Pre GE2025 Amos Makalla: Wakati mwingine kwenye maandamano msiende! Baada ya maandamano mnarudi nyumbani, imebadili nini? Wenyewe wanalipana posho

Pre GE2025 Amos Makalla: Wakati mwingine kwenye maandamano msiende! Baada ya maandamano mnarudi nyumbani, imebadili nini? Wenyewe wanalipana posho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo anataka waongoze maandamano bila kula?
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM -Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amewaomba Watanzania kutokujitokeza kwenye maandamano yanayoitishwa na upinzani kwani maandamano hayo hayatabadilisha jambo lolote Nchini hivyo maandamano hayo hanaya faida kwa wananchi wa Tanzania

Amesema “Kama Chama cha Siasa kinafanya harakati kuwa muandamane, hayo ni maendeleo? Baada ya mandamano si unarudi nyumbani? Imebadilisha nini maisha yako?

Lakini mnapoandamana wale mstari wa mbele wamelipana posho, wote! Mimi najua idadi ya posho walizolipana kuanzia mkoa wa Mwanza, mikoa yote wamelipana Posho. Halafu wewe unaenda kushinda hata maji huna.”

Ameongeza “Yaani wake ukiwaona wanaandamana, kwanza wametoka kunywa supu kwenye hoteli kubwa halafu wanapiga simu wanaawangalia na kuuliza vipi huko tayari? Halafu mmewahi kuwaona Watoto wao? Wanawacha nyumbani, wakija pale wao posho tayari ninyi mnaingia mkumbo. Wakati mwingine wakirudia tena msiende. Baadhi yao pale wana makaratasi ya madaktari wameambiwa wafanye mazoezi”

View attachment 3043374
Makalla ni zezeta tu apuuzwe yeye anakomaa kupiga kelele posho ya siku inaingia hadi imemnenepesha kama kifutu.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM -Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amewaomba Watanzania kutokujitokeza kwenye maandamano yanayoitishwa na upinzani kwani maandamano hayo hayatabadilisha jambo lolote Nchini hivyo maandamano hayo hanaya faida kwa wananchi wa Tanzania

Amesema “Kama Chama cha Siasa kinafanya harakati kuwa muandamane, hayo ni maendeleo? Baada ya mandamano si unarudi nyumbani? Imebadilisha nini maisha yako?

Lakini mnapoandamana wale mstari wa mbele wamelipana posho, wote! Mimi najua idadi ya posho walizolipana kuanzia mkoa wa Mwanza, mikoa yote wamelipana Posho. Halafu wewe unaenda kushinda hata maji huna.”

Ameongeza “Yaani wake ukiwaona wanaandamana, kwanza wametoka kunywa supu kwenye hoteli kubwa halafu wanapiga simu wanaawangalia na kuuliza vipi huko tayari? Halafu mmewahi kuwaona Watoto wao? Wanawacha nyumbani, wakija pale wao posho tayari ninyi mnaingia mkumbo. Wakati mwingine wakirudia tena msiende. Baadhi yao pale wana makaratasi ya madaktari wameambiwa wafanye mazoezi”

View attachment 3043374
CHADEMA HAWAWEZI KUFANYA MAANDAMANO YA AMANI . najua washapanga watu wafanye fujo za hapa na pale . Zaidi itakuwa ni kelele mtindo mmoja . KIONGOZI KANENA UKWELI , HAWABADILI KITU ZAIDI YA AKINA FULANI KUWAZIA POSHO .
 
Ingawa akili ya makala imeshachoka.

Ila chadema kulipana posho kwenye maandamano haijakaa vizuri.
 
Ingawa akili ya makala imeshachoka.

Ila chadema kulipana posho kwenye maandamano haijakaa vizuri.
Yeye huyo mashavu kunona Makalla kwani halipwi posho hapo? Jee yeye anawalipa hao wanaokuja kumsikiliza ? Aache undezi wake.
 
CHADEMA HAWAWEZI KUFANYA MAANDAMANO YA AMANI . najua washapanga watu wafanye fujo za hapa na pale . Zaidi itakuwa ni kelele mtindo mmoja . KIONGOZI KANENA UKWELI , HAWABADILI KITU ZAIDI YA AKINA FULANI KUWAZIA POSHO .
Idiots wa CCM mpo evenly distributed, kila mtandao mpo kwa ajili ya kuchapisha ujinga wenu na kuanika vichwa vyenu vilivyokosa akili.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM -Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amewaomba Watanzania kutokujitokeza kwenye maandamano yanayoitishwa na upinzani kwani maandamano hayo hayatabadilisha jambo lolote Nchini hivyo maandamano hayo hanaya faida kwa wananchi wa Tanzania

Amesema “Kama Chama cha Siasa kinafanya harakati kuwa muandamane, hayo ni maendeleo? Baada ya mandamano si unarudi nyumbani? Imebadilisha nini maisha yako?

Lakini mnapoandamana wale mstari wa mbele wamelipana posho, wote! Mimi najua idadi ya posho walizolipana kuanzia mkoa wa Mwanza, mikoa yote wamelipana Posho. Halafu wewe unaenda kushinda hata maji huna.”

Ameongeza “Yaani wake ukiwaona wanaandamana, kwanza wametoka kunywa supu kwenye hoteli kubwa halafu wanapiga simu wanaawangalia na kuuliza vipi huko tayari? Halafu mmewahi kuwaona Watoto wao? Wanawacha nyumbani, wakija pale wao posho tayari ninyi mnaingia mkumbo. Wakati mwingine wakirudia tena msiende. Baadhi yao pale wana makaratasi ya madaktari wameambiwa wafanye mazoezi”

View attachment 3043374
Kwani Kenya uliona watoto wa mawaziri??lkn hawajanyooka kina ruto??
 
Sasa waende na watoto wao kwani hao watoto wao wako pamoja nao au baba akiwa chawa ccm ni lazima mtoto nae awe chawa ccm atake asitake.
 
Itakufanye wakati kila siku inaandika barua kwa Samia kuomba ruzuku za miaka ya nyuma, Kama wajanja warudishe ruzuku zote uone Kama watadumu🤣
Chadema ni duka la mwenyekiti
OK, nenda sasa na wewe ukanunue, acha kupiga kelele za kijinga kama lucas
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM -Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amewaomba Watanzania kutokujitokeza kwenye maandamano yanayoitishwa na upinzani kwani maandamano hayo hayatabadilisha jambo lolote Nchini hivyo maandamano hayo hanaya faida kwa wananchi wa Tanzania

Amesema “Kama Chama cha Siasa kinafanya harakati kuwa muandamane, hayo ni maendeleo? Baada ya mandamano si unarudi nyumbani? Imebadilisha nini maisha yako?

Lakini mnapoandamana wale mstari wa mbele wamelipana posho, wote! Mimi najua idadi ya posho walizolipana kuanzia mkoa wa Mwanza, mikoa yote wamelipana Posho. Halafu wewe unaenda kushinda hata maji huna.”

Ameongeza “Yaani wake ukiwaona wanaandamana, kwanza wametoka kunywa supu kwenye hoteli kubwa halafu wanapiga simu wanaawangalia na kuuliza vipi huko tayari? Halafu mmewahi kuwaona Watoto wao? Wanawacha nyumbani, wakija pale wao posho tayari ninyi mnaingia mkumbo. Wakati mwingine wakirudia tena msiende. Baadhi yao pale wana makaratasi ya madaktari wameambiwa wafanye mazoezi”

View attachment 3043374
Chadema imekufilisi hoja zote sasa inaongea pumba
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM -Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amewaomba Watanzania kutokujitokeza kwenye maandamano yanayoitishwa na upinzani kwani maandamano hayo hayatabadilisha jambo lolote Nchini hivyo maandamano hayo hanaya faida kwa wananchi wa Tanzania

Amesema “Kama Chama cha Siasa kinafanya harakati kuwa muandamane, hayo ni maendeleo? Baada ya mandamano si unarudi nyumbani? Imebadilisha nini maisha yako?

Lakini mnapoandamana wale mstari wa mbele wamelipana posho, wote! Mimi najua idadi ya posho walizolipana kuanzia mkoa wa Mwanza, mikoa yote wamelipana Posho. Halafu wewe unaenda kushinda hata maji huna.”

Ameongeza “Yaani wake ukiwaona wanaandamana, kwanza wametoka kunywa supu kwenye hoteli kubwa halafu wanapiga simu wanaawangalia na kuuliza vipi huko tayari? Halafu mmewahi kuwaona Watoto wao? Wanawacha nyumbani, wakija pale wao posho tayari ninyi mnaingia mkumbo. Wakati mwingine wakirudia tena msiende. Baadhi yao pale wana makaratasi ya madaktari wameambiwa wafanye mazoezi”

View attachment 3043374
Wanyiramba kwa majungu wako vizuri sana. Hata Mkoa wao wameshindwa kabisa kuuendeleza. Ona hii listi Mwigelu, Huyu, Hepi, Kitalya nk.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM -Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amewaomba Watanzania kutokujitokeza kwenye maandamano yanayoitishwa na upinzani kwani maandamano hayo hayatabadilisha jambo lolote Nchini hivyo maandamano hayo hanaya faida kwa wananchi wa Tanzania

Amesema “Kama Chama cha Siasa kinafanya harakati kuwa muandamane, hayo ni maendeleo? Baada ya mandamano si unarudi nyumbani? Imebadilisha nini maisha yako?

Lakini mnapoandamana wale mstari wa mbele wamelipana posho, wote! Mimi najua idadi ya posho walizolipana kuanzia mkoa wa Mwanza, mikoa yote wamelipana Posho. Halafu wewe unaenda kushinda hata maji huna.”

Ameongeza “Yaani wake ukiwaona wanaandamana, kwanza wametoka kunywa supu kwenye hoteli kubwa halafu wanapiga simu wanaawangalia na kuuliza vipi huko tayari? Halafu mmewahi kuwaona Watoto wao? Wanawacha nyumbani, wakija pale wao posho tayari ninyi mnaingia mkumbo. Wakati mwingine wakirudia tena msiende. Baadhi yao pale wana makaratasi ya madaktari wameambiwa wafanye mazoezi”

View attachment 3043374
Sasa na hii nayo ni hoja! Pathetic!
 
Wametukamata pabaya sana hawa Chukuwachakomapema!
Mawili, kujilipuwa au kuhama kwenda Burundi!
 
anasema ukweli. siri anazitoa msigwa hizo. mbowe kasababisha yote hayo.
Kwani Makalla hapo anapohutubia hapati posho....!? Wanaokwenda kwenye maandamano wana tofauti gani na hao wanaohudhuria mikutano ya CCM. Au hapo alitoa ubwabwa na Maharage baada ya hotuba.

Yeyote anayesupport huo ujinga na yeye ni mjinga.
 
Inasikitisha sana yani Hawa viongozi wanaongea km vile wananchi Ni mbumbu hawana akili.
Yani eti unawaambia watu kauli ya Namna hii ivi wanasoma wananchi Ni watoto WA chekechea
Viongizi waache kuona watu Ni misukule yao
 
Back
Top Bottom