Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kuna marafiki zake watakuwa wanataka vibanda hapo stand
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM huwa wanakula vilivyoiva pekeeNi lini ataenda kukagua wizara ya fedha ili kuangalia uwezekano wa kuongeza mzunguko mitaani?
We jamaa ibada ya mizimu haitakusaidia kituIla Magufuli alikuwa anajua namna ya kuleta vitu vizuri kwenye nchi hii
Wizi wa kishindo 2020 chini ya Dikteta Mendazake aliyeishupazia shingo Corona ikamuua.ushindi wa kishindo 2020 chini ya jemedari mwana wa afrika Hayati Dkt John P.Magufuli!
Moyoni unajisuta!Wizi wa kishindo 2020 chini ya Dikteta Mendazake aliyeishupazia shingo Corona ikamuua.
Hata siku moja.Moyoni unajisuta!
Mbele za watu wengi hunena hivyo!Hata siku moja.
Amos Makalla Katibu Mwenezi wa CCM, Ambaye ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA (siyo Vijana Jazz wala TOT), amebuni mbinu mpya ya kuandikwa na magazeti uchwara ili avume.
Sasa hivi ameanza kutembelea vitu visivyomhusu, ametembelea Uwanja wa soka wa KMC, ambao ni uwanja wa Manispaa ya Kinondoni na ametembelea pia soko la Mwenge, vitu hivi alivyotembelea ni vipya na wala havihusiani na ccm na wala havina changamoto yoyote
Swali letu ni hili, Ameenda huko kama nani na ili iweje? au hajui majukumu yake ya kazi? kama lengo lake ni kutatua kero mbona hajaenda kwenye masoko yaliyododa kama soko la kijichi au masoko yanayonuka uchafu kama Stereo na Mabibo? au ameamua kutafuta kiki za bei rahisi baada ya kushindwa ku trendi kwa muda mrefu .
Watanzania hata kama ni wajinga lakini si watu wa kutapeliwa kirahisi namna hii
View attachment 3045139
Lini atatembelea BOT?Wewe ni mbumbumbu sana Kaka
Yaan ujui CCM ndio chama Dola au?
Kwahiyo huo umati wote Hauna akili?Hivi mtu mwenye akili timamu unaweza kuacha shughuli zako na kwenda kumsikiliza huyu Makala?
Kuna mradi ?Lini atatembelea BOT?
Kwi Kwi KwiKuna mradi ?
Maana Sasa unajitoa akili sana ndg
Ndio ujue jinsi gan amjajiandaa kushika Dola kama ujui makala ana cheo gan na kwanini amekagua mradi wa Mwenge
Chama Cha Mapinduzi ndio Chenye Dola Hilo nalo ujui?
Manispaa ya Kinondoni Kwanzia Mbunge , Meya , Madiwani Wenyeviti wa Mitaa ni CCM
Sasa unaona wivu boss wao kuwatembelea na kuwakagua au
Uolewe Sasa maana gubu limezidi
Ndio maana mara zote nasema Chadema nyie ni nyumbu,vitu vidogo sana hamna uelewa navyo.Amos Makalla Katibu Mwenezi wa CCM, Ambaye ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA (siyo Vijana Jazz wala TOT), amebuni mbinu mpya ya kuandikwa na magazeti uchwara ili avume.
Sasa hivi ameanza kutembelea vitu visivyomhusu, ametembelea Uwanja wa soka wa KMC, ambao ni uwanja wa Manispaa ya Kinondoni na ametembelea pia soko la Mwenge, vitu hivi alivyotembelea ni vipya na wala havihusiani na ccm na wala havina changamoto yoyote
Swali letu ni hili, Ameenda huko kama nani na ili iweje? au hajui majukumu yake ya kazi? kama lengo lake ni kutatua kero mbona hajaenda kwenye masoko yaliyododa kama soko la kijichi au masoko yanayonuka uchafu kama Stereo na Mabibo? au ameamua kutafuta kiki za bei rahisi baada ya kushindwa ku trendi kwa muda mrefu .
Watanzania hata kama ni wajinga lakini si watu wa kutapeliwa kirahisi namna hii
View attachment 3045139
Hayajierewi haya ma popomaAmos Makalla Katibu Mwenezi wa CCM, Ambaye ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA (siyo Vijana Jazz wala TOT), amebuni mbinu mpya ya kuandikwa na magazeti uchwara ili avume.
Sasa hivi ameanza kutembelea vitu visivyomhusu, ametembelea Uwanja wa soka wa KMC, ambao ni uwanja wa Manispaa ya Kinondoni na ametembelea pia soko la Mwenge, vitu hivi alivyotembelea ni vipya na wala havihusiani na ccm na wala havina changamoto yoyote
Swali letu ni hili, Ameenda huko kama nani na ili iweje? au hajui majukumu yake ya kazi? kama lengo lake ni kutatua kero mbona hajaenda kwenye masoko yaliyododa kama soko la kijichi au masoko yanayonuka uchafu kama Stereo na Mabibo? au ameamua kutafuta kiki za bei rahisi baada ya kushindwa ku trendi kwa muda mrefu .
Watanzania hata kama ni wajinga lakini si watu wa kutapeliwa kirahisi namna hii
View attachment 3045139
Chama cha wafiraji na wasagajiKwahiyo huo umati wote Hauna akili?
Oky
Shida yenu ni kuamini Kila Nyumbu ana haki ya kuswagwa mtaani kumbe haki yenu porini
Kama alienda ki-CCM wataalamu awatoe wapi?Kwamba alienda yeye tu bila wataalamu?