Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM -Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amewaomba Watanzania kutokujitokeza kwenye maandamano yanayoitishwa na upinzani kwani maandamano hayo hayatabadilisha jambo lolote Nchini hivyo maandamano hayo hanaya faida kwa wananchi wa Tanzania
Amesema “Kama Chama cha Siasa kinafanya harakati kuwa muandamane, hayo ni maendeleo? Baada ya mandamano si unarudi nyumbani? Imebadilisha nini maisha yako?
Lakini mnapoandamana wale mstari wa mbele wamelipana posho, wote! Mimi najua idadi ya posho walizolipana kuanzia mkoa wa Mwanza, mikoa yote wamelipana Posho. Halafu wewe unaenda kushinda hata maji huna.”
Ameongeza “Yaani wake ukiwaona wanaandamana, kwanza wametoka kunywa supu kwenye hoteli kubwa halafu wanapiga simu wanaawangalia na kuuliza vipi huko tayari? Halafu mmewahi kuwaona Watoto wao? Wanawacha nyumbani, wakija pale wao posho tayari ninyi mnaingia mkumbo. Wakati mwingine wakirudia tena msiende. Baadhi yao pale wana makaratasi ya madaktari wameambiwa wafanye mazoezi”
Amesema “Kama Chama cha Siasa kinafanya harakati kuwa muandamane, hayo ni maendeleo? Baada ya mandamano si unarudi nyumbani? Imebadilisha nini maisha yako?
Lakini mnapoandamana wale mstari wa mbele wamelipana posho, wote! Mimi najua idadi ya posho walizolipana kuanzia mkoa wa Mwanza, mikoa yote wamelipana Posho. Halafu wewe unaenda kushinda hata maji huna.”
Ameongeza “Yaani wake ukiwaona wanaandamana, kwanza wametoka kunywa supu kwenye hoteli kubwa halafu wanapiga simu wanaawangalia na kuuliza vipi huko tayari? Halafu mmewahi kuwaona Watoto wao? Wanawacha nyumbani, wakija pale wao posho tayari ninyi mnaingia mkumbo. Wakati mwingine wakirudia tena msiende. Baadhi yao pale wana makaratasi ya madaktari wameambiwa wafanye mazoezi”