LGE2024 Amos Makalla: Mafanikio yaliyoletwa na CCM nchini hayahitaji tochi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Amos Makalla ameendelea kutoa dozi kwa wapinzani katika kipindi hiki cha kampeni.

Hivi karibuni akiwa huko Ukonga jijini Dar Es Salaam, Makalla amesema kuwa maendeleo yaliyoletwa na CCM hayahitaji tochi na ndio maana itashinda kwasababu watu wana imani nayo.

Makalla alisema kuwa wagombea wa CCM ni wagombea safi na wachapa kazi.

==============================================================

Makalla anaongelea maendeleo yapi wakuu? Au mimi naishi nchi tofauti ?

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…