LGE2024 Amos Makalla: Kuna mgogoro mkubwa unakuja ndani ya CHADEMA

LGE2024 Amos Makalla: Kuna mgogoro mkubwa unakuja ndani ya CHADEMA

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sijasema mimi amesema Makala mbona unajifanya husikii?😎😎
So makala akisema wewe ni mpumbavu na kwamba nimemsikia. Inatosha kusema na kuamini kwamba wewe ni mpumbavu bila kuangalia mambo mengine yanayothibitisha pasi na shaka kwamba wewe ni mpumbavu? Magufuli alifanya mambo mangapi ya upumbavu nawe ulikuwa unayaamini na kushangilia leo yapo?
 
Amos Makalla amewataka CHADEMA wamalize migogoro ndani ya chama chao na wasiwahadae Watanzania kwa kuwasingizia TAMISEMI, na kuwalaumu Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wajilaumu wao wenyewe, wasifiche mgogoro na mpasuko mkubwa uliowafanya wakose maandalizi yakutosha.

Aidha, ameongeza kuwa "Chochote watakacho sema leo ni kuficha ukweli juu ya matatizo waliyonayo juu ya maandalizi mabovu, hakuna jambo lingine. Tutegemee hadaha, upotoshaji na uongo na utengenezaji wa propaganda ili kuwatuliza wanachama wao lakini wakificha matatizo yao. Ila ninachojua kuanzia tarehe 1, mgogoro utaendelea kuwa mkubwa katika nafasi wanazoenda kugombea ndani ya chama chao"

Pia, Soma:
Mgogoro wa kutengenezwa na CCM.. Amefeli sana
 
Amos Makalla amewataka CHADEMA wamalize migogoro ndani ya chama chao na wasiwahadae Watanzania kwa kuwasingizia TAMISEMI, na kuwalaumu Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wajilaumu wao wenyewe, wasifiche mgogoro na mpasuko mkubwa uliowafanya wakose maandalizi yakutosha.

Aidha, ameongeza kuwa "Chochote watakacho sema leo ni kuficha ukweli juu ya matatizo waliyonayo juu ya maandalizi mabovu, hakuna jambo lingine. Tutegemee hadaha, upotoshaji na uongo na utengenezaji wa propaganda ili kuwatuliza wanachama wao lakini wakificha matatizo yao. Ila ninachojua kuanzia tarehe 1, mgogoro utaendelea kuwa mkubwa katika nafasi wanazoenda kugombea ndani ya chama chao"

Pia, Soma:
JE NINI KIMEPELEKEA CCM KUSHINDWA KUSHINDA ASILIMIA 100 NA KUAMBULIA ASILIMIA 99 TU?
 
Makala ndiye mchochea Kuni mvurugano na mgawanyiko ndani ya cdm maana asingehusika asingeunadi!
Asijifanye msahaulifu kwani kila anayehubiri kufa kwa cdm hutangulia yeye na cdm inabaki ikidunda!
 
Ko migogoro ndani ya chadema ndio iliyoengua wagombea wake maeneo mbalimbali nchini ili fisiemu ipate Kitonga?Mbona mnamuona kila mtanzania ni mbumbumbu?Mmeshinda sasa kama ilivyokuwa 2019 mtafanya lipi jipya?
 
chadema msisubutu kuanzisha viashiria vya kuchezea tunu ya taifa(amani)

HAKIKA HAKUNA MTU ATAWAVUMILIA WAJINGA WA MWISHI NYIE
 
Mgogoro wa kutengenezwa na CCM.. Amefeli sana
Hapo hakuna mgogoro ila machawa wa mbowe wanataka kutengeza mgogoro kisa Lisu kuonesha nia ya wazi ya kugombea uenyekiti japo mwaka mbowe alitangaza kuachana na uenyekiti 2023
 
Ogopa sana muhubiri anayeacha kuhubiri mambo yanayohusu dini yake na kuhubiri mambo ya dini za watu wengine .
 
Amos Makalla amewataka CHADEMA wamalize migogoro ndani ya chama chao na wasiwahadae Watanzania kwa kuwasingizia TAMISEMI, na kuwalaumu Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wajilaumu wao wenyewe, wasifiche mgogoro na mpasuko mkubwa uliowafanya wakose maandalizi yakutosha.

Aidha, ameongeza kuwa "Chochote watakacho sema leo ni kuficha ukweli juu ya matatizo waliyonayo juu ya maandalizi mabovu, hakuna jambo lingine. Tutegemee hadaha, upotoshaji na uongo na utengenezaji wa propaganda ili kuwatuliza wanachama wao lakini wakificha matatizo yao. Ila ninachojua kuanzia tarehe 1, mgogoro utaendelea kuwa mkubwa katika nafasi wanazoenda kugombea ndani ya chama chao"

Pia, Soma:
Kumbe makala aliliona muda???
Naanza kuamini baadhi ya kauli za wafuasi kuwa ni "staged"
 
Back
Top Bottom