiyo maana anaendelea kutoa kauli za kipuuzi kuulinda ushetani ambao CCM huwa inafanya.

Ilaaniwe CCM na maharamia wote wa CCM ambao wameamya kuwa wafuasi wa shetani maisha yao yote. Hongera kwao wanaCCM wanaouchukia uovu unaofanywa na wanaCCM mashetani, ambao hawaufurahii ushetani huo, Mh. Jaji Warioba, Butiku, Shivji, Ndugulile, ni mfano mzuri wa wanaCCM ambao hawafurahii uwepo wa mashetani ndani ya CCM, lakini kwa bahati mbaya mashetani yana mizizi ndani ya CCM kiasi kwamba huwezi kuyang'oa bila ya kuing'oa CCM nzima.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.


==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Angesema nini zaidi kuficha aibu ya kuvuliwa nguo hadharani?
 
Huwa nashangaa sana watu wanaandika "CPA Makalla atema cheche jukwaani".

Ni wakati umefika sasa hivi vyeo vya Dr, CPA, Eng, Prof vitumike kwenye taalum a husika sio kwa wanasiasa kama hawa.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.


==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Asitufanyie comedy huyu mtu.. DC alishaweka kila kitu hadharani😂
 
Shida ni kua hao ccm wanatofautiana kimaslahi.
Kuna watu kama huyo DC wameingizwa kwenye michakato ya kufanya rafu ili chama kishike dola lakini wao malengo yao ni hapohapo wilayani kwao..
Hawana habari na nchi wala kimataifa, wao wakifanikisha jambo kwa wilaya yao kwa 100% basi wanaamini ni wakubwa na wakubwa wa nchi wapo upande wao kwa lolote watakalosema maana wamecheza rafu ili kuimarisha chama na wakuu wao wamebariki uhalifu wao.

Lakini ubaya ni kua wakuu wao wana malengo tofauti kidogo na ukubwa tofauti, hawaoni shida kuwatupa lupango, hawaoni shida kuwakana hata kuwapoteza presha ikiwa kubwa.
Hawa wanatumiwa na watatumiwa mpaka mwisho wa maisha yao kama hawatabadirika basi sidhani kama watakua na mwisho mzuri.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.


==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Wanatuona Sisi mafala.Sawa Amosi
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.


==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Mpaka mawe yatasema
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.


==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Makalla ametoa kauli nyepesi na ya kijinga. Lakini hatukutarajia yeye au chama cha ccm kwa ujumla wake waje na kauli yenye mashiko baada ya kauli za DC Loliondo au kauli ya Nape. Kwa hiyo kauli yake haishangazi kabisa.
Kilichonishgaza toka awali ni vyama vingine makini kabisa kukubali kuingia katika uchaguzi wa 2025 kukiwa na mazingira yale yale ya uchaguzi wa 2020...,tume ya uchaguzi ni ile ile na katika muundo ule ule, na katiba ni ile ile...ambapo neno la rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala linakuwa amri inayopanda juu ya sheria,..na matangazo yatakayosemwa na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi bila kujali ukweli wake ,ni matakatifu kiasi cha kutohojiwa na mahakama yoyote.

Katika mazingira hayo vyama makini vinatarajia nini? Maendeleo ya nchi yoyote kijamii na kiuchumi yanaanzia na uchaguzi katika uwanja ulio sawa,siyo uwanja ulioinama.
Nini kilifanya vyama makini vikubali kuingia katika mtego ule ule?

Kuna kichekesho kimoja,kuna watu wamempongeza rais kwa kumuondoa DC wa Longido...,yaani kana kwamba kamuondoa kwa vile yale aliyoyafanya huko wakati wa uchaguzi 2020 na yale aliyopanga kuyafanya tena kwa mujibu wa maelezo yake,..eti ni yake binafsi.

Inaonesha wazi kilichofanyika Longido 2020,kilifanyika pia maeneo mengine ya uchaguzi na ndo maana matukio na matokeo yakawa yamefanana.
Na ndo maana tuliona wazi yule askari wa wilaya ya Hai akimuambia Mbowe asidanganye watu kwa vile hatashinda uchaguzi hata iweje.
Na hilo lina maanisha kwamba ma-DC,ma-RC, na polisi wilaya na mikoa,wote walishiriki kufanya aliyoyasema DC wa Longido.
Rais Samia atamuondoa DC wa Longido na kumteua mwingine ambaye atakaa kimya,hatoropoka kama mwenzie aliyeondolewa lakini kwa hali ilivyo atafanya yale yale au tuseme atamalizia pale mwenzie alipoishia...kwa vile alishasema kwamba hata sasa wameshaanza mchakato wa uchaguzi ujao ili wafanye yaleyale.
 
Kumekucha 😂

Kwani DC alizungumzia kuteka? 🐼
Alizungumzia habari ya mapori sasa ni vyema umtafute kupitia jukwaa atuambie kama maporini alikoenda kulikuwa na nini alifuta nini,je alipeleka fomu au akikuwa akisaka yule mnyama mlafi wa madoa doa?Kwani wapo wanaouliza ni lini fomu zinarudi.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.


==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
DC Ng'umbi!
Kama huyo jamaa ni Msukuma najaribu kuchambua uhalisia wa nomino ya jina lake hilo la kilugha!

Nomino hiyo ina maana mbili:
1-Ng'umbi(tumbo-abdomen-stomach).

2-Nghumbi(panzi-grasshopper).

Kama jina lake linamaanisha #1 tumbo, basu limesadifu neno 'mchumia tumbo'.

Na kama jina lake lina maana ya #2 panzi
basi jina lake limesadifu kichwa chake upara, maana panzi hana nywele.

Tujitahidi kuwachagulia watoto wetu majina mema, maana jina linaweza kukamata matendo na mustakabalii wa mtu.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Amos Makalla amesema kwamba ccm haitegemei Kubebwa, haina haja ya kuteka watu na kuwatupa maporini ili kupata ushindi

Na kwamba kauli za aliyekuwa DC wa Longindo anaijua mwenyewe, huenda aliishiwa Hotuba na kuamua kuzungumza porojo zake mwenyewe

Makala amedai kwamba huyo DC kama alienda Maporini basi labda alienda kuchimba dawa.


==
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu'mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020.

Soma: Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Katika picha hiyo jongefu ya dakika 1.32, Ng’umbi anasikika akiwaeleza watu aliowataja mara kadhaa kuwa ni madiwani kwamba ushindi wao katika uchaguzi huo si ujanja wao, bali ni nguvu ya Serikali.
https://www.jamiiforums.com/safari-...do-ilivyotonesha-kidonda-cha-uchaguzi-4747650
Alikwenda mbali zaidi na kueleza hata waliopita bila kupingwa ni kazi iliyofanywa na Serikali na sio ubora wa wagombea husika.

“Kama kuna mtu ambaye si mwoga ni mimi, wote hapa madiwani mwaka 2020 hayupo diwani aliyepiga kampeni hapa. Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 si kwamba yalikuja yenyewe moja kwa moja kwa sababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana.”

Pia soma: Kuelekea 2025 - DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Lakini leo Jumatano Septemba 4, 2024 akizungumza na viongozi wa CCM na Serikali wa Mkoa wa Arusha katika kikao cha ndani, Makalla amesema CCM haiwezi kubebwa na hakitegemei mbeleko katika chaguzi, akisema wanakwenda kinyume na kauli ya Ngu'mbi kuhusu uchaguzi.

"Alisema sijui machakani, mi nasema yule aliishiwa hotuba, akaanza kutafuta maneno yake siye (CCM) hayatuhusu na hizo ni habari zake, yaani ilikuwa mazungumzo badala ya habari.”

"Hotuba ilimuishia aliyozungumza hayahusiani na CCM, ndiyo maana tunawataka viongozi wapangilie hotuba zao kwa kuandika vizuri siyo kutengeneza sinema, eti ulikwenda maporini kufanya nini? amesema na kuhoji Makalla.

Makalla amesema CCM haiwezi kwenda porini bali Ngu'mbi alikwenda peke yake iwe kuchimba dawa au kufanya shughuli nyingine.

"Mimi ndiyo msemaji wa CCM, tunawahakikishia Watanzania, chama hiki kimejiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani na tutashinda, hatuwezi kwenda porini kuzurura kwa sababu tuna muundo mzuri kuanzia ngazi ya kata na tuna Ilani nzuri, hatuhitaji mbeleko," amesema Makalla.

Mwenezi huyo, ameanza ziara ya kikazi ya siku sita katika mikoa ya Arusha na Manyara akisema ina lengo la kutembelea wilaya ambazo hazikufikiwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Emmanuel Nchimbi.

Chanzo: Mwananchi
Hawa ndo wamepewa dhamana kuijenga nchi!!
 
Back
Top Bottom